Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Ni marehemu sasa hivi,na sio Miss Tanzania wa kwanza bali wa mwisho kabla shindano halijafutwa na serikali na kuja kufufuliwa tena 1994.
Walidai mashindano hayo hayaendani na maadili ya kiafrika na pia yanadhalilisha uanamke.kwanini serikali ililifuta?!
Ni marehemu sasa hivi,na sio Miss Tanzania wa kwanza bali wa mwisho kabla shindano halijafutwa na serikali na kuja kufufuliwa tena 1994.
Mkuu tatizo la Emily mwaka 1995 alikuwa mwanafunzi wa form 3 alipojiunga na mashindano na kushinda,kimbembe kilikuwa alipotaka kurudi shule Mwalimu Mkuu akadai kwa kutembea uchi-yaani vazi la ufukweni kaidhalilisha shule na pia hakupewa ruhusa akafukuzwa.Emily Adolph akaharibu mambo tena na yeye baada ya kutembea uchi tena
kiongozi unamfahamu yeyote kati yao?Yaan hao warembo ni vikongwe sasa, kweli ujana maji ya moto...
kiongozi unamfahamu yeyote kati yao?
Huyo white kuliko wote nitampataje? Naona ana mvuto wa kufa mtu
Usiogope kiongozi....ng'ombe hazeeki maini.......kizazi cha kina bi cheka hicho.mkuu atakuwa kikongwe sasa