Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Michango kama hii itasababisha nisiowe kabisa!
wewe Askofu na Chris, mcmchanganye Masa kabisa na comments zenu.
Michango kama hii itasababisha nisiowe kabisa!
Ukiona waifu anakuimbia wimbo mtoto kafanana na wewe sijui kucha, nywele, ulimi au kisigino ujue umeliwa. Kwanini akuambie wakati mwenyewe unaona bana!nyie mnaaminika kwa lipi?..hapo baba mtu angekuja kuambiwa junia kafanana na wewe komwe, lol
Michango kama hii itasababisha nisiowe kabisa!
Ndio maana mimi matatizo ya ndoa yangu siyapeleki kanisani. Sasa ushaanza kumpenda askofu wa watu, mila itakwepeka hapo?
Hahahaha! Anaogopa kulea mamluki?wewe Askofu na Chris, mcmchanganye Masa kabisa na comments zenu.
Si utani, mi ndio maana mabinti zangu napenda waniite Chris zaidi kuliko kuniita baba. LOL!Oa tu Masa... ila ni pata potea... kitanda hakizai haramu ati...
Nimeipenda sana avata yako mpya. Ila hiyo signature naona kama inanikwaza LOLUtamkosea haki mzenji.
btw mie nilijua mzenji keshakufunga pingu maana Penzi ulilotunukiwa naye lilikupagawisha sana.
Ndio maana mimi matatizo ya ndoa yangu siyapeleki kanisani. Sasa ushaanza kumpenda askofu wa watu, mila itakwepeka hapo?
Hahahaha! Anaogopa kulea mamluki?
Si utani, mi ndio maana mabinti zangu napenda waniite Chris zaidi kuliko kuniita baba. LOL!
You are very wrong mama wa sabusitensi.
Kwetu sisi waafrika tuliobobea katika mila na desturi zetu, wanawake wote wenye asili ya jamii ya kwetu ni mama zangu (ukiondoa yule ntakayemuoa labda). Mathalani mimi ni mchaga, akatokea mtu wa kabila tofauti akamuoa mchaga mimi ntamuita shemeji hata kama aliyeolewa si dada yangu. Sasa kama Mheshimiwa mama yake ni mha, halafu mama yake huyo akaolewa na mkwere, basi waha wote wa kiume ambao kimila ni kaka zake mama yake anastahili kuwaita wajomba. (Hapa ni kimila na kidesturi zaidi lakini, sijui nyie wenzetu msiosimamia mila na desturi zetu) Samahani kama hujanielewa, jana sikunywa za kutosha!!
Ukiona waifu anakuimbia wimbo mtoto kafanana na wewe sijui kucha, nywele, ulimi au kisigino ujue umeliwa. Kwanini akuambie wakati mwenyewe unaona bana!
Duh! yaani ndo hamna imani na sie hvo pamoja na yoote tunayowafanyia eeh mungu wasamee wanaume hawa maana hawajui walisemalo na kulitenda.Aisiiii! Sikujua hilo! Ngoja leo nikatuangalie kwa karibu tule tubinti twangu tuwili LOL!
Ngoja niiedit hiyo signature.Ili isikukwaze!Nimeipenda sana avata yako mpya. Ila hiyo signature naona kama inanikwaza LOL
I AM TIRED OF ILLUSIONS !!!!!!!!!!!!!!!!!!
Jiwe walilokataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni!
duh! Yaani ndo hamna imani na sie hvo pamoja na yoote tunayowafanyia eeh mungu wasamee wanaume hawa maana hawajui walisemalo na kulitenda.
Kwa mara ya kwanza nimekamata senksi kutoka kwa sabusitensi. Hureeee!naona another dimension Chris.. nimekubali
Mpwa hebu kaa kando kidogo nitesti zari hapa.Dada WOS usimkubalie kubalie huyu jamaa .....huwa anasoma maandishi tofauti.....kidding!
(mmh! mie naogopa bado mdogo) Hata nie hamtabiriki na kuaminikahamtabiriki wala hamuaminiki ndio maana. (isipokuwa wewe, usisahau nimekukaribisha mimi wa kwanza)
I appreciate on what women do...Lakini kwanini watu mnakazia maongezi kwenye upande mbaya tu(upande wa vuvuzela?)...
Kwa kusoma pembeni ya mistari........utupe results hapa!Kwa mara ya kwanza nimekamata senksi kutoka kwa sabusitensi. Hureeee!
Mpwa hebu kaa kando kidogo nitesti zari hapa.
Kutabirika tunatabirika.kirahisi tu! ila KUAMINIKA ndo sahau kabisa!! Sisi ni kama FEDHA, huwezi kuweka imani yako kwenye fedha, tuna matumizi mengi, tunaweza kutumika kununua chumvi au sukari, au tukanunua mvinyo, au tukalipia gesti hausi.(mmh! mie naogopa bado mdogo) Hata nie hamtabiriki na kuaminika