babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,243
Amini usiamini kweli ccm mnashangaza na ndio maana mnaambiwa chama kinakufa.Hivi mawaziri wanaposema mambo wanayotamka kwenye kampeni sio kweli sasa kipi sisi wananchi tutajua ni cha kweli katika sera za chama? wananchi hapa tunapigwa za mdomo tuwakatae watu hawa kumbe ni wachafu kwa maneno na vitendo.
kwa ccm twaweza sema :no longer at easy:
kwa ccm twaweza sema :no longer at easy: