This is why all mama mean nothing to some people!

Tatizo hamtaki kukubaliana na ukweli wa kwamba hata nyie wanawake mna moyo wa kikatili_ndio maana unaleta hoja za kung'ang'aniza ili tu muonekane watu wema na wenye huruma,...hamna kitu hapo kuna wanawake wabaya zaidi wanyama

Igwe,

Sijakataa wapo wakina mama wenye roho ya kikatili kuliko hata simba maana wapo hata hao wanaobeba mimba miezi tisa then wakijifungua wanatupa mtoto but you never know kwa huyu what happened mpaka akawa hivyo "Ugomvi wa mama na baba" utaujulia wapi bana?? Ukienda kwa mama atasema hivi ukienda kwa baba atasema vile but all in all anakumbuka watoto wake na kuwawaza kwa muda fulani
 
Pole sana,muombe mungu akupe namna ya kulifuta hilo moyon mwako na ulichukulie km mapungufu ya mama yako kwa kushindwa kutofautisha matatizo yake na baba yenu na umuhimu wa yeye kuwapenda na kuwajali watoto wake.
 
Dena,nani kama mama for what?Kama mtu ameteseka kwa miezi tisa halafu anakufanyia mambo ya ajabu ana maana?Trust me hakufanyiwa lolote baya na baba!I'm sure of that!Awe ni baba yangu wa ukweli ama la i don't care!What i knw ni kwamba alinilea na kunipenda kwa miaka 27 mpaka alipofariki,what else should i care?

He he he kweli unamchukia mama yako aisee pole sana K....................
 
Dena,mama hakufanyiwa lolote bay na baba na he was protect her!Alikuwa hamsemi kabisa,sasa tukawa tunamuuliza mbona hatumuoni?Mpaka babu mzaa mama alipokuja kutuambia ukweli!
 
Arabianfalcon,najua hakufanyiwa lolote na baba coz baba yake mama ambae ni babu aliniambia hayo,ok lets say alimtenda how is that have anthing to do with us?Bado tulikua na tutaendelea kuwa hivyo,whay hakututafuta?Hata kutuletea hata shati kwamba wanangu chukueni mashati?Sory AF i don't buy this!
Najua kama inauma na sikwambii nirahisi hata kidogo ila ukiwa kama binadamu na huyu ni mzazi, asingekupenda angekuua tangu tumboni punguza hasira au niseme hutokuja kuoa na ukampenda mkeo sababu mzazi wako alikutenda au hutomwambia kama unampenda hata kidogo? mpe nafasi nnaimani moyo wako unaupendo japo kidogo kwa Mama ndio mana unaongea pole sana...
 
Kokutona,sijasema wamama wote,ila baadhi ndo maana nimesema "for some people"i do "biliv"there are great mother out there but not all,don't genelize too!

Nimekuelewa. Utakapokuwa na familia play great role to love your kids to ertenity. Wasiwasi wangu mwenza wa kukupa familia, kila utakaemchumbia utaweka mashaka ya mama yako. Au km tayari unafamilia. How do u trust your wife?
All in all pole sana sana sana.
 
Inaonekana mama yako alishikwa pabaya na huyo mme wake, kiasi kwamba hapendi kumdisapoint kwa kuonyesha mapenzi kwenu.

pole sana.
 
Pole sana kwa yaliyokupata.Ubaya au ukatili hauna jinsia!

Maoni/fikra za wengi ni kuwa mama ndio mwenye uchungu na wanawe. Nikisoma mkasa wako unanifanya nirudi kwenye mijadala mingi hapa JF
inayozungumzia kwanini wakina mama hawaondoki wakazikimbia ndoa zao zenye mateso.Kina mama wengi wenye uchungu na watoto wao, wenye kuweza kutafakari kwa kina madhara ya kuwaacha watoto na kwenda kuanzisha maisha mapya, basi huahirisha milele kuziacha ndoa zao.Wako tayari kujitolea au kutoa mhanga furaha zao kwa ajili ya furaha ya watoto wao.

Bahati mbaya huyo mama yako ni mmoja wa wale wachache sana wanaosema hawawezi kuvumilia ndoa zisizo na furaha.

Hakuna kitu kinauma kama kufikiria mateso mwanao atakayoyapata wakati wewe uko hai hapa duniani. Pia siwezi kukulaumu wewe kwa kukosa hisia kwa mama yako maana kwa kawaida ukaribu wa mama na mwana hujengwa utotoni katika kile kipindi cha "formation" ambapo mtoto anajifunza upendo, kuamini nk.
 
Kokutona,i dont have family,also hii haijaniathiri lolote,so nitakua mzazi na baba mwema sana kwa wanangu!
 
My mom carried me in her womb for nine months... She felt sick for months with nausea, then she watched her feet swell & her skin stretch & tear; she struggled to climb stairs, she got breathless quick; she suffered many sleepless nights. She then went through excruciating pain to bring me into this world. Then, she became my nurse, my chef, my maid, my chauffeur, my biggest fan, my teacher & my best friend. She's struggled for me, cried over me, hoped the best for me & prayed for me. Most of us take our mom for granted
 
Eiyer,pole sana kwa historia ngumu. Mambo ya wanandoa magumu sana na mostly huwa wanajua wenyewe wawili tu. Kinachotokea chumbani kwao wakifunga mlango anajua Mungu na ibilisi ndo shahidi. Mate wangu wa second alikimbia kwa mumewe kama 5 yrs sasa. Alikua anapigwa visu na mengine yasiyoelezeka tena mmbele ya watoto na hgeli. Sasa hivi analipia wanae ada directly shuleni kwa msaada wa wifi. Mwanaume anamkataza access na watoto manake anajua ndo watamrudisha kwake. Anamwaga sumu kwa watoto na kila mtu. Sasa hawa watoto wakikua sijui kama watapata wa kuwaelezea ukweli. Japo mama anaweza asiweze kukuambia baadhi ya mambo,jaribu kuongea nae na umuulize ilikuaje. Msamehe mama yako,mpe chance ya kuomba msamaha ili na ww uweze kuendelea na maisha yako. Upo upendo wa kweli kwa mwanamke uliyepangiwa na Mungu,usikate tamaa.
Arabianfalcon,najua hakufanyiwa lolote na baba coz baba yake mama ambae ni babu aliniambia hayo,ok lets say alimtenda how is that have anthing to do with us?Bado tulikua na tutaendelea kuwa hivyo,whay hakututafuta?Hata kutuletea hata shati kwamba wanangu chukueni mashati?Sory AF i don't buy this!
 
W of s,mama hakua kwenye ndoa ya mateso,pia ondoa mawazo ya kusema ni wachache sana,hebu angalia hii thread utaona tayari wamepatikana watatu kama mimi,je nani au wangapi hawajasema?
 
Pole sana inaonekana umepitia mateso makubwa sana.

Ni kweli, but mimi naona hizo tough situations kama opportunities for growth...I have grown in any ways, independent, responsible, and sensitive to needs of others. I look to the positive side of things...and challenges has sharpened and formed my life to the person I am now...no regrets just sharing tough experiences to enrich each other. Asante kwa concern though.
 
Hi natumai mu wazima!Hey plz woman don't get angry with me!Natumia mimi mwenyewe kama mfano;Nilizaliwa pamoja na ndugu zangu wawili hivyo tukawa wa3,wakati tukio linatokea mimi ndo nilikuwa mdogo kuliko wengine,mama yetu alitutelekeza jioni na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine,wakati huo my Late father(may his soul rest in peace)alikua amesafiri kikazi,toka siku hiyo sikumwona mama mpaka nilipotimiza umri wa miaka 13,tuliishi na baba bila ya baba kuoa coz hakutaka mapema tuteseke,mama alipokuja alituona kwa dakika chache tena kwa kulazimishwa na baba,Alipoondoka sikumwona mpaka nilipotimiza miaka 25 alipolazimishwa na marehem babu(apumzike kwa amani)ambae ni baba yake,tulikuja kuonana tena hosptl wakati babu anaumwa na hapo ni baada ya miaka mi3,mara ya mwisho nilimuona mwaka jana nilipoamua kwenda kumwona,kumbuka kwenye msiba wa baba hakuja,to be hornest with u,i don't feel anything for her!Pia sijui umuhimu wake,wala sijui mapenzi ya mama.Napenda nieleweke kua simchukii,najua yeye ni mama yangu,alinizaa na alininyoshesha,lakini haza ni majukumu yake!Hajawahi kunishawishi kwa njia yoyote kuwa yeye ni mama!Sasa kama huyu aliesikia uchungu kwaajili yangu yupo hivi,nitaona vipi umuhimu wa akina mama?Je kama mimi tupo wangapi?JE NI NANI KAMA BABA,I LOVE HIM MUCH,I WISH HE COULD BE HERE!
At least kuna mtu anashuhudia kuwa hata kina baba nasi tunaweza kulea.

Pole mwaya....... kama wewe ni mwanamke usifuate nyayo za mama yako. Kama ni mwanaume iga mfano wa baba yako.

Mungu amlaze merehemu baba yako mahali pema peponi.
 
King'asti my dear,faham hakuna matatizo aliyokua anayapata kwa baba,babu mzaa mama ndo shahidi,hata kama mfano yalikuwepo hata kututafuta?Hata kutujulia hali?Baba hakuwahi kumkataza hata mara chache alizokuja wakati mwingine aliletwa na baba!
 
Babu Aspirin usijali nitafuata mfano wa baba,nitakua baba mwema sana kwa wanangu!!
 
W of s,mama hakua kwenye ndoa ya mateso,pia ondoa mawazo ya kusema ni wachache sana,hebu angalia hii thread utaona tayari wamepatikana watatu kama mimi,je nani au wangapi hawajasema?


Ndugu yangu, sijui kama umenielewa mchango wangu.I sympathise with you ila nimeweka scenerio hapo.
2.Msome King'asti hapo juu, kaweka dimension nyingi muhimu mno tena sana.Wewe ukiwa kama mtoto siyo lazima usome na kuielewa ndoa ya wazazi wako ujue ilikuwa ya mateso au la maana avaae kiatu ndio mwenye kujua kinafinya wapi.

Pia nataka nikufahamishe kitu kidogo tu - unapoleta mada ya life experience hapa uwe tayari kupokea pia experiences za wengine zilizo tofauti na zako ili ikusaidie 1. kukubali hali yako, 2. upate comparators za kukufanya ujue dunia ndivyo ilivyo, 3. usitake kila unachofikiria wewe ndicho kiwe "msahafu" na pia 4. kwamba kuna watu wamejitokeza kukuunga mkono kuwa nao walipitia hali kama hiyo yako ni consolation lakini haikupi wewe takwimu sahihi ya wingi au uzito wa tatizo.
Samahani kama utakwazika na mchango wangu.
 
Jsaud,hongera kwa mama yako,i wish i could be u!Bu those ni majukumu yake kama mama!
 
Eiyer
Kuna wanawake wakatili kwa watoto wao kama wanaume wengine tu.

Kulekeza watoto kwa sababu yoyote ile haikubaliki na hata in extreme cases baba anapomfukuza mama na kumkataza kuwaona watoto, anatakiwa mwanamke kwenda kwenye vyombo vya sheria kudai haki yake

Aluoufanya mama huyo ni ukatili na excuse pekee itakayokubalika ni iwapo atabainika kuwa na ugonjwa wa akili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom