Niko naangalia kipindi cha uzalendo kinachorushwa na ITV ndg Thomas Ngawaia ambaye ni mkurugenzi wa taasis ya utawala bora amesema TZ ni nchi moja ktk katiba ya sasa. Na alipoulizwa juu ya uwepo wa rais wa Zanz akasema rais ni jina tu. Hata vyuo vikuu kuna rais na hata TFF kuna rais.