This is unacceptable for public view!

Wewe umeshatekwa na Freemasons,badala ya kujali wanadamu wenzio unajali wanyama ambao umepewa uwale,nishai sana aisee.
 
Animals are for our consumption, it does not matter how you prepare them.You should rather care for your fellow human beings in The Congo DRC, Darfur etc.This is hypocrisy.
 
Unajua,wanadamu tumeshindwa kabisa kusimamia nafasi yetu tuliyopewa na Mungu,haya ndiyo matatizo.Badala yake sasa tunafuata mafundisho ya mashetani.Mawazo kwamba mnyama naye anaweza kuwa na haki ni mawazo ya mashetani kabisa ,"whether you like it or not."Kwamba sasa mnyama naye awe na haki kama mwanadamu!Mnyama hana haki yeyote.Mungu ametupa wanyama wa kila aina ili wawe chakula chetu.Sasa "how you prepare does not really matter." Nia hasa ya mafundisho hayo ni kumdhalilisha mwanadama,kumfananisha na mnyama.Kama uko makini na matukio mengi ya sasa utagundua kwamba, karibu yote yana nia moja tu, kumdhalilisha mwanadamu,kwa njia moja au nyingine ili aonekane kwamba si kitu kabisa.Angalia taabu anazosababishiwa mwanadamu tena kwa makusudi kabisa,Congo DRC,Dafur,Afghanistan,Uganda(LRA),Iraq,Zimbabwe na India hivi karibuni na mengi yaliyopita na ambayo nina hakika yanakuja.Unajua, mashetani yameshakuwa "condemed" na Mungu.Sasa yana tuonea wivu.Kwa hiyo yanatumia wanadamu wajinga wasiomjua Mungu kwa kuwadanganya kwa mbinu mbali mbali hasa za kupata fedha na mafanikio katika maisha ili kutesa wenzao. Simamia na kutetea haki za wanadamu wanaoteseka sehemu mbalimbali duniani bwana sio wanyama. Hapo nitakuona wamaana,lakini wanyama,sikuelewi.Mungu anachukizwa na mawazo hayo,epuka!

Wewe umeshatekwa na Freemasons,badala ya kujali wanadamu wenzio unajali wanyama ambao umepewa uwale,nishai sana aisee.

Animals are for our consumption, it does not matter how you prepare them.You should rather care for your fellow human beings in The Congo DRC, Darfur etc.This is hypocrisy.

Tikerra, ndugu yangu, sijui hata nikujibu vipi! Maana msimamo wako wewe wanyama ni viumbe visivyokuwa na haki hata kidogo. Sasa kama umeshaweka mguu chini, basi itakuwa ngumu sana kukushawishi.

Una point kubwa sana kwenye ishu ya taabu na mateso wanayopata wanadamu wenzetu sehemu mbalimbali. Lakini ingekuwa vizuri kama ungeanzisha mada hiyo ili sote tukachangie. Kwa sababu hii mada ni kuhusu jinsi chombo cha habari kilivyoweka hadharani picha ya mnyama akitolewa uhai.
 
Vipi kuhusu kuonesha hadharani nyama ya mnyama? Sijui unamtendea haki gani mnyama kumchinja sirini!!
 
Mlalamikaji ajue kuwa chanzo ni yeye mwenyewe kumla mbuzi; kitendo cha kula mnyama ndio violence kubwa kuliko zote; yote hayo ni kwa sababu ya binadamu kula mbuzi ( mnyama mwenzi); yaani samaki wakubwa kula samaki wadogo;

Well, kwa bahati mbaya, muumbaji hakutupatia chakula cha aina nyingine yoyote zaidi ya viumbe hai vyenzetu (wanyama na mimea). Na wao pia wanaishi kwa kulana wenyewe kwa wenyewe. Na baadhi ya wanyama wanatula mpaka sisi. Hivyo ndivyo idara ya msosi ilivyopangwa na Mola.

Kwa hiyo point yako ya kuwa mlaji ndio chanzo cha ukatili wa wanyama haiwezi kusimama.

Sasa ktk tukio hilo tegemea violence; hayupo mnyama anayependa kukatishwa maisha; na ndio maana hupiga makelele sanan na hatujui hata sala ambazo wanatusalia kwake Muumba wao; ila i know huwa wanapeleka case kwa muumba wao;

Unaweza kuwa na point hapa. Ila, basi tutegemee na mchicha pia unapeleka malalamiko kwa muumba wake.

Suala sio sisi kula wanyama wenzetu, ila ni utaratibu gani tunatumia kuwaandaa hao tuwalao. Yaani, kwa sababu tumepewa uwezo wa kuwala, haina maana tusijali haki zao. Haki zao zinapaswa kuzingatiwa toka wakiwa hai. Na ndio maana tunawajibu wa kuwapitia hifadhi (mabanda), kuwapatia chakula, na mpaka kuwapa tiba pale wanapoumwa. Sasa kama tunawapa haki yao wakati wakiwa hai, kwa nini muda wa kuwala ufikapo tusitumie ustaharabu kuwaandaa?

ITV wako sawa maana hiyo ndio hali halisi; binadamu tunakula wanyama wenzetu; ni hatari lazima iwekwe hadharani otherwise itakuwa sawa na kuficha ufisadi kwa sababu ulifanyika kwa uficho

Negative.

Hali halisi ni kuwala, na sio kuonyesha hadharani jinsi tunavyo waandaa (wachinja).

Kosa la ippmedia ni kuweka hadharani picha inayo onyesha jinsi mnyama anavyochinjwa. Kufanya hivyo ni kuvunja haki za wanyama.

Huo mfano wako wa ufisadi hau-rhyme na kosa ambalo nimeona ippmedia wamefanya.
 

Mbuzi ni mnyama kama sisi.

Uvunjaji wa haki za binadamu, mifugo, n.k. Basi haikupaswa kamwe kuweka/kuonyesha picha picha ya albino aliyenyofolewa viungo/kukatwa mikono. Acha mambo ya wanyama kwanza maliza tatizo la albino.

Ndio, ni kosa kuonyesha kwenye public albino aliyetendewa ukatili wa aina hiyo. Kufanya hivyo ni kumvunjia haki zake kama binadamu (hata kama ameshafariki).
 
Hapa hatujafikia kuwa sensitive kiasi hicho, mbuzi tu. Uvunjaji wa haki za binadamu, mifugo, n.k. Basi haikupaswa kamwe kuweka/kuonyesha picha picha ya albino aliyenyofolewa viungo/kukatwa mikono. Acha mambo ya wanyama kwanza maliza tatizo la albino.



Tayari alikuwa keshapata matibabu, sio?

Kwa maoni yangu, yule mtoto aliyemkata mwenzie kichwa/shingo halafu Television zikaonyesha wazi wazi kichwa cha mtoto aliyekatwa, ni makosa makubwa. Labda wangeonesha kikiwa kwa mbali, lakini sio mita tatu mbele ya kamera.

Ajali ikitokea barabarani, television ikionyesha tukio la watu wamekatika viungo, ni makosa (hata kama wahusika wamekufa).

Mnamkumbuka yule jamaa wa Kimara anayekamata wachawi, aliyeoneshwa kwenye runinga akimkata paka shingo kwa meno mbele ya kamera? Ni ajabu ikiwa television zilizorusha lile tukio hazikuonywa.
 
127807.jpg

...jamani eeh, mnamkejeli bure QM, yeye amesema na namnukuu;

Re: This is unacceptable for public view!

...ujumbe gani hapo ulio mgumu? yeye hayo ni mawazo yake kulingana na picha hiyo, wewe picha hiyo inakuonyesha nini? au wewe unaona mbuzi, watu na "pilau" tu?

Huoni kuna;...utumiaji wa nguvu? kisu? damu inamwagika? uhai? machungu? kifo?

kabla hamjamtoa ngeu ndugu yangu QM, rejeeni title ya habari hiyo, na ujiulize tena, JE? public viewers wanahitaji kuona hilo (bila ridhaa yao)?
It's disturbing to some of us.
 
Hii picha nimeikuta Ippmedia.com.

127807.jpg


Ukweli ni kwamba Ippmedia wamechemsha kuweka hii picha hadharani. Kufanya hivi ni ku-advocate violations of animal rights.

I suggest wapigwe fine for putting such a brutal picture hadharani.

Mods naombeni muifungue hiyo picha. Pia kama hii mada hapa sio mahala pake, basi msisite kuihamisha kunakostahili

Hapo Shekh anachinja kwa kuielekeza kibla (jiwe jeusi kule maka).
Usisubiri tu kula nyama, kama siku moja moja uwe unaenda machinjioni.
 

Hivi mtoto aliye chini ya umri wa mingapi utamzuia kushuhudia uchinjwaji wa mbuss au kuku?

LazyDog, kwa ufahamu wangu ...old enough to realise the do's and dont's (i.e we dont slaughter just for the joy of killing), and who understands NOT to imitate the action on others kids, kama mtoto Ramadhan "alivyomchinja" Salome.
 
...jamani eeh, mnamkejeli bure QM, yeye amesema na namnukuu;


...ujumbe gani hapo ulio mgumu? yeye hayo ni mawazo yake kulingana na picha hiyo, wewe picha hiyo inakuonyesha nini? au wewe unaona mbuzi, watu na "pilau" tu?

Huoni kuna;...utumiaji wa nguvu? kisu? damu inamwagika? uhai? machungu? kifo?

kabla hamjamtoa ngeu ndugu yangu QM, rejeeni title ya habari hiyo, na ujiulize tena, JE? public viewers wanahitaji kuona hilo (bila ridhaa yao)?
It's disturbing to some of us.

Afadhali umenisaidia kaka. Maana duh....."ndita za mshangao zimetanda kwenye komwe langu"
 
LazyDog, kwa ufahamu wangu ...old enough to realise the do's and dont's (i.e we dont slaughter just for the joy of killing), and who understands NOT to imitate the action on others kids, kama mtoto Ramadhan "alivyomchinja" Salome.

Mchongoma umenikumbusha uchungu wa yule mtoto wa kislam aliyemchinja mtoto wa kikristo. Uchungu uchungu uchungu. Waslam wanafundishwa kuchinja kuelekeza huko maka kwao kwenye jiwe jeusi hivyo chochote hata binadam wanachinja. Uchungu uchungu uchungu uchungu uchungu.

RIP Salome.
 
Mchongoma umenikumbusha uchungu wa yule mtoto wa kislam aliyemchinja mtoto wa kikristo. Uchungu uchungu uchungu. Waslam wanafundishwa kuchinja kuelekeza huko maka kwao kwenye jiwe jeusi hivyo chochote hata binadam wanachinja. Uchungu uchungu uchungu uchungu uchungu.

RIP Salome.


Aloo, kauli yako siyo nzuri. Kwanini unajenga chuki kwenye nafsi yako dhidi ya wengine kwa kujitakia?
 
Mchongoma umenikumbusha uchungu wa yule mtoto wa kislam aliyemchinja mtoto wa kikristo. Uchungu uchungu uchungu. Waslam wanafundishwa kuchinja kuelekeza huko maka kwao kwenye jiwe jeusi hivyo chochote hata binadam wanachinja. Uchungu uchungu uchungu uchungu uchungu.

RIP Salome.

:eek: ???...astaghafirullah, ushafika hukooo?

Mbarikiwa;
" A man who strays from the path of understanding
comes to rest in the company of the dead"
-proverbs 21:16
 
...Waslam wanafundishwa kuchinja kuelekeza huko maka kwao kwenye jiwe jeusi hivyo chochote hata binadam wanachinja. Uchungu uchungu uchungu uchungu uchungu.

RIP Salome.

...Mbarikiwa, ushawahi kusoma hii;
"When they reached the place God had told him about, Abraham built an altar there and arranged the wood on it. He bound his son Isaac and laid him on on the altar. Then he reached out his hand for his knife to slay his son..."
Genesis 22:9-10

...kuchinja mnyama siku ya Hajj ndio muadhimisho wa tukio lile.

"Do not judge, or you too will be judged
matthew 7:7

...am now out for good, tusijeharibu mada nzuri tu aloanzisha QM ikawa ni "mzozo" wa kidini.
 
...Waslam wanafundishwa kuchinja kuelekeza huko maka kwao kwenye jiwe jeusi hivyo chochote hata binadam wanachinja....

Kwa kuwa nyinyi wakristo... mnakula nyama ya binadam mwenzenu mnafikiri kila mtu yupo hivyo...!?
 
Hivi wale wanyama wanaoleta makeke hata kuwashika inakuwa shida, huwa wanachinjwa vipi ??
 
Back
Top Bottom