The US Presidential Elections-2012

His FANS??? He's not Justin Bieber or Snoop Lion. He is POTUS...so those are his VOTERS. Sio Facebook humu. Jifunze kuweka kichwa cha habari kinachoendana na mada.
 
[h=5]President Obama's message to supporters
I'm about to go speak to the crowd here in Chicago, but I wanted to thank you first.
I want you to know that this wasn't fate, and it wasn't an accident. You made this happen.
You organized yourselves block by block. You took ownership of this campaign five and ten dollars at a time. And when it wasn't easy, you pressed forward.
I will spend the rest of my presidency honoring your support, and doing what I can to finish what we started.
But I want you to take real pride, as I do, in how we got the chance in the first place.
Today is the clearest proof yet that, against the odds, ordinary Americans can overcome powerful interests.
There's a lot more work to do.
But for right now: Thank you.
Barack
[/h]
 
Kwangu mm nampenda Obama kwasababu kubwa 2 tu. Kwanza amewaprove wrong wazungu ambao wamekuwa wakiamini mtu mweusi hana uwezo wa kufanya mambo makubwa duniani zaidi ya music na filamu. Pili ametu inspire sana sisi watu weusi kuwa tunaweza kuwa vyovyote tunavyopenda tuwe ikiwa tutasimamia na kuheshimu malengo yetu! HESHIMA KWAKO OBAMA.
 
Hasa hasa hii hapa lazima CCM m'goke tu hamna jinsi:-

"Romney cast himself as a moderate, then a commited conservative and then back again, leaving some people concerned about his true identity." - Typical CCM & their Chairman, JK.


Au mmesahau, kumbuka vita dhidi ya ubadhrifu - Wezi wa EPA mkawapa mkataba wa kurejesha, Kumbuka vita dhidi ya RUSHWA mkabadilisha mkaita takrima, Kumbuka kauli mbiu ya kujivua gamba ghafla mkaanza kusuruhishana na magamba kwa sasa ndio majemedari wenu etc...etc...
 

Attachments

  • Five reasons Obama won..pdf
    168.7 KB · Views: 139
ON WARS AND ARMY

PRESIDENT OBAMA WILL END ALL COMBAT WARS THAT MEANS THERE WILL BE LESS SOLDER FIGHTING IN THE FIELD, THE ARM WILL BE ADVANCE INTO HI -TECH LIKE DRONE AND OTHER MEANS SO IT WILL SAVE LIFE OF AMERICAN SOLDER , THE BUDGET OF PENTAGON WILL AUTOMATIC BE REDUCE SO IF ROMNEY GIVE FEAR TO THE SOLDER THEY WILL LOSE THEIR COMBATING JOB THAT MEANS LIFE WILL BE SAVED ,SO THERE IS NO LOGIC TO FEAR HAVING YOUR LIFE. VETERAN AFFAIRS IS WORKING DAY AND NIGHT TO PROVIDE FREE EDUCATION AND SKILL TO VETERANS SO THEY CAN DO OTHER PROFESSIONAL JOB. IN MY COUNTRY TANZANIA A VETERAN IS 56 YEARS OLD USA YOU CAN BE 18 MEANS A FUTURE IS A HEAD

ON IMMIGRATION

IT IS SAD LIBYA CAN NOT CLEAN CITIES TRASHES ALL THEIR WORKER AND MAID THEY WHERE AFFORD TO PAY THEM HAS GONE. AND LIBYAN NEVER USED TO WORK IN THAT FIELD, LIFE IS A CHAIN HOLD ON TO YOUR LINKS @ ALL TIME GRAND OLD PART WHERE IS REGAN WHO EMBRACE THE MINORITY? WHO WILL PICK TOMATOES AND FRUITS IN AMERICAN FARMS , FOUNDER FATHER SAID LET IT BE UNITED STATE OF AMERICA AND IT BECOME ,IT WILL NEVER EVER BE DIVIDED STATE OF AMERICA

ON ECONOMY
HE GOVERNMENT IS TAX COLLECTOR IF ROMNEY CAN GIVE TO CHARITY WHY CAN JUST PAY HIS LEGAL SHARE UNDER CLINTON AND IF HE IS A REALLY GIVER WHY SHOULD NOT SHARE THE LITTLE EVEN IF IT IS ONLY FOR HIM .WE HAVE FOUR YEARS TO PROVE MAY BE THE FEAR CREATED BY FEW OR MANY RICH WHO WANT TO SEND THEIR BODY TO SET THEIR OWN BENEFICIAL RULE WAS A HOAX.
BONUS--If you give what you not need means the taker is helping you out g to craiglist you will see people beg you to pic their sofa or oold tv or car and they will offer you transport.

YOU CAN DUPLICATE JJFJAMII 2012
 
t1larg.obama.limo.jpg
 
So what?
Aje huku kufanya nini?
Unataka aje kugawa chandarua, kuzindua army bases, kushangaa mlima or what?

Kifupi hatumtaki kabisa uje huku East Africa kwani utatuongezea usumbufu mtupu.

sina hakika maswali yako ni muafaka na nilichokuwa nazungumza. wala mimi sijasema nataka obama aje huku sijui kugawa chandarua. kwamba umetumia neno la uwingi "hatumtaki" hayo ni mawazo yako pekee. humtaki wewe nani. afadhali ungekuwa tone kwenye bahari. wewe ni sawa na kijimolekyuli kweye bahali.

Aje kufanya nini. Kenya ni kwao. kwa baba yake mzazi. bibi yake mzazi mzaa baba yake yu hai hata sasa. we unauliza aje kufanya nini. unachekesha.

kimsingi nilichokuwa naeleza sio kwamba nataka obama aje. NO. nilikuwa najaribu kuidadavua falsafa ya Obama kwa nini hajapata kwenda Kenya tangu awe Rais. nikagundua kuwa Obama anajua kwao ni wapi. Anawajua ndugu zake. anamjua na kumtabua vema bibi yake mzaa baba. upande wa pili nikagundua kuwa Kama angefanya hivyo, asingepita safai hii. maadui zake wangeitumia hiyo kwenye kampeni kumuelezea kuwa yeye si mmarekani. bali ni Mkenya. ndo maana akawapotezea wakenya. kwa kuwa ni kipindi chake cha mwisho, atafika kenya. nilikuwa namchambua Obama na falsafa yake juu ya maslahi ya urais wake na ukenya wake na si vinginevyo. umekwenda offtune. hata hivyo aje kufanya nini jibu lake ni rahisi sana. "ANAKWENDA KWAO"
 
ON WARS AND ARMY

PRESIDENT OBAMA WILL END ALL COMBAT WARS THAT MEANS THERE WILL BE LESS SOLDER FIGHTING IN THE FIELD, THE ARM WILL BE ADVANCE INTO HI -TECH LIKE DRONE AND OTHER MEANS SO IT WILL SAVE LIFE OF AMERICAN SOLDER , THE BUDGET OF PENTAGON WILL AUTOMATIC BE REDUCE SO IF ROMNEY GIVE FEAR TO THE SOLDER THEY WILL LOSE THEIR COMBATING JOB THAT MEANS LIFE WILL BE SAVED ,SO THERE IS NO LOGIC TO FEAR HAVING YOUR LIFE. VETERAN AFFAIRS IS WORKING DAY AND NIGHT TO PROVIDE FREE EDUCATION AND SKILL TO VETERANS SO THEY CAN DO OTHER PROFESSIONAL JOB. IN MY COUNTRY TANZANIA A VETERAN IS 56 YEARS OLD USA YOU CAN BE 18 MEANS A FUTURE IS A HEAD

ON IMMIGRATION

IT IS SAD LIBYA CAN NOT CLEAN CITIES TRASHES ALL THEIR WORKER AND MAID THEY WHERE AFFORD TO PAY THEM HAS GONE. AND LIBYAN NEVER USED TO WORK IN THAT FIELD, LIFE IS A CHAIN HOLD ON TO YOUR LINKS @ ALL TIME GRAND OLD PART WHERE IS REGAN WHO EMBRACE THE MINORITY? WHO WILL PICK TOMATOES AND FRUITS IN AMERICAN FARMS , FOUNDER FATHER SAID LET IT BE UNITED STATE OF AMERICA AND IT BECOME ,IT WILL NEVER EVER BE DIVIDED STATE OF AMERICA

ON ECONOMY
HE GOVERNMENT IS TAX COLLECTOR IF ROMNEY CAN GIVE TO CHARITY WHY CAN JUST PAY HIS LEGAL SHARE UNDER CLINTON AND IF HE IS A REALLY GIVER WHY SHOULD NOT SHARE THE LITTLE EVEN IF IT IS ONLY FOR HIM .WE HAVE FOUR YEARS TO PROVE MAY BE THE FEAR CREATED BY FEW OR MANY RICH WHO WANT TO SEND THEIR BODY TO SET THEIR OWN BENEFICIAL RULE WAS A HOAX.
BONUS--If you give what you not need means the taker is helping you out g to craiglist you will see people beg you to pic their sofa or oold tv or car and they will offer you transport.

YOU CAN DUPLICATE JJFJAMII 2012
umeandika point kali sana lakini hazina mpangilio
 
Back
Top Bottom