Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks
CHADEMA ni chama cha wazalendo watanzania, ambacho kimesheheni vijana na wasomi kibao.
Hivyo kuanguka kwake itakuwa ndoto. Kutoka kuwa na Wabunge 5 + 6 Mpaka kufikia Wabunge 22 + 23 Siyo kazi rahisi.
Siku zote ujenzi wa nyumba huanzia kwenye foundation, kwa hiyo CHADEMA wameanzia from the roots na wataendelea kupanda mpaka wachukue madaraka ya nchi hii.
NCCR waliibuka kama uyoga na kila mtu alijua nini kingetokea, hivyo kuwafananisha na CHADEMA ni upuuzi mtupu.