Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Riba ni chanzo cha maovu yote katika uchumi wa nchi na hata uchumi wa watu mmoja mmoja.
Nchi nyingi maskini zinadaiwa riba iliyojizalisha miaka mingi na kuwa kubwa kupita deni halisi hivyo kuongeza mzigo kwa nchi na wananchi wake...Tanzania for example tuna-service 40% la deni letu ni Riba...hivyo hivyo kwa nchi nyingi za dunia ya tatu...
Watu binafsi wanaogopa kukopa benki kwasababu riba ni kubwa mno hivyo business idea nyingi zinapotea bila kufanyiwa kazi ..hii inaharibu economic growth na kupunguza ajira ambayo ingeweza kuwepo ikiwa watu hao wangechukua mkopo???
Kwanini tusifute riba kwenye mabenki?
Kwanini kuweka hela benki tu upate riba? (mafanikio)
hii ina-encourage watu kuweka fedha benki viwango vikubwa bila kufanya investment? ambayo ni hasara kwa nchi na watu wake??
Ni wakati muafaka kufikiri kuondoa riba kwenye mambo ya uchumi! JF mnasemaje?
Nchi nyingi maskini zinadaiwa riba iliyojizalisha miaka mingi na kuwa kubwa kupita deni halisi hivyo kuongeza mzigo kwa nchi na wananchi wake...Tanzania for example tuna-service 40% la deni letu ni Riba...hivyo hivyo kwa nchi nyingi za dunia ya tatu...
Watu binafsi wanaogopa kukopa benki kwasababu riba ni kubwa mno hivyo business idea nyingi zinapotea bila kufanyiwa kazi ..hii inaharibu economic growth na kupunguza ajira ambayo ingeweza kuwepo ikiwa watu hao wangechukua mkopo???
Kwanini tusifute riba kwenye mabenki?
Kwanini kuweka hela benki tu upate riba? (mafanikio)
hii ina-encourage watu kuweka fedha benki viwango vikubwa bila kufanya investment? ambayo ni hasara kwa nchi na watu wake??
Ni wakati muafaka kufikiri kuondoa riba kwenye mambo ya uchumi! JF mnasemaje?