CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,503
- 25,466
Ni hao jamaa zako wazungu ndio walioplani yote hayo na kuyatimiza,ina maana wakati ndege za hao wazungu wanaipiga Libya na wakati wanapiga kwa mabomu msafara wa Gadafi wewe ulikua bado hujazaliwa na ndio maana hujui?Mkuu, usiweke udini, chambua hoja kisha ijibu. Kwani waliomuua Gaddafi ni wazungu au walibya wenyewe?
Waliomkata al islam kidole cha mkono wake ni wamarekani?
Na wanaoendelea kupigana pale kudai uhuru wa kisiasa, ni wazungu?