Singidan
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 876
- 923
Leo asubuhi zilitapakaa habari kuwa Zitto amealikwa katika mkutano, Marekani na mgombea urais H. Clinton. Mimi binafsi nikawa na vijiswali, ZZK ana uhusiano gani na mgombea huyo au chama chake hadi aalikwe katika mkutano huo? Kwanini wengine hawajaalikwa?
Wakuu mnitoe uvulivuli.
Wakuu mnitoe uvulivuli.