Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Agosti 1, 2012 kulikuwa na mahafari ya tatu ya chuo hicho.Mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ndugu Emmanuel Nchimbi. Katika wanafunzi 19 waliohitimu watatu walipata First class.Wa kwanza alipata CGPA ya 4.7, wa pili 4.5 na wa tatu 4.4. Huyu wa kwanza alipewa laptop,cheti na ngao. Wa pili alipewa cheti ngao na vitabu na wa tatu alipewa cheti. Tunategemea wazitumie pia kwenye kazi ili ilete reflection nzuri ya GPA zao.