PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Wakuu,
Niko kwenye hard time!
Nimeachiwa familia ya Mzee mmoja ambae ameenda zake kijijini kulima baada ya kustaafu, ili niwaangalie watoto wao, lakini wanaendelea kuishi kwenye nyumba yao!
Familia hii ina binti aliyemaliza form 4, lakini baada ya kuondoka wazazi wao ameanzisha tabia ya uchangudoa wa hatari. Kila nikirudi nyumbani napewa taarifa kwamba leo alijifungia ndani na fulani, kesho na mwingine...ni aibu!
Siku moja tukamwita na wife kumuuliza kwanini ameanzisha ushenzi huo, lakini anasema huwa wanaongea tu, hajawahi kufanya!, na ananunua viwalo vipya kama kazi wakati hana hela!
Kuwafahamisha wazazi wao tutaonekana tumeshindwa malezi, tufanyeje na huyu binti, wakati watu wanatishia kum'mimba, na lawama zote zitaangukia kwetu!
Niko kwenye hard time!
Nimeachiwa familia ya Mzee mmoja ambae ameenda zake kijijini kulima baada ya kustaafu, ili niwaangalie watoto wao, lakini wanaendelea kuishi kwenye nyumba yao!
Familia hii ina binti aliyemaliza form 4, lakini baada ya kuondoka wazazi wao ameanzisha tabia ya uchangudoa wa hatari. Kila nikirudi nyumbani napewa taarifa kwamba leo alijifungia ndani na fulani, kesho na mwingine...ni aibu!
Siku moja tukamwita na wife kumuuliza kwanini ameanzisha ushenzi huo, lakini anasema huwa wanaongea tu, hajawahi kufanya!, na ananunua viwalo vipya kama kazi wakati hana hela!
Kuwafahamisha wazazi wao tutaonekana tumeshindwa malezi, tufanyeje na huyu binti, wakati watu wanatishia kum'mimba, na lawama zote zitaangukia kwetu!