Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,256
Mkuu hope ulilipia pale langoni ili kupiga picha na kuona wanyama kama ulipiga tu ukiwa kwenye gari basi umeliibia taifa kwa kutoripa ushuru sitahiki na ungekamatwa wangekupiga faini
Mkuu hope ulilipia pale langoni ili kupiga picha na kuona wanyama kama ulipiga tu ukiwa kwenye gari basi umeliibia taifa kwa kutoripa ushuru sitahiki na ungekamatwa wangekupiga faini
Wanaanzaga hivihivi kukwepa kodi then bdae ndo wale wakujilimbikizia hawa!
Wanaanzaga hivihivi kukwepa kodi then bdae ndo wale wakujilimbikizia hawa!
...Hili pambano lilikuwa ni la kukata na shoka.