This is why all mama mean nothing to some people!

Bibi,hakuna kitu chochote kitakacho halalisha wewe umkimbie mwanao na usimtafute kwa muda mrefu kiasi hicho,japokuwa ninajua hakutendewa jambo lolote baya!
 
Wakumwitu,daah!Kweli nawe jembe,pole lakini maisha yanaendelea!
 
Kipipi,thanx much,tujifunze tusije watelekeza watoto wetu!
 
Pole kwa yaliyokukuta. Naweza kusema kuwa sio kina mama/wanawake tu ndo wana hiyo tabia, nadhani hata wanaume pia wanayo tena kwa asilimia nyingi zaidi ya wanawake. Nakushauri tu jitaidi kumpenda mama yako na Mungu atakubariki kwani wewe utakuwa umetimiza ari ya Mungu ya kumpenda mama yako na utapata baraka nyingi katika maisha yak. Kwa kumsaidia mama yako, unaweza kukaa nae na kuongea naye vizuri akupe sababu za kukutelekeza. Kama hazina msingi basi mshauri atubu kwa Mola wake na wewe Mungu atakupa baraka mara dufu.
 
WALIMWEUSI,kwa sasa sina tatizo nae,hakua na sababu ya msingi alipofanya aliyofanya.Niliyajua hayo siku nyingi na nimemkubali kama alivyo!
 
Hi natumai mu wazima!Hey plz woman don't get angry with me!Natumia mimi mwenyewe kama mfano;Nilizaliwa pamoja na ndugu zangu wawili hivyo tukawa wa3,wakati tukio linatokea mimi ndo nilikuwa mdogo kuliko wengine,mama yetu alitutelekeza jioni na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine,wakati huo my Late father(may his soul rest in peace)alikua amesafiri kikazi,toka siku hiyo sikumwona mama mpaka nilipotimiza umri wa miaka 13,tuliishi na baba bila ya baba kuoa coz hakutaka mapema tuteseke,mama alipokuja alituona kwa dakika chache tena kwa kulazimishwa na baba,Alipoondoka sikumwona mpaka nilipotimiza miaka 25 alipolazimishwa na marehem babu(apumzike kwa amani)ambae ni baba yake,tulikuja kuonana tena hosptl wakati babu anaumwa na hapo ni baada ya miaka mi3,mara ya mwisho nilimuona mwaka jana nilipoamua kwenda kumwona,kumbuka kwenye msiba wa baba hakuja,to be hornest with u,i don't feel anything for her!Pia sijui umuhimu wake,wala sijui mapenzi ya mama.Napenda nieleweke kua simchukii,najua yeye ni mama yangu,alinizaa na alininyoshesha,lakini haza ni majukumu yake!Hajawahi kunishawishi kwa njia yoyote kuwa yeye ni mama!Sasa kama huyu aliesikia uchungu kwaajili yangu yupo hivi,nitaona vipi umuhimu wa akina mama?Je kama mimi tupo wangapi?JE NI NANI KAMA BABA,I LOVE HIM MUCH,I WISH HE COULD BE HERE!

Kwanza pole sana kwa uliyopitia.
na Pole zaidi kwa kumpoteza baba pamoja na babu..

Nadhani kwa kila mtu ni tofauti
Hii situation yako nimeona sana na
binafsi nimekumbana nayo ila kwa mimi
ni baba ... ni wanawake wachache sana
wanao kataa au kutowatunza wanao lakini
asilimia kubwa nilioongea nao ni baba ndo anaekimbia familia..

dahhh, poleni sana....

...ila tumshukuru mungu kuwafikisha hapa mlipo,...
na imagine mama huyo badala ya kuhangaika na ujauzito, angekuwa a
nazitoa hizo mimba moja baada ya nyingine, au kuvitupa vichanga
kama walivyo wanawake wengine.

...kuna sababu nyingi zilizo nje ya uwezo wetu kung'amua inakuwaje mama mzazi anachukua maamuzi
makali na magumu kama hayo. Kuna siri kubwa sana iliyofichika hapa, na haswa kama mama huyo amedumu
kwenye ndoa nyingine na kuwa na familia nyingine.

...kuhusu kina baba kukimbia watoto mnh...
utetezi wa hili hauingii akilini, unless alijiaminisha watoto si wake.
 
Pole kamanda aisee!
Pia kuna ile mama anamnyima mtoto wake lishe bora ili asevu apate hela ya kwenda saloon,nyambaaaf! juzi tu nimemkosa mkono waifu wa braza kwa uzembe kama huu.

Mood: hapa nimeongea kwa hasira kweli
 
Mbu,kabla hujafanya lolote unatakiwa uangalie madhara kwako,wanaokuzunguka,sio kufanya tu,hata kuwe na jambo kubwa namna gani hakuna uhalali wa aina yoyote kuwaumiza wasiohusika,sisi hatukuhusika na jambo lililokuwepo(japokua najua halikuwepo)sasa iweje watutese?
 
Kwanza pole sana kwa uliyopitia.
na Pole zaidi kwa kumpoteza baba pamoja na babu..

Nadhani kwa kila mtu ni tofauti
Hii situation yako nimeona sana na
binafsi nimekumbana nayo ila kwa mimi
ni baba ... ni wanawake wachache sana
wanao kataa au kutowatunza wanao lakini
asilimia kubwa nilioongea nao ni baba ndo anaekimbia familia..

si peke yako hata afande sele nahisi alimuimba kwenya mkuki moyon, pole sana.
 
Pole sana mkuu! Aisee sijakutana na hii kitu na sitaki ije itokee kwangu, mweeeeeeee!
 
Kweli mipango mji,umenikumbusha mkuki moyono ya afande sele!
 
Ndoyo,muombe sana Mungu akuepushe na waepushe wanao pia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom