Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
chama cha mapinduzi hakitaaungushwa na watu kugombea nafasi nyingi, hilo lilifanyika 1995, 2000, na 2005.
Hivyo hoja siyo kusimamisha wagombea ni mfumo mzima. CCM itaangushwa kwa mikakati ya kisiasa, ambayo imekosekana sana kwa upande wa wapinzani. Hadi hivi sasa wapinzani wanaenda siasa kama sanaa, badala ya kuchanganya sanaa na sayansi. CCM wameshafuzu mambo haya, ni mabingwa wa usanii na pia hufanya mambo yao kwa sayansi ya siasa.
Mnachokiona CCM ni matunda ya Kivukoni na Bulgaria na Chekoslovakia n.k!! Hivyo kuweza kushinda ni lazima upinzani ubadiliki mtindo na mikakati.
Hivyo hoja siyo kusimamisha wagombea ni mfumo mzima. CCM itaangushwa kwa mikakati ya kisiasa, ambayo imekosekana sana kwa upande wa wapinzani. Hadi hivi sasa wapinzani wanaenda siasa kama sanaa, badala ya kuchanganya sanaa na sayansi. CCM wameshafuzu mambo haya, ni mabingwa wa usanii na pia hufanya mambo yao kwa sayansi ya siasa.
Mnachokiona CCM ni matunda ya Kivukoni na Bulgaria na Chekoslovakia n.k!! Hivyo kuweza kushinda ni lazima upinzani ubadiliki mtindo na mikakati.