innocent j
Member
- Jan 17, 2012
- 58
- 9
By the look jinsi CHADEDMA wanavyoendelea na siasa hizi zilizozidi propaganda itawachukua mda sana kufika wanapohitaji.
Unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.
CCM wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya CHADEDMA ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii
WASSIRA. M4C INAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI HATA MOVEMENT INAWEZA KUWA YA KURUDI NYUMA SIO TUU KWENDA MBELE.
Unapohubiri usafi halafu mtu anajivua gamba na hapo hapo anakuwa kamanda mlitakiwa muangalie kwa sababu hao wanaovua gamba hata kwa mfano halisi wa nyoka akisha vua gamba ana rest kwa mda basi wangefanya pale wanapomvua gamba mtu wampe training ili aendane nao.
CCM wana matatizo ndio kama ambavyo chama chochote kilivyo na matatizo ila kwa hii spidi ya CHADEDMA ina weza isisave their purpose ya ku lead hii nchii
WASSIRA. M4C INAWEZA KUWA NA MAANA NYINGI HATA MOVEMENT INAWEZA KUWA YA KURUDI NYUMA SIO TUU KWENDA MBELE.