Good Day wana JF, aise kuna kasheshe kubwa UDOM jamani niko huko undercover --- huyo Principal wa UDOM ni MFISADI kweli kweli. Kuna scandals nyingi sana huko na inafanya wafanyakazi wengi wanaondoka UDOM. Huyo Muhaya ambae ni Principal anakata kukupa hawa ma Lecturers na wafanyakazi mshahara mikubwa instead he takes First Degree Candidates from Morogoro and paying them million of shillings as part-time lecturers hapo papo, wana lipua pesa yakulala hotelini, na hiyo ni part-time alafu wanafunzi spend more than 6 hours na hata kufundisha ni rasharasha. Jamani watu wa JK wote UDOM ni wafisadi na wachafu. Pesa zetu zinaliwa kabisa pia na huyo Muhaya Principal. Action should be taken otherwise we are not expecting any nice product from UDOM. All the best lecturers are living jamani. THIS IS A SHAME AND IT IS JEOPERDIZING THE IMAGE OF THE UNIVERSITY just kwa ajili ya wakubwa wa vioo wachache hawa.