There is no way out: Just do it... wakamateni tu yaishe

Hawawezi kujikamata. They will spin this off bila aibu kama ilivyo desturi yao. Suluhisho hapa ni kuondoa hii serikali madarakani. Vinginevyo hakuna tumaini la kuondokana na udhalimu kama aliotendewa Dr. Ulimboka. Wananchi waache kuongea tu ... wachukue hatua. Wajiandikishe kupiga kura, wajiandae kupiga kura, kila chaguzi wakapige kura na kuzilinda mpaka hatua ya mwisho ili kuondoa kabisa wadhalimu nguli.
 
Sina hakika kama kumbukumbu zangu zipo sawa, lakini nadhani kwenye Meremeta alisema hata akiwekewa KISU hawezi kueleza kuhusu umiliki wa Meremeta. Nadhani naweza kuwa sahihi,,,,not sure!
Kauli za Mizengo Pinda siku zimekuwa zikiiweka serikali on the defensive mara kwa mara, je ana competency issues?
  • wakati EPA imeshika kasi na kauli yake kuwa HAWA NI WATU WENYE NGUVU SANA, SERIKALI ITAYUMBA
  • Wakati wa sakata la Zanzibar si NCHI
  • Wakati wa sakata la Maalbino hadi kutoa CHOZI
  • Wakati wa sakata la Jairo na kauli yake ya NINGEKUWA MIMI
  • Wakati wa sakata la kupandishwa posho za wabunge aliungana na spika baadaye bosi wao akaruka
  • Sasa hivi kauli yake ya LIWALO NA LIWE inaonekana kuashiria wazi kuwa serikali na hasa WM alijua nini kimemtokea kiongozi wa madaktari
Serikali has a million ways kujitoa "hata kama ilihusika". Tatizo ni competence na ujasiri wa kufanya hivyo!
 
Wee Mama Mdogo, mbona maswali mengi hivyo?
Kukata uno wapi? Makubwa!!! Siku hizi kukata uno ni sehemu ya CV ya kupata ukuu wa mkoa?? Kama ni hivyo wanamziki mbona hawapwi hata ukku wa kata?? Au kiuno hiki kinakatwa wapi?? Kwenye sherehe ya kitaifa au???
 
MM,

Just out of curiosity, now it seems things are getting out of hand and taking you post yesterday on the allged car that passed by the scene of crime that fateful night, could it be possible that JMK or his "allies" got wind of the incident? And if that is the case and as per his last speech denying Govt "direct" involvement and the rumours on ACP Msanig going "undercover", could it be that things have run out?

I mean what is your post trying to foreshadow?
 
Niwie radhi mama mdogo si nia yangu kukukosea adabu. Kifupi ana maana Stella Manyanya amepata vyeo yake kwa kuchojoa kaptula ya ndani.

Kukata uno wapi? Makubwa!!! Siku hizi kukata uno ni sehemu ya CV ya kupata ukuu wa mkoa?? Kama ni hivyo wanamziki mbona hawapwi hata ukku wa kata?? Au kiuno hiki kinakatwa wapi?? Kwenye sherehe ya kitaifa au???
 
Jamani nataka kuuliza swali..
Hao Wabunge wa CCM wanaodai kwamba Chadema inahusika kwa madai ya kuwa WALIOMTEKA Dr.Ulimboka walivaa magwanda kama ya Chadema. Je, hawa wabunge walikuwepo hadi wanajua haya? na walizipata wapi taarifa hizi ikiwa hadi sasa hivi taarifa za Polisi hazijathibitisha wahusika wenyewe na wala hii sii taarifa za bunge?.

Hivi kisheria hawa Wabunge hawawezi kubanwa kueleza wamezipata wapi taarifa hizi, tofauti na madai ya Chadema ambayo askari wetu
.
Sasa wewe hujui kuwa polisi wanavaa nguo zenye rangi sawa na zile za Chadema?.
Msiogope wauao mwili wasiweze kuua na roho, afadhali mwogopeni yeye awezaye kuua vyote, mwili na roho katika jehanamu.
 
na ukizingatia tetesi kua hali ya dokta Ulimboka inazidi kuimarika basi ni utata mtupu. kwa kua rais alisema kama ni mtu wa serikali alifanya hivyo ni kwa utashi wake mwenyewe na sio kwa oda yake basi mbona pakuanzia tayari pamepatikana. wawakamate wahusika halafu rais ajikwepeshe kua hahusiki kama alivyoanza kujitoa kwene hotuba yake
 
Katika kutatua Mzozo unaendelea kwa Madaktari, UNYAMA aliofanyiwa Dr Ulimboka Kuna ambacho serekali imefaidi? Woga wa kungolewa meno na kucha, kunampa Mtu mwingine wepesi wa kujitolea Kushika nafasi ya uongozi ya Dr ulimboka? UNYAMA huo umebadili upepo wa mwelekeo wote wa mgomo kwa faida ya serekali? Kuna Utii utakaojengwa na wananchi na baadhi ya ma Dr na wafanyakazi wengine, kwa serekali kutokana na UNYAMA aliofanyiwa Dr Ulimboka?

Hakika Serekali inayotumia UNYAMA kama msingi wa kufikia malengo yake imeutupa UTU wake. Badala ya misingi ya UTU wa jamii kuimarika sasa UNYAMA kwenye jamii utashamiri.UTU wa Taifa utazidi kubomoka na kusambaratika na Kuacha UNYAMA wa Taifa Ukishamiri. Kama UTU si chombo sahihi cha kutatulia matatizo ya Taifa, UNYAMA utakuwa ndio chombo.

Kuna tofauti ya hizi serekali mbili!Serekali ya KINYAMA na serakali ya KIUTU! Moja ni ya kiini Macho (Parasitic) na Nyingine ni Halisi.Ni wendawazimu kufikiri UNYAMA Utaushinda UTU! Serekali isipoteze muda Ijisafishe, SASA!!!
 
Jamani nataka kuuliza swali..
Hao Wabunge wa CCM wanaodai kwamba Chadema inahusika kwa madai ya kuwa WALIOMTEKA Dr.Ulimboka walivaa magwanda kama ya Chadema. Je, hawa wabunge walikuwepo hadi wanajua haya? na walizipata wapi taarifa hizi ikiwa hadi sasa hivi taarifa za Polisi hazijathibitisha wahusika wenyewe na wala hii sii taarifa za bunge?.

Hivi kisheria hawa Wabunge hawawezi kubanwa kueleza wamezipata wapi taarifa hizi, tofauti na madai ya Chadema ambayo askari wetu wa jeshi la Usalama ametambuliwa na kuhusishwa na victim mwenyewe?
siyo kwa wabunge wa CCM tu............ jeshi la polisi limeomba mtu yeyote mwenye habari zitakaowasaidia katika uchunguzi wao awapelekee. kwa mawazo yangu hili suala la Dr Ulimboka linahitaji uzalendo wa kweli katika uchunguzi na si siasa za kishabiki kwani suala lenyewe lina madhara makubwa kwa jamii yote kwa ujumla bila kujali utashi wao wa kisiasa
 
Hawana ubavu wakujikamata. Haiwezekani kfanya lolote zaidi ya kuja na maelezo kwamba ni wahuni ndio waliofanya hivyo! Si umesikia yule fuska wa ccm ambaye kapewa ukuu wa mkoa kwa kukata uno alivyoropoka mjengoni?? Hawana la ziada na hawatafanya lolote maana ni kawaida ya serikali hii kuua!
Ulimboka is lucky to be alive!

Hahahahahahaaaaaa...kwiwkwiwkwiwiwiiiii.....mbavu zangu sina....iyoooooooooo maweeeeeeeee
 
Kule Serengeti aliuwawa mtalii toka Holland, wakatoka mawaziri wawili bungeni na Helcopter mpaka Serengeti na ndani ya masaa 24 watu wamekamatwa. Huko ni mbugani, lakini Dar ambapo Dr Ulimboka ametoa maelezo ya awali ambayo yangeweza kabisa kusaidia kukamata wahalifu mambo yako kimya. Ungeangalia kikao cha jana bungeni ungepatwa na pressure, wabunge wa CCM wametumia nguvu kubwa sana kuzima issue ya Dr Ulimboka. Lakini wasilojua ni kwamba sasa hivi wananchi wanapatwa na hofu kila wakiona askari. Huna uhakika kama unakamatwa wewe!

Mkuu inaelekea kuna mtu ameshikwa na ngozi sasa ni vigumu kujitutumua !
 
Suala la Dr Ulimboka linatatiza kama lile la Imran Kombe. Angalau lile la Kombe vikoplo kadhaa vilikamatwa, vikashtakiwa tukaambiwa vimefungwa. Hili la Dr Ulimboka nalo wangerudia maigizo kama haya ili kama TAIFA tuhamishie mbongo zetu kwa masuala mengine. Serikali inashindwaje kuigiza hili? Au waliotumwa walifanya kinyume? Au kazi bado inaendelea? Kwa nini sasa akina Mwigullu, Manyanya wanataka kuligeuza mtaji wa kisiasa?
 
na ukizingatia tetesi kua hali ya dokta Ulimboka inazidi kuimarika basi ni utata mtupu. kwa kua rais alisema kama ni mtu wa serikali alifanya hivyo ni kwa utashi wake mwenyewe na sio kwa oda yake basi mbona pakuanzia tayari pamepatikana. wawakamate wahusika halafu rais ajikwepeshe kua hahusiki kama alivyoanza kujitoa kwene hotuba yake

Kila panpotokea uovu lazima trace iachwe na ndio maana wahalifu hukamatwa. Presida alisema ''Serikali imteke Ulimboka kwa Kwa lipi hasa?" Mizengo akasema tumashahangaika na hili jambo sana ."Sasa Liwalo na liwe"

Presida kasahau kwamba kwa wakati huu serikali ina common enemy ambao ni madaktari . Wana hofu kuwa wanachi watawamwaga hivyo kwa mtu yeyeto mwenye kukurupuka anaweza akafanya jambo bila kufikiri. Kusema kwa lipi maana yake hakukuwa na sababu. Mimi nasema kulikuwa na sababu maana Pinda alishatangaza wazi kuwa serikali imeshindwa lakini itafanya kile ambacho ni cha mwisho.

Kutuambia kuwa serikali haikuwa na sababu ya kumteka Doctor ni UONGO. Presida has LIED.

Kusema kuwa aliyehusika kama ni mtu wa serikali kafanya kwa interest zake mwenyewe ni uongo mwingine. Serikali is an abstruct thing, so watekezaji ni agents wake ambao hufuata order. Top ni wewe Presidaa. Hawa hawawezi kujiamulia bila system yote kuridhika na kutoa o.k

Hapa hapakuwa na ugomvi kati ya Doctor na watu watano waliomteka na kumharibu vibaya kikatili, na kama ipo au ilikuwepo, basi security system ingekuwa tayari imeshawakamata maana hao ndio wangekuwa adui wa kweli wa serikali.

HIVI SI JAMBO LA KAWAIDA UKIMWAMBIA MTU NITAKUUWA USIKU HUU, NA IKATOKEA HIVYO WEWE UKAWA FIRST SUSPECT? HOW CAN YOU DENY THAT. SI KWELI PINDA ALITUAMBIA WA TZ MTAONA NITAKACHOFANYA LIWALO NA LIWE? Na usiku huo akafanya kweli? Au tuseme Mr Presida unasema Pinda ndiye mhusika na wala si wewe? I hope you are still together in the same top level, otherwise una serikali yako na Pinda ana ya kwake. Hata ingekuwa hivyo basi zote mbili zimehusika 100%

Kwa kuwa mmeshazoea kupinga hata kitu kilicho wazi , bila shaka tutasikia kesho kutwa MR Presida akisema hajatoa hotuba mwisho wa mwezi Juni akipinga kuhusika kwa serikali yake katika uovu aliofanyiwa raia wake Doctor Ulimboka.
Kazi kwenu.
 
Suala la Dr Ulimboka linatatiza kama lile la Imran Kombe. Angalau lile la Kombe vikoplo kadhaa vilikamatwa, vikashtakiwa tukaambiwa vimefungwa. Hili la Dr Ulimboka nalo wangerudia maigizo kama haya ili kama TAIFA tuhamishie mbongo zetu kwa masuala mengine. Serikali inashindwaje kuigiza hili? Au waliotumwa walifanya kinyume? Au kazi bado inaendelea? Kwa nini sasa akina Mwigullu, Manyanya wanataka kuligeuza mtaji wa kisiasa?
Alafu vikaachiwa kwa msamaha wa rais baada ya muda mfupi upo hapo???????
 
Si nasikia mmoja wao ni mmoja ya wanajopo wa kuchunguza tukio hili?
 
Kila panpotokea uovu lazima trace iachwe na ndio maana wahalifu hukamatwa. Presida alisema ''Serikali imteke Ulimboka kwa Kwa lipi hasa?" Mizengo akasema tumashahangaika na hili jambo sana ."Sasa Liwalo na liwe"

Presida kasahau kwamba kwa wakati huu serikali ina common enemy ambao ni madaktari . Wana hofu kuwa wanachi watawamwaga hivyo kwa mtu yeyeto mwenye kukurupuka anaweza akafanya jambo bila kufikiri. Kusema kwa lipi maana yake hakukuwa na sababu. Mimi nasema kulikuwa na sababu maana Pinda alishatangaza wazi kuwa serikali imeshindwa lakini itafanya kile ambacho ni cha mwisho.

Kutuambia kuwa serikali haikuwa na sababu ya kumteka Doctor ni UONGO. Presida has LIED.

Kusema kuwa aliyehusika kama ni mtu wa serikali kafanya kwa interest zake mwenyewe ni uongo mwingine. Serikali is an abstruct thing, so watekezaji ni agents wake ambao hufuata order. Top ni wewe Presidaa. Hawa hawawezi kujiamulia bila system yote kuridhika na kutoa o.k

Hapa hapakuwa na ugomvi kati ya Doctor na watu watano waliomteka na kumharibu vibaya kikatili, na kama ipo au ilikuwepo, basi security system ingekuwa tayari imeshawakamata maana hao ndio wangekuwa adui wa kweli wa serikali.

HIVI SI JAMBO LA KAWAIDA UKIMWAMBIA MTU NITAKUUWA USIKU HUU, NA IKATOKEA HIVYO WEWE UKAWA FIRST SUSPECT? HOW CAN YOU DENY THAT. SI KWELI PINDA ALITUAMBIA WA TZ MTAONA NITAKACHOFANYA LIWALO NA LIWE? Na usiku huo akafanya kweli? Au tuseme Mr Presida unasema Pinda ndiye mhusika na wala si wewe? I hope you are still together in the same top level, otherwise una serikali yako na Pinda ana ya kwake. Hata ingekuwa hivyo basi zote mbili zimehusika 100%

Kwa kuwa mmeshazoea kupinga hata kitu kilicho wazi , bila shaka tutasikia kesho kutwa MR Presida akisema hajatoa hotuba mwisho wa mwezi Juni akipinga kuhusika kwa serikali yake katika uovu aliofanyiwa raia wake Doctor Ulimboka.
Kazi kwenu.
"Presida has LIED."

Kaa la moto gives you "LIKE"


Mara ya mwisho rais kuhutubia kuhusu suala la madaktari kwenye mgomo wa kwanza aliahidi kwamba wakirudia atachukua hatua na hatua ndio hii!!!!
 
Back
Top Bottom