Third Graduation ceremony at St Joseph college of Information Technology:Hawa ndio vipanga wao

Ngalikivembu

JF-Expert Member
Oct 6, 2010
1,959
872
Agosti 1, 2012 kulikuwa na mahafari ya tatu ya chuo hicho.Mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ndugu Emmanuel Nchimbi. Katika wanafunzi 19 waliohitimu watatu walipata First class.Wa kwanza alipata CGPA ya 4.7, wa pili 4.5 na wa tatu 4.4. Huyu wa kwanza alipewa laptop,cheti na ngao. Wa pili alipewa cheti ngao na vitabu na wa tatu alipewa cheti. Tunategemea wazitumie pia kwenye kazi ili ilete reflection nzuri ya GPA zao.
 

Attachments

  • Kapewa laptop.JPG
    Kapewa laptop.JPG
    40.5 KB · Views: 123
  • akionesha cheti.JPG
    akionesha cheti.JPG
    38.1 KB · Views: 100
  • kipanga wa pili.JPG
    kipanga wa pili.JPG
    37.9 KB · Views: 91
  • kipanga wa 3.JPG
    kipanga wa 3.JPG
    38 KB · Views: 73
  • kapewa ngao.JPG
    kapewa ngao.JPG
    35.2 KB · Views: 67
Agosti 1, 2012 kulikuwa na mahafari ya tatu ya chuo hicho.Mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ndugu Emmanuel Nchimbi. Katika wanafunzi 19 waliohitimu watatu walipata First class.Wa kwanza alipata CGPA ya 4.7, wa pili 4.5 na wa tatu 4.4. Huyu wa kwanza alipewa laptop,cheti na ngao. Wa pili alipewa cheti ngao na vitabu na wa tatu alipewa cheti. Tunategemea wazitumie pia kwenye kazi ili ilete reflection nzuri ya GPA zao.

big UP!!!
 
Saafi,ila kaonyesheni kwa vitendo hizo firstclass zenu,ata kama vipi muombe kwenye vyuo kama saut kama mata
 
Agosti 1, 2012 kulikuwa na mahafari ya tatu ya chuo hicho.Mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ndugu Emmanuel Nchimbi. Katika wanafunzi 19 waliohitimu watatu walipata First class.Wa kwanza alipata CGPA ya 4.7, wa pili 4.5 na wa tatu 4.4. Huyu wa kwanza alipewa laptop,cheti na ngao. Wa pili alipewa cheti ngao na vitabu na wa tatu alipewa cheti. Tunategemea wazitumie pia kwenye kazi ili ilete reflection nzuri ya GPA zao.

Mbona wabahili hivyo?wamempa "kilaptop kiduchu" au macho yangu!!!
 
Agosti 1, 2012 kulikuwa na mahafari ya tatu ya chuo hicho.Mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ndugu Emmanuel Nchimbi. Katika wanafunzi 19 waliohitimu watatu walipata First class.Wa kwanza alipata CGPA ya 4.7, wa pili 4.5 na wa tatu 4.4. Huyu wa kwanza alipewa laptop,cheti na ngao. Wa pili alipewa cheti ngao na vitabu na wa tatu alipewa cheti. Tunategemea wazitumie pia kwenye kazi ili ilete reflection nzuri ya GPA zao.

kama ni cha dar huo uongo kwani leo tar 4 mwezi 8 2012 wamefanya graduu yao ya 4 na mgeni ramsi alikuwa mh.John Pombe Magufuli
 
mbona tarehe ya kwenye picha inaonesha ilikuwa tarehe 1 /8 / 2012.??
 
Agosti 1, 2012 kulikuwa na mahafari ya tatu ya chuo hicho.Mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ndugu Emmanuel Nchimbi. Katika wanafunzi 19 waliohitimu watatu walipata First class.Wa kwanza alipata CGPA ya 4.7, wa pili 4.5 na wa tatu 4.4. Huyu wa kwanza alipewa laptop,cheti na ngao. Wa pili alipewa cheti ngao na vitabu na wa tatu alipewa cheti. Tunategemea wazitumie pia kwenye kazi ili ilete reflection nzuri ya GPA zao.

4.7,4.5,4.4 ,kiini macho hiki! Chuo kinafanya biashara hiki hamna kipya
 
Back
Top Bottom