Thi kupigwa vita ,je ni kwa maslahi binafsi

TanzActive

JF-Expert Member
Nov 14, 2007
367
73
Leo nimepita Mbele ya Hospitali ya Taasisi ya magonjwa ya Moyo(THI) , nimekuta bango kubwa kwamba imefungwa. Hii taasisi ya THI imekuwa ikipigwa vita tangu ilipoanzishwa . Swali kwa JF , je ? sio kwamba inapigwa vita ili watu wa wizarani waendelee na mavuno yao katika kupeleka wagonjwa India ?
 
Leo nimepita Mbele ya Hospitali ya Taasisi ya magonjwa ya Moyo(THI) , nimekuta bango kubwa kwamba imefungwa. Hii taasisi ya THI imekuwa ikipigwa vita tangu ilipoanzishwa . Swali kwa JF , je ? sio kwamba inapigwa vita ili watu wa wizarani waendelee na mavuno yao katika kupeleka wagonjwa India ?

Kuna wajinga wajinga flani wanaipiga vita kwa masrahi yao binafsi
 
Ni kweli THI inapigwa vita sana tena vita hii ni ya siku nyingi sana.
 
Ni kweli THI inapigwa vita sana tena vita hii ni ya siku nyingi sana.
Hili jambo limenisikitisha sana kwa sababu miaka 4 iliyopita nilimpeleka Mzee wangu pale akiwa na ugonjwa wa moyo kupanuka na alipona hadi leo hii.

Hii ni sawa na mauaji , kuwanyima wananchi matibabu kwa bei ahuweni
 
Sijui ni kwanini serikali isi_sacrifice bilioni kama 40 kila mwaka ili kuendeleza taasisi moja ya afya. Mfano budget ya 2012/13 taasisi ya moyo, 2013/14 taasisi ya figo, 2014/15 taasisi ya mifumo ya fahamu, 2015/16 taasisi ya mifupa....
 
Sijui ni kwanini serikali isi_sacrifice bilioni kama 40 kila mwaka ili kuendeleza taasisi moja ya afya. Mfano budget ya 2012/13 taasisi ya moyo, 2013/14 taasisi ya figo, 2014/15 taasisi ya mifumo ya fahamu, 2015/16 taasisi ya mifupa....

Yaani hawa serikali ya CCM
Hawana mpango wa kuboresha huduma ya afya
 
Back
Top Bottom