This is Rostam I know... The Story Behind the Man

- Kukupa thanks yangu maana yake ni moja tu kwamba nina-approve message yako nilipokupa kwenye ile hoja yako ilikuwa na maana ya kukubali hoja yako kwamba hutumwi, sasa usiite wengine tena jina lile lile uliloliktaaa, eti wanatumwa au wakawaulize waliowatuma.

Ahsante.

FMES!

Kwa hiyo kila Mzee Mwanakijiji akinipa Thanks ni kwa sababu anakubaliana na mimi? Sasa kwa nini ananishukuru halafu ana-refute mchango wangu? Kwa maudhi zaidi, kila anapoiweza, anachambua kila point na kuikosoa!

Mimi nilidhani Thanks ni asante kwa mchango wenye uzito hata kama haukubaliani nao.

Niliishasema, I am not holding my breath kwenye wewe kwenda kuweka ushuhuda. Sishangai.

Sijawahi kumwambia mtu kuwa ametumwa au akamuulize huyo ALIYEMTUMA! Mbona unataka kuleta usanii?

Amandla.....
 
Last edited:
Sababu ya kimsingi ya RA kuwa game player wa Kikwete ni kwasababu anatokea kanda ya ziwa na si sababu nyingine.Ndio maana hata pesa za EPA alipewa yeye ,Mengi Anamchukia RA because he is more influencial near the power

- Unaona sasa, Rostam ni one man na biashara zake na siasa it has nothing to na Kanda ya Ziwa, ninasema absolutely nothing ingekua asingeweza kumfunga Rage over Kapuya, na bado akakubalika huko kanda ya Ziwa, Mtandao wenye siasa za Ziwa ni Diallo, Kamalla, Karamagi na Kagasheki,a kiwemo na Mzee Masha, halafu kama Rostam ni Kanda ya Ziwa basi Chadema wasingepata kura nyingi huko kuliko CCM.

- Urafiki au uhusiano wa Muungwana na Rostam ni purely on Rostam kumsaidia kufadhili kampeni za Muungwana na Rostam kuishia kupewa hela sza kurudisha hela zake baada ya uchaguzi ndio maana Richimonduli na Dowans haziendi kokote!

- Mengi ame-deal na marais wote toka awamu ya kwanza sasa iweje hakuwa na tatizo na matajarii wengine huko nyuma tena waliokuwa na hela kuliko yeye na hata political influence zaidi yake, halafu leo amchukie Rostam ambaye hana tena hiyo power aliyokuwa nayo once? Mengi amekataa kutumwia na Rostam na kundi lake ndio maana hata kwenye uchaguiz hakutaka kujiingiza nao alikuwa akiwapa hela tu kwa mbali, mwenye tatizo hapa sasa hivi against Mengi ni Lowassa na Rostam, kwa sababu sio siri Mengi yuko akribu sana na rais kuliko wote hao mafisadi papa!

Ahsante.

FMEs!
 
Mwanakijiji,
Mkuu wangu nadhani kuhusiana na Elimu ya Rostam na shule zipi kasoma sio issue hapa zaidi ya kutafuta ukweli unaohusiana na Rostam fisadi..

mzee hapa kuna issue kubwa zaidi kuliko elimu au historia yake tu. Kwa mtu ambaye anahusishwa na kutajwa kwenye upotevu mkubwa wa fedha zetu ambaye anatokea tu katika uongozi wetu na kushika nafasi hadi ya kushirikia kumchagua Rais wetu.. kuna kikubwa zaidi then is at stake.

Kama unakumbuka kesi ya Jenerali Ulimwengu juu ya uraia wake na ikawa big deal hadi kuvuliwa uraia wakati jamaa alikuwa na nafasi nyingi serikali hadi kwenye chama kulionesha mapungufu makubwa sana. Lakini zaidi kwa wale wanaokumbuka yaliyotokea baada ya Rwanda kutulia ni jinsi gani watu ambao tuliamini kuwa ni Watanzania ambao walishika nafasi mbalimbali wakiwa na majina yanayofanana na ya Kihangaza au Kihaya walipotimka na kurudi kwao Rwanda wengine wakiwaacha wake zao wa Tanzania. Ndipo tukagundua pia jinsi gani hatuna utaratibu mzuri wa kuchuja watu tunaowaamini kwa sababu mtu akizungumza Kiswahili kizuri basi tunamchukulia kuwa ni Mtanzania.

Kama Rostam kweli alizaliwa na kukulia Irani, na kutoka huko akaja Tanzania ambako kuna sehemu ya familia yake (hili wala siyo tatizo kwani Wairan (Shirazi) wana histoa ya karne kadhaa katika Afrika ya Mashariiki) ambako akaingia katika biashara na baadaye kuibukia kwenye siasa na hatimaye kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano, Mweka Hazina wa CCM n.k wakati yeye si Raia wa Tanzania, kuna issue kubwa!

Kama wakati wa kampeni za Ubunge alisema kuwa yeye amesoma Oxford na kuhitimu na kuwa alisoma shule ya msingi x,y za Tabora na rekodi za Wizara ya Elimu na kule Oxford zikawa hazina jina lake na hakuna mwanafunzi hata mmoja anayesema alisoma naye then my friend we have a con in our midst.

Tukielewa hilo basi yale ya ufisadi ni extension tu ya yeye kwani kama ameweza kuicon nchi nzima, chama n.k hadi akafika alipofika kushiriki EPA na mambo mengine ni rahisi zaidi.

Lakini upande mwingine utaona kuwa haya yote ni rahisi sana kuyamaliza na kuwanyamazisha watu wote kwa kusema "Kuna watu wanahoji Uraia wangu (kama alivyofanya Mtikila na RA kusema "namwachia mungu), na kuwa wanasema mimi sikuzaliwa Tanzania. Naomba niwatoe shaka wananchi wenzangu kwani mimi nilizaliwa mwaka x,y, hospitali au mahali b,c, nilisoma shule ya msingi hapa na baadhi ya niliosoma nao ni m,n, na Sekondari nilisoma mahali hapa na kuhitimu mwaka huo ambapo nilipata daraja hili. Nilichaguliwa A level kwenda shule hii ambapo baada ya kumaliza nilipangiwa kwenda JKT kule lakini niliweza kuondoka na kwenda Oxford/au nilihudhuria Mafinga Operesheni Nguvu Kazi mwaka huo.

Baada ya baba yangu au wazazi kufariki nilirithi biashara .. "

Sasa kwa kusema hivyo, anaondoa mjadala na kuufuta kabisa mjadala wa uraia na historia yake na anatuacha tuzungumze mjadala wa ufisadi bila kuuhusisha na kitu kingine.

Sasa to explore hili siyo nje ya kuelewa ufisadi unaotajwa kuhusika naye kwa sababu as long as haya maswali yanabakia kuwa wazi, yanahusishwa na tuhuma dhidi yake.

Kwa sababu msije kusikia mnafika mwisho inajulikana kuwa si Mtanzania ni Muiran na kumbe kule Iran ana pasi ya kibalozi na hivyo ana immunity! halafu huyo anatimka mtabakia kushangaa..
 
Nakubaliana na MMJ, hoja ya uraia wa huyu ni hoja ya msingi inayohitaji majibu
 
Kwa hiyo kila Mzee Mwanakijiji akinipa Thanks ni kwa sababu anakubaliana na mimi? Sasa kwa nini ananishukuru halafu ana-refute mchango wangu? Kwa maudhi zaidi, kila point akiweza, anaichambua na kuikosoa!

Mimi nilidhani Thanks ni asante kwa mchango wenye uzito hata kama haukubaliani nao.

Niliishasema, I am not holding my breath kwenye wewe kwenda kuweka ushuhuda. Sishangai.

Sijawahi kumwambia mtu kuwa ametumwa au akamuulize huyo ALIYEMTUMA! Mbona unataka kuleta usanii?

Amandla.....
wewe F/mchundu mboni mimi naanza kukuona uko fake fake???ni hii monitor yangu au macho yangu???watu gani nyie hamuitakii nchi yenu mema???U can fool some people some time BUT u cant fool all the people all the time.
Nkosi sikeleli Tz.
 
kwa hiyo rostam is a just a poor victim? ambaye amejikuta "at the wrong place, at a wwrong time)? Kwanini unafikiri RA ana influence kanda ya ziwa? Hiyo influence ilianzia lini kulinganisha na watu waliokuwa na nguvu maeneo hayo.. unless kama kuna ushahidi wowote kuwa familia yake ilikuwa na nguvu kanda hiyo.. kwa sababu siuoni kihistoria ushawishi wa Rostam au familia yake kabla ya 1995.. help me out.. you might be onto something.
Kama ni kutafuta watu mashuhuri kanda ya ziwa kuna kina Diaro, Gachuma Magufuri na wengineo lakini sio fisadi papa RA. kuna siku nilisema za mwizi ni arobaini,za RA zimekwisha fika.Pale kwetu usukumani tunasema hata utumie vipi mizizi kuna siku huishiwa nguvu nakutofanya kazi tena. Kwahiyo RA na yule mgnga wake pale Bagamoyo mizizi imeishiwa nguvu asubiri tu HATIMA YAKE.
 
Last edited:
1.
Usitake kumharibia unaejifanya unamtetea kwa kukumbushia hii habari. Kamuulize kwanza kama angependa hii ishu irudi kwenye public domain!

Amandla......
.



2.
Sijawahi kumwambia mtu kuwa ametumwa au akamuulize huyo ALIYEMTUMA! Mbona unataka kuleta usanii?

Amandla.....
- Mkuu hayo juu ni maneno yako mwenyewe, sasa labda uamue mwenyewe kuhusu unaouita usanii, maana mimi sio msanii wa kusema one thing na kubadilika na ksuema another sio ndio usanii wenyewe huo au?

- Jiheshimu uheshimiwe!

Respect

FMEs!
 
Africa Business, February 1, 2006


Not in the cabinet, but perhaps the most powerful person after Kikwete is the president's long-term political associate Rostam Aziz, the Oxford-educated economics graduate, business tycoon and parliamentarian.


Aziz is a Tanzanian of Iranian extraction with family links in Women get top posts in new cabinet | Trends & Events > Appointments from AllBusiness.com Iran and business links in the other Gulf countries. He has been described as the 'king maker', having played a pivotal role - over a 10-year period - in getting Kikwete nominated by the CCM as its presidential candidate. Content to play the role of the 'power-behind-the-throne', Aziz has not been keen to be in the cabinet as that would have prevented him from concentrating on his vast business interests.


A nickle for your thoughts:

.. mwaka 1980 Rostam alikuwa na miaka 11 (ukiamini tovuti ya Bunge). Alikuwa shule na kwa wazazi wake au mahali fulani katika utoto wake. Miaka 15 baadaye (1995) anaanza kuibuka Igunga (akiwa na 26 years). Baada ya hapo amekuwa katika biashara n.k na sikumbuki kama ni baada ya hapo alienda Oxford. So, kwa vyovyote atakuwa oxford kabla ya 1995 (angalau miaka 3) (tovuti ya Bunge inasema amehitibu Uchumi). Hiyo inaturudisha miaka 23. Kama ni kweli alikuja TZ akiwa na miaka 22 hiyo inatupeleka mwaka 1992.

Hivyo Chuo Kikuu itakuwa ni kabla ya hapo. Hivyo tukitoa miaka mitatu toka 1992, inaturudisha kwenye 1989. Hii inatupa umri wa RA kuanza Chuo Kikuu akiwa na miaka 20. Which is almost the age of graduating High School in Tanzania (kwa mtu aliyeanza shule ya msingi na miaka 7 atamaliza akiwa na miaka 21 so kwa vyovyote kama mahesabu yangu yanakwenda sawasawa atakuwa ameanza shule kama na miaka 6 hivi.

Kama amemaliza kidato cha sita 1989, tunakabiliwa na swali jingine kabisa.. alienda jeshini wapi? Au ndipo hapo aliporuka na kwenda Chuo Kikuu cha Oxford?

Najua mahesabu yangu yatakuwa na + or - few years ..
Mwkjj,
It could be Rostam was a prodigy. Kwa hiyo alirukaruka madarasa na kuingia chuo kikuu at the age of 15. By the time he was 20 ameshamaliza shule anafanya shughuli za biashara. The man is a genius.
 
kwa hiyo rostam is a just a poor victim? ambaye amejikuta "at the wrong place, at a wwrong time)? Kwanini unafikiri RA ana influence kanda ya ziwa? Hiyo influence ilianzia lini kulinganisha na watu waliokuwa na nguvu maeneo hayo.. unless kama kuna ushahidi wowote kuwa familia yake ilikuwa na nguvu kanda hiyo.. kwa sababu siuoni kihistoria ushawishi wa Rostam au familia yake kabla ya 1995.. help me out.. you might be onto something.

RA anauhusiano mzuri sana na waendesha Usafiri maeneo ya Kanda ya Ziwa, Pia huyu mheshimiwa kwa habari ambazo nilipewa anafanya Biashara za ALMASI, he buys from local miners and that is one of his profitable business before even he started construction. Why he was powerfull than kama kina Kahama? alikuwa mchangiaji mzuri sana, wa shughuli za CCM Kanda ya ziwa kabla hajawa mbunge, na CCM huwa inatabia ya kuwavuta watu wote wenye pesa kuingia kundini,Mfano mbunge asiyengea chochote bungeni dewji, Hivyo ame sponsor sana reelection ya wanasiasa wengi wa CCM kanda ya ziwa, Then alipoingia kwenye siasa based on his records ya kuwapa CCM Pesa akapandishwa fasta fasta.
 
mzee hapa kuna issue kubwa zaidi kuliko elimu au historia yake tu. Kwa mtu ambaye anahusishwa na kutajwa kwenye upotevu mkubwa wa fedha zetu ambaye anatokea tu katika uongozi wetu na kushika nafasi hadi ya kushirikia kumchagua Rais wetu.. kuna kikubwa zaidi then is at stake.

Kama unakumbuka kesi ya Jenerali Ulimwengu juu ya uraia wake na ikawa big deal hadi kuvuliwa uraia wakati jamaa alikuwa na nafasi nyingi serikali hadi kwenye chama kulionesha mapungufu makubwa sana. Lakini zaidi kwa wale wanaokumbuka yaliyotokea baada ya Rwanda kutulia ni jinsi gani watu ambao tuliamini kuwa ni Watanzania ambao walishika nafasi mbalimbali wakiwa na majina yanayofanana na ya Kihangaza au Kihaya walipotimka na kurudi kwao Rwanda wengine wakiwaacha wake zao wa Tanzania. Ndipo tukagundua pia jinsi gani hatuna utaratibu mzuri wa kuchuja watu tunaowaamini kwa sababu mtu akizungumza Kiswahili kizuri basi tunamchukulia kuwa ni Mtanzania.

Kama Rostam kweli alizaliwa na kukulia Irani, na kutoka huko akaja Tanzania ambako kuna sehemu ya familia yake (hili wala siyo tatizo kwani Wairan (Shirazi) wana histoa ya karne kadhaa katika Afrika ya Mashariiki) ambako akaingia katika biashara na baadaye kuibukia kwenye siasa na hatimaye kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano, Mweka Hazina wa CCM n.k wakati yeye si Raia wa Tanzania, kuna issue kubwa!

Kama wakati wa kampeni za Ubunge alisema kuwa yeye amesoma Oxford na kuhitimu na kuwa alisoma shule ya msingi x,y za Tabora na rekodi za Wizara ya Elimu na kule Oxford zikawa hazina jina lake na hakuna mwanafunzi hata mmoja anayesema alisoma naye then my friend we have a con in our midst.

Tukielewa hilo basi yale ya ufisadi ni extension tu ya yeye kwani kama ameweza kuicon nchi nzima, chama n.k hadi akafika alipofika kushiriki EPA na mambo mengine ni rahisi zaidi.

Lakini upande mwingine utaona kuwa haya yote ni rahisi sana kuyamaliza na kuwanyamazisha watu wote kwa kusema "Kuna watu wanahoji Uraia wangu (kama alivyofanya Mtikila na RA kusema "namwachia mungu), na kuwa wanasema mimi sikuzaliwa Tanzania. Naomba niwatoe shaka wananchi wenzangu kwani mimi nilizaliwa mwaka x,y, hospitali au mahali b,c, nilisoma shule ya msingi hapa na baadhi ya niliosoma nao ni m,n, na Sekondari nilisoma mahali hapa na kuhitimu mwaka huo ambapo nilipata daraja hili. Nilichaguliwa A level kwenda shule hii ambapo baada ya kumaliza nilipangiwa kwenda JKT kule lakini niliweza kuondoka na kwenda Oxford/au nilihudhuria Mafinga Operesheni Nguvu Kazi mwaka huo.

Baada ya baba yangu au wazazi kufariki nilirithi biashara .. "

Sasa kwa kusema hivyo, anaondoa mjadala na kuufuta kabisa mjadala wa uraia na historia yake na anatuacha tuzungumze mjadala wa ufisadi bila kuuhusisha na kitu kingine.

Sasa to explore hili siyo nje ya kuelewa ufisadi unaotajwa kuhusika naye kwa sababu as long as haya maswali yanabakia kuwa wazi, yanahusishwa na tuhuma dhidi yake.

Kwa sababu msije kusikia mnafika mwisho inajulikana kuwa si Mtanzania ni Muiran na kumbe kule Iran ana pasi ya kibalozi na hivyo ana immunity! halafu huyo anatimka mtabakia kushangaa..

Asante Mzee Mwanakijiji (Busara zenu zinahitajika humu)
 
kwa hiyo rostam is a just a poor victim? ambaye amejikuta "at the wrong place, at a wwrong time)? Kwanini unafikiri RA ana influence kanda ya ziwa? Hiyo influence ilianzia lini kulinganisha na watu waliokuwa na nguvu maeneo hayo.. unless kama kuna ushahidi wowote kuwa familia yake ilikuwa na nguvu kanda hiyo.. kwa sababu siuoni kihistoria ushawishi wa Rostam au familia yake kabla ya 1995.. help me out.. you might be onto something.
Kama ni kutafuta watu mashuhuri kanda ya ziwa kuna kina Diaro, Gachuma Magufuri na wengineo lakini sio fisadi papa RA. kuna siku nilisema za mwizi ni arobaini,za RA zimekwisha fika.Pale kwetu usukumani tunasema hata utumie vipi mizizi kuna siku huishiwa nguvu nakutofanya kazi tena. Kwahiyo RA na yule mgnga wake pale Bagamoyo mizizi imeishiwa nguvu asubiri tu HATIMA YAKE.
 
Kwa hiyo mtu yeyote muovu akifa ndiyo basi uovu wake unasafishwa? Kama hii habari hatuwezi kuepuka kumnyooshea mkono marehemu kuwa ndiye aliyetuingiza kote huku. Kututangulia kwake hakubadili ukweli huo!

Amandla.......

Nakubaliana na wewe, lakini swali langu bado liko pale pale. Skendo ya KAGODA na EPA kwa ujumla ilianza kabla Ballali hajafa. Tume ya Mwanyika, Hoseah na Mwema ilianza kazi kabla Ballali hajafa.

Rais (JK) kwenye maelezo yaliyosomwa na Luhanjo mbele ya waandishi wa habari alidai kwamba, "Rais amekasirishwa sana na kitendo cha wizi uliofanyika na amemfuta kazi Gavana wa BoT, na pia ameunda tume ya kufuatilia skendo ya EPA. By then Ballali was still alive na serikali ilikuwa haisemi yuko wapi, anatibiwa ugonnjwa gani, hospitali gani na maswali mengineyo kibao ambayo yalizuwa mjadala mkali sana hapa jamvini mpaka wengine waka-claim kwamba Ballali hajafa.

Je, hiyo tume kwanini haikuanzia kazi kwa Ballali?

Kuna mambo mengi yalitokea kwa wakati mmoja ama kwa kupishana kwa muda mfupi. Ripoti ya Uchunguzi ya Ernst & Young ilipotoka tu, Ballali aliandika barua ya kujiuzulu na iko hapa hapa jamvini. Ikulu ilikana kupokea barua hiyo wala Rais kuiona. After few days ndipo ikaja taarifa ya Luhanjo kwamba Rais kamfuta kazi Gavana. Kwanini Ikulu ilikana kupokea/kuona resignation letter ya Ballali? Ballali akiwa suspect namba moja kwanini timu ya Mwanyika haikumtafuta kumhoji? Wale staff waliofutwa kazi BoT baadhi yao wameshitakiwa. Kama hao staff waliokuwa chini ya Gavana walihojiwa na hatimaye kufikishwa mahakamani, kwanini hilo halikufanyika kumhoji Ballali, maana kila kitu kilikuwa kinaanzia juu (kwa Gavana) na hatimaye kufika chini.

Pamoja na kwamba Ballali alikuwa na makosa yake lakini serikali na timu ya Mwanyika haikututendea haki kwa kutomhoji ili watu tupate ukweli. Kuna kitu ambacho serikali ilikuwa inakificha na kingefumka basi ingekuwa balaa.
 
Lusajo,
Mkuu wangu acha hizo.. Yaani ulitegemea Rostam ajieleze amezaliwa na kukulia wapi?..mbona Mengi hakufanya hivyo!.. ebu nambie wewe unajua Mengi amezaliwa, kakulia na kasoma wapi au ndio kwanza uta google!..
Na unapofanya hivyo unatafuta kitu gani kumjua Mengi ili iweje?..kuwa yeye anaweza kuwa msafi zaidi ya Rostam..Umeona kiongozi gani akiitisha waandishi wa habari hutanguliza historia yake kwanza.. hii sheria imetoka wapi!
Mkuu wangu tunachotafuta hapa ni kumjua Rostam Fisadi na kama alivyozungumzia mwanzilishi wa mada hii kachambua maafa yake kwa jamii yetu badala ya historia ya masiha yake..Hakuna mtu anayetaka kumchagua Rostam kugombea Urais hapa..
Na nimevutiwa na mada hii kwa sababu inanipa picha halisi ya nani Rostam kwa mapana ya Uchafu wake sio nani mzazi wake na ana asili gani..
Kuna watu wanasema Nyerere asili yake ni toka Rwanda sijui Burundi kuna mtu aliuliza kama alikwenda kuapishwa kuwa Mtanzania?..

Kumbuka kaka Tanzania kuna malighafi muhimu sana na zinahitajika humu duniani, nadhani ndicho hata kuna watu wanajaribu kukiandika huku (It is more that Elimu na rangi tuu) Na alikotokea kinahitajika. Kwa hiyo ni taadhari ya kuwa macho tuu.
 
RA alikuwa hana uwezo nor power to give orders kwa Mkapa, RA alikuwa ana represent CCM katika hii game paln, Kwhiyo Mkapa alikuwa anatekeleza orders za wana CCM wenzake wanaojua mazambi yake.

Swala la Billion 133 Kuchukuliwa badala ya 31, Ukweli wake uko wazi. Kuna madeni ya Moja kwa Mojaa amabayo CCM ilkuwa ime incur before hata hawajamchagua mgombea wa Uraisi,

Magari CCM yalikuwa yanawekewewa mafuta Bure na Vituo Mbali mabli vya mafuta, E.g Oil Com, and Njake kule maeneo Ya Arusha, Which in return ndio unaona hadi kama kina njake wakawa katika Plot ya kuchota PESA za EPA,

Hebu leo nenda kamwulize mzee njake, kama ana furaha na kuingizwa kwake kwenye huu mtego.

Mwisho, Kwa wewe na wengine mnaozidi kupush kwamba RA ndie EPA ninawauliza maswali ya Msingi? Bila CCM kuweka Baraka za huu wizi RA angewezaje kuchota hizo pesa? Bila CCM na serikali yake kuweka baraka how is the Money Launderling due deligency didnt catch RA?
By then Mkapa had long been compromised by Rostam.
 
Mkandara,
Kuhusu lafudhi si hoja. Siku moja nilikwenda Japan na pale nyumbani kwa marehemu Palangyo walikuja Wajapani watano ambao walifanya kazi Tanzania. Ungesikia wanazungumza Kiswahili kwa lafudhi nzuri usingeamini ni Wajapani. Rostam anaweza kuwa jasusi wa Iraq aliyetumwa kwa malengo kadhaa (I am stretching here) Tanzania. Kwa hiyo lafudhi si hoja.
 
.. mwaka 1980 Rostam alikuwa na miaka 11 (ukiamini tovuti ya Bunge). Alikuwa shule na kwa wazazi wake au mahali fulani katika utoto wake. Miaka 15 baadaye (1995) anaanza kuibuka Igunga (akiwa na 26 years). Baada ya hapo amekuwa katika biashara n.k na sikumbuki kama ni baada ya hapo alienda Oxford. So, kwa vyovyote atakuwa oxford kabla ya 1995 (angalau miaka 3) (tovuti ya Bunge inasema amehitibu Uchumi). Hiyo inaturudisha miaka 23. Kama ni kweli alikuja TZ akiwa na miaka 22 hiyo inatupeleka mwaka 1992.


Hivyo Chuo Kikuu itakuwa ni kabla ya hapo. Hivyo tukitoa miaka mitatu toka 1992, inaturudisha kwenye 1989. Hii inatupa umri wa RA kuanza Chuo Kikuu akiwa na miaka 20. Which is almost the age of graduating High School in Tanzania (kwa mtu aliyeanza shule ya msingi na miaka 7 atamaliza akiwa na miaka 21 so kwa vyovyote kama mahesabu yangu yanakwenda sawasawa atakuwa ameanza shule kama na miaka 6 hivi.

Kama amemaliza kidato cha sita 1989, tunakabiliwa na swali jingine kabisa.. alienda jeshini wapi? Au ndipo hapo aliporuka na kwenda Chuo Kikuu cha Oxford?

Kama kweli alikuja hapa akiwa na umri wa miaka 22 na alikuwa ni raia wa Iran, kwa utaratibu wa iran (education system in iran) inawezekana kabisa alikuwa amemaliza chuo kikuu.

Iran Education SystemStudy in Iran - Educational System

Pre-school Education - 5 to 6

Primary 6 to 11

Middle School 11 to 14

Secondary: 15 to 17

Pre-university 17 to 18

University could be 19 to 23

By the way who is Rostam? He is mercenary who came to this country from Iran at the age of 22 to visit his uncle who was trading on buying and exporting hides. He stayed there in Igunga, learnt the local language including swahili as well as politics, before officially jumping into the bandwagon of parliament in 1994 after the death of Charles Kabeho.

Pili kama kweli alikuja hapa na miaka 22 inamaanisha alikuja mwaka 1991, na kama kweli mwaka wake wa kuzaliwa ni 1969, je tunataka kusema ndani ya hiyo miaka mitatu ndio alijifunza kisukuma, kiswahili na siasa?

There is a miss somewhere!
 
Last edited:
1.



2. - Mkuu hayo juu ni maneno yako mwenyewe, sasa labda uamue mwenyewe kuhusu unaouita usanii, maana mimi sio msanii wa kusema one thing na kubadilika na ksuema another sio ndio usanii wenyewe huo au?

- Jiheshimu uheshimiwe!

Respect

FMEs!

Usitake kumharibia unaejifanya unamtetea kwa kukumbushia hii habari. Kamuulize kwanza kama angependa hii ishu irudi kwenye public domain!


Kukupa thanks yangu maana yake ni moja tu kwamba nina-approve message yako nilipokupa kwenye ile hoja yako ilikuwa na maana ya kukubali hoja yako kwamba hutumwi, sasa usiite wengine tena jina lile lile uliloliktaaa, eti wanatumwa au wakawaulize waliowatuma.

Posting yangu hiyo hapo juu. Wapi niliposema ametumwa? Kwa nini niseme "unayejifanya kumtetea" kama ninataka kusema kuwa ametumwa nae? Wapi nimesema " kamuulize ALIYEKUTUMA"? Nilikueleza kuwa sabau ya kumwambia kuwa akamuulize ni kuwa sidhani kama mheshimiwa anaemzungumzia ana habari na hayo aliyoleta humu. Sasa kama amemtuma, kwa nini asiwe na habari na kinachoendelea? Niliishakukuambia kuwa ule ulikuwa ni ushauri wa bure kuwa kwa kumwingiza mheshimiwa anafungua mlango wa shutuma kuelekezwa kwake. Kitu ambacho ulikifanya promptly kuonyesha kuwa si msafi kama alivyotaka kumuonyesha!

Usitake kupindisha niliyoyasema kwa faida ya jamvi. Kama ningetaka kusema kuwa ametumwa, ningesema hivyo. Lakini hapa sikuwa na nia hiyo kwa hiyo sikusema.

Usitake kuturudisha tulikotoka, Mkuu. Ni hayo tu.

Amandla..........
 
- Unaona sasa, Rostam ni one man na biashara zake na siasa it has nothing to na Kanda ya Ziwa, ninasema absolutely nothing ingekua asingeweza kumfunga Rage over Kapuya, na bado akakubalika huko kanda ya Ziwa, Mtandao wenye siasa za Ziwa ni Diallo, Kamalla, Karamagi na Kagasheki,a kiwemo na Mzee Masha, halafu kama Rostam ni Kanda ya Ziwa basi Chadema wasingepata kura nyingi huko kuliko CCM.

- Urafiki au uhusiano wa Muungwana na Rostam ni purely on Rostam kumsaidia kufadhili kampeni za Muungwana na Rostam kuishia kupewa hela sza kurudisha hela zake baada ya uchaguzi ndio maana Richimonduli na Dowans haziendi kokote!

- Mengi ame-deal na marais wote toka awamu ya kwanza sasa iweje hakuwa na tatizo na matajarii wengine huko nyuma tena waliokuwa na hela kuliko yeye na hata political influence zaidi yake, halafu leo amchukie Rostam ambaye hana tena hiyo power aliyokuwa nayo once? Mengi amekataa kutumwia na Rostam na kundi lake ndio maana hata kwenye uchaguiz hakutaka kujiingiza nao alikuwa akiwapa hela tu kwa mbali, mwenye tatizo hapa sasa hivi against Mengi ni Lowassa na Rostam, kwa sababu sio siri Mengi yuko akribu sana na rais kuliko wote hao mafisadi papa!

Ahsante.

FMEs!

Kwahiyo unataka kusema Mengi sio fisadi?
 
Hapa sasa inakuwa wazi kuwa CCM ya leo ni danguro la mafisadi taaasisi kama TAKUKURU chini ya serikali yake zilivyo za kulinda na kukuza ufisadi. Kama Jenerali ulimwengu pamoja na utumishi wake walivalia njuga iweje RA wamfumbie macho kiasi hiki? Yaelekea upo ufisadi mkubwa mno kuliko tunavyofahamu na unaoshirikisha wazito wote wenye mamlaka sasa hivi. Kihiyo tu mtanzania mwenzetu hawakumvumilia alipodanganya kuhusu elimu yake. Leo hata urai wake haueleweki lakini CCM ikaridhia sifa zake za kitaaluma za kujipachika! MKJJ asante nami nakubali huyu safari naona imeiva.
 
Unajua at the same time... naamini kuna mtu mmoja tunammiss katikahili la EPA, sijui ni nani... it is like a missing link
 
Back
Top Bottom