This africa

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Apr 27, 2011
566
80
2011-07-28T174511Z_01_BTRE76R1DBI00_RTROPTP_2_SOMALIA-FAMINE.JPG
 
Hizi ndio picha wanazopeleka duniani ili Africa ionekane shida tupu while kila siku wanamiminika kuja kuvuna utajiri wetu, kumbafu zao!!!!
 
Hizi ndio picha wanazopeleka duniani ili Africa ionekane shida tupu while kila siku wanamiminika kuja kuvuna utajiri wetu, kumbafu zao!!!!

Mkuu ila hii ipo africa.....tunapaswa kusaidiana ili isifike huku!
 
Mkuu ila hii ipo africa.....tunapaswa kusaidiana ili isifike huku!
Lazima tulaumiwe. Hivi sasa Ulaya na Marekani janga la ukame na njaa kwenye 'Horn of Africa' inaongelewa sana. Hakuna kiongozi yeyotewa Afrika anayesumbuliwa nalo hili. Na wala hawaoni aibu kwa sababu u-Matonya imekuwa kama hulka yetu.
 
  • Thanks
Reactions: RR
Lazima tulaumiwe. Hivi sasa Ulaya na Marekani janga la ukame na njaa kwenye 'Horn of Africa' inaongelewa sana. Hakuna kiongozi yeyotewa Afrika anayesumbuliwa nalo hili. Na wala hawaoni aibu kwa sababu u-Matonya imekuwa kama hulka yetu.

Tunawangoja waje watusaidie kila kitu....ikija kwa ghadafi tunasema tusiingiliwe......
 
Katikati ya balaa kama hizi kuna wizi na ubaradhuli unaendelea kwa rasilimali za umma! Hii itadumu hadi lini?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom