There's a day comes "watajuta"!

Unkolonized

Member
Dec 8, 2010
50
8
Kiukweli kuna kila dalili kuwa huu utawala hautamaliza muda wake na wananchi kuchukua nchi yao! Fikria mimi mkulima wa pamba nimesota na pamba yangu for so long leo hii naambiwa kilo ya pamba itauzwa kwa tshs 500 tu, hivi kweli tutafika.

Nntakachofanya ni kuita wana habari na kudemo kwa kuichoma pamba yangu coz huu ni upuuzi na kilimo kwanza chao huku matrekta yakiozea pale Dodoma yapo yard utafikiri ndo yako bandarini!

Mtumeeeee tunusuru waja wako!
 
Kiukweli kuna kila dalili kuwa huu utawala hautamaliza muda wake na wananchi kuchukua nchi yao! Fikria mimi mkulima wa pamba nimesota na pamba yangu for so long leo hii naambiwa kilo ya pamba itauzwa kwa tshs 500 tu, hivi kweli tutafika.

Nntakachofanya ni kuita wana habari na kudemo kwa kuichoma pamba yangu coz huu ni upuuzi na kilimo kwanza chao huku matrekta yakiozea pale Dodoma yapo yard utafikiri ndo yako bandarini!

Mtumeeeee tunusuru waja wako!

Pole sana mkuu. Lakini ndiyo hali halisi, utafanyaje sasa. Nakushauri usiichome pamba yako uliyoitolea jasho na pesa.
Pia kichwa cha habari kama unataka kisomeke na kieleweke kwa kiingereza uandike "THERE COMES A DAY" Watajuta. Ni ushauri tu mkuu. Nadhani English Learner atakusaidia zaidi.
 
Pole sana mkuu. Lakini ndiyo hali halisi, utafanyaje sasa. Nakushauri usiichome pamba yako uliyoitolea jasho na pesa.
Pia kichwa cha habari kama unataka kisomeke na kieleweke kwa kiingereza uandike "THERE COMES A DAY" Watajuta. Ni ushauri tu mkuu. Nadhani English Learner atakusaidia zaidi.

Asante mkuu si unajua tena shule za kata na walimu wa voda fasta ndo maana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom