steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,541
- 10,211
inakuaje wadau??,mazee huyu dogo amenivutia sana hasa alivyoimba lile dude lake jipya na p.n.c chini ya marco challi,mnaonaje progress yake atatisha hapo mbeleni maana yake kuna muda alivyokuwa chini ya watoto wa manzese,tip top alitaka kupotea fulani hv kwenye game