Unkolonized
Member
- Dec 8, 2010
- 50
- 8
Kiukweli kuna kila dalili kuwa huu utawala hautamaliza muda wake na wananchi kuchukua nchi yao! Fikria mimi mkulima wa pamba nimesota na pamba yangu for so long leo hii naambiwa kilo ya pamba itauzwa kwa tshs 500 tu, hivi kweli tutafika.
Nntakachofanya ni kuita wana habari na kudemo kwa kuichoma pamba yangu coz huu ni upuuzi na kilimo kwanza chao huku matrekta yakiozea pale Dodoma yapo yard utafikiri ndo yako bandarini!
Mtumeeeee tunusuru waja wako!
Nntakachofanya ni kuita wana habari na kudemo kwa kuichoma pamba yangu coz huu ni upuuzi na kilimo kwanza chao huku matrekta yakiozea pale Dodoma yapo yard utafikiri ndo yako bandarini!
Mtumeeeee tunusuru waja wako!