Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
Wana bodi hii ni kutaka kujua tu. mwenye ufahamu anifahanishe.
mtu unakuwa huna haki ya kugombea kama huna sifa za kupiga kura nina uhakika ipo kisheria na kikanuni kwa mujibu wa vyama vya siasa.
Hili la Mtu mwenye kinga ya kutoshtakiwa likoje. Kama yeye hashtakiwi ni kipi kinamfanya amtetee mtu mahakamani.
ninajua kuwa unapotoa ushahidi wa uongo mahakamani unaweza kufungwa! Je huyu Rais Mstaafu (kwa Mfano Mkapa leo dhidi ya Mahalu) ambaye ana kinga! akaongea uongo na mahakama ikaproove sheria inasemaje hapo! naomba mnijuze wandugu
mtu unakuwa huna haki ya kugombea kama huna sifa za kupiga kura nina uhakika ipo kisheria na kikanuni kwa mujibu wa vyama vya siasa.
Hili la Mtu mwenye kinga ya kutoshtakiwa likoje. Kama yeye hashtakiwi ni kipi kinamfanya amtetee mtu mahakamani.
ninajua kuwa unapotoa ushahidi wa uongo mahakamani unaweza kufungwa! Je huyu Rais Mstaafu (kwa Mfano Mkapa leo dhidi ya Mahalu) ambaye ana kinga! akaongea uongo na mahakama ikaproove sheria inasemaje hapo! naomba mnijuze wandugu