The return of CCM

innocent j

Member
Jan 17, 2012
58
9
By the look jinsi CHADEDMA wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.

Unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.

CCM wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya CHADEDMA ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii

WASSIRA. M4C INAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI HATA MOVEMENT INAWEZA KUWA YA KURUDI NYUMA SIO TUU KWENDA MBELE.
 
kudadadadadadeki. kumbe na wewe una mawazo hasi. mtakuwa mumenyeshwa kimpumu.
 
mtaongea sana mwaka huu hadi mnaanza na kusaidia point yako kwa falsafa za wassira,pole saaaaaaana
 
innocent j. Kama kuna jambo umekosea sana ni kutoa mfano wa Wasira! Huyo jamaa hata wana CCM wenzake wanamdharau! Ni lulu kwa JK kwasababu anaweza tumwa katika ujinga na uchafu wowote bila kutumia ubongo akaenda!!
 
By the look jinsi chadema wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.
unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.
ccm wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya chadema ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii

WASSIRA. M4C INAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI HATA MOVEMENT INAWEZA KUWA YA KURUDI NYUMA SIO TUU KWENDA MBELE.
ivi milembe kumejaa?
 
CDM TUNA WANYOA TU MPAKA KIELEWEKE . Usifikiri sisi ni mazuzu tunaelewa tunacho kifanya banaa!!
 
Wajua si lazima tahahira aokote makopo, uyu inocent j bila haibu anarefer mawazo ya wasira, ili toto jinga kabisa na km ningekuwa nimezaa uyu jinga inocent j walai ningemkana, kichwani tahahira hili
 
Ehe democratic, hata mimi nashangaa...huyu huyu Wassira au mwingine!


1.jpg


Lini kaamka huyu?


Air-condition ilistop ghafla baada ya Tanesco kukorofisha likafungua jicho moja, kkukurupuka likaanzia M4C. Teh teh te teh najifikirisha kwa maneno kwakweli
 
Last edited by a moderator:
By the look jinsi chadema wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.
unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.
ccm wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya chadema ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii

WASSIRA. M4C INAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI HATA MOVEMENT INAWEZA KUWA YA KURUDI NYUMA SIO TUU KWENDA MBELE.

Tuondolee utindio wa ubongo mpaka hili unataka calculator? Kwani ukimuona Kamanda mbele yako unafikiria nini zaidi? Ndo ujue gamba gumu kwa gwanda linapukutika. Jifunze kutumia kichwa kufikiri
 
By the look jinsi chadema wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.
unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.
ccm wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya chadema ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii

WASSIRA. M4C INAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI HATA MOVEMENT INAWEZA KUWA YA KURUDI NYUMA SIO TUU KWENDA MBELE.

Uzuri mmoja mkuu waliovua gamba na kujiunga na cdm hawapo kwenye orodha ya mafisadi iliyotolewa na dr. Slaa mwaka 2010 kwahiyo sijaona tatizo hapo
 
By the look jinsi chadema wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.
unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.
ccm wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya chadema ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii

WASSIRA. M4C INAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI HATA MOVEMENT INAWEZA KUWA YA KURUDI NYUMA SIO TUU KWENDA MBELE.

Nimewahi kuuliza kinachotofautisha CDM na CCM ndani ya katiba zao sikupata jibu. Aliyekuwa kiongozi wa CDM hawezi kwenda kuwa kiongozi wa CCM pasipo kuisoma na kuielewa katiba ya CCM; kwa CDM ile linawezakana ndani ya dakika kitu ambacho moyoni mwa mwanachama huyo mpya si kweli
 
By the look jinsi CHADEDMA wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.

Unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.

ccm wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya chadema ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii

WASSIRA. M4C INAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI HATA MOVEMENT INAWEZA KUWA YA KURUDI NYUMA SIO TUU KWENDA MBELE.

Mkuu Umekosa quotation hadi uchukue ya huyu kiumbe alietoroka Gombe kwa mama GOODALL?
 
Tuponde weee! Ila kwenye ukweli tuchukue! Ivi leo ikitokea RA au EL wanavua gamba na kulitaka gwanda, wanavalishwa kirahisirahisi? Think big!
 
By the look jinsi CHADEDMA wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.

Unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.

ccm wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya chadema ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii
Mkuu, kuhusu lengo la kushika Ikulu, sioni kitakachowazuia 2015. Cha kujiuliza ni kuwa watakapokuwa huko tutapata tunachotarajia toka kwao? Kasi yao inaanza kututia mashaka. Walitusomea orodha ya mafisadi pale Mwembeyanga, na matumaini yetu ilikuwa mafisadi hao wafikishwe mbele ya haki kujibu tuhuma zao za ufisadi, badala yake leo hii tunaambiwa baadhi ya haohao mafisadi wanaambiwa wavue gamba wavae gwanda, what does this mean?
 
hili suala kwa ukweli linashangaza mtu akivuliwa gamba anavaa gwanda aaah,mwizi akienda upande wa pili anaoneka yuko poa, na ile statement ya wasira kwamba Chadema inasema imechukua wanachama 10000 wa ccm Arusha wakati anasema CCM wanachama wake wote ARusha hawafiki idadi hiyo,Je ina maana Arusha nzima hakuna ccm hata mmoja Arusha leo?,
propaganda zingine sio kabisa
.
 
hili suala kwa ukweli linashangaza mtu akivuliwa gamba anavaa gwanda aaah,mwizi akienda upande wa pili anaoneka yuko poa, na ile statement ya wasira kwamba Chadema inasema imechukua wanachama 10000 wa ccm Arusha wakati anasema CCM wanachama wake wote ARusha hawafiki idadi hiyo,Je ina maana Arusha nzima hakuna ccm hata mmoja Arusha leo?,
propaganda zingine sio kabisa
.
yani mkuu they make no sense at all, ni propaganda za kitoto kabisa
 
Back
Top Bottom