King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 327
Salaam wana JF,
hakika nimeshuhudia anguko kubwa sana kwa hao wazee na kijana mmoja katika siasa za Tanzania. mwanzoni wote walijijenga kama wanasiasa mahiri na wakombozi wa Tanzania, lakini sasa wanaanguka na kupotea kabisa kama dola ya Rumi au Mnara wa babeli kwa matendo wanayoonyesha watanzania kwa uroho na ubinafisi wa kung'ang'ania madaraka.
H.Rashid
rise: alijitengenezea jina kubwa sana kisiasa kiasi cha kuwa mwanasiasa nguli hapa Tanzania kwa hoja zake makini na kuhakikisha anatetea maslahi ya Tanzania na Z'bar. aliwahi kupinga srikali ya Amoor na baadae Karume, pia kiongozi mahiri wa upinzani Bungeni.
fall: toka chama chake kikose wabunge wengi kulinganisha na Chadema akaanza vitimbi kwa kujua kakosa ulaji, na sasa kapitisha hoja kidhalimu kuiadhibu chadema kwa kushirikiana na ccm, ni huzuni sana kwa mwanasiasa huyu.
L.Mrema
rise: alijitangaza na kujiimarisha kama mzalendo wa kweli Tanzania enzi zake akiwa waziri, na ni miongoni mwa watu wa mwanzo kupinga serikali dhalimu ya ccm, kagombea uraisi mara 3.
fall: baada ya kuhamia tlp toka nccr akaanza kuisha kisiasa, uchaguzi uliopita alimsusa mgombea wake na kuanza kumshabikia mgombea wa ccm wazi wazi ili apate msaada toka kwao, hakika kaishiwa kisiasa, sasa anashadadia chadema wagomvi kama vile yeye ni kada wa ccm.
Kafulila
rise: kijana mdogo aliyekuzwa na Chadema na akajiimarisha kwa mda mfupi
fall: toka alipofukuzwa chadema akaanza vita vya mamneno na sasa yupo kwenye anguko kwa kuwaopiga madongo.
Ngd zangu hawa wote rise na sasa ndio anguko lao limefika, hawana cha kukwepa wamefika saturation point, ni kama vile Roman Empire ilivyoanguka bila kutarajia au mnara wa Bableli ulivyoanguka na kwa marajio ya kuendelea kuwa juu.
wanadhani wanajinufaisha kumbe wanajiangamiza, wamesahau CCM ni zaidi ya nyoka mwenye vichwa 12 atawang'ata hata wenyewe na kuwaachia sumu wakishawatumia.
nawakilisha,
hakika nimeshuhudia anguko kubwa sana kwa hao wazee na kijana mmoja katika siasa za Tanzania. mwanzoni wote walijijenga kama wanasiasa mahiri na wakombozi wa Tanzania, lakini sasa wanaanguka na kupotea kabisa kama dola ya Rumi au Mnara wa babeli kwa matendo wanayoonyesha watanzania kwa uroho na ubinafisi wa kung'ang'ania madaraka.
H.Rashid
rise: alijitengenezea jina kubwa sana kisiasa kiasi cha kuwa mwanasiasa nguli hapa Tanzania kwa hoja zake makini na kuhakikisha anatetea maslahi ya Tanzania na Z'bar. aliwahi kupinga srikali ya Amoor na baadae Karume, pia kiongozi mahiri wa upinzani Bungeni.
fall: toka chama chake kikose wabunge wengi kulinganisha na Chadema akaanza vitimbi kwa kujua kakosa ulaji, na sasa kapitisha hoja kidhalimu kuiadhibu chadema kwa kushirikiana na ccm, ni huzuni sana kwa mwanasiasa huyu.
L.Mrema
rise: alijitangaza na kujiimarisha kama mzalendo wa kweli Tanzania enzi zake akiwa waziri, na ni miongoni mwa watu wa mwanzo kupinga serikali dhalimu ya ccm, kagombea uraisi mara 3.
fall: baada ya kuhamia tlp toka nccr akaanza kuisha kisiasa, uchaguzi uliopita alimsusa mgombea wake na kuanza kumshabikia mgombea wa ccm wazi wazi ili apate msaada toka kwao, hakika kaishiwa kisiasa, sasa anashadadia chadema wagomvi kama vile yeye ni kada wa ccm.
Kafulila
rise: kijana mdogo aliyekuzwa na Chadema na akajiimarisha kwa mda mfupi
fall: toka alipofukuzwa chadema akaanza vita vya mamneno na sasa yupo kwenye anguko kwa kuwaopiga madongo.
Ngd zangu hawa wote rise na sasa ndio anguko lao limefika, hawana cha kukwepa wamefika saturation point, ni kama vile Roman Empire ilivyoanguka bila kutarajia au mnara wa Bableli ulivyoanguka na kwa marajio ya kuendelea kuwa juu.
wanadhani wanajinufaisha kumbe wanajiangamiza, wamesahau CCM ni zaidi ya nyoka mwenye vichwa 12 atawang'ata hata wenyewe na kuwaachia sumu wakishawatumia.
nawakilisha,