The real cost of corruption in TZ

Nilitaka kuonyesha tu ni njisi gani sisi wote ni wezi tu na ndiyo maana nivigumu sana kukemeana. Ukianza tu kukemea roho inakusuta inakuambia kuwa hebu piga matumizi yako ya mwezi halafu toa kipato chako halafu nieleze hii difference umetoa wapi. Of course watu walio wengi wanapenda kuishi maisha ya haki na wanajikuta tu wameingia kwenye hii circle ya ufisadi kwa mazingira. Hebu fikiria fedha kiduchu halafu kuna hawa wenzetu wenye fedha basi utaona wanakopesha kwa Riba ukikopa laki mbili basi mwisho wa mwezi unaripa 240,000.

Kwa sasa ni mafisadi tu ndiyo wanaofaidi maana ukiwa na cash kidogo tu basi inaongezeka kwani raia ni choka mbaya

Shalom, mwishoni mwa mwaka jana niliandika makala moja ambayo nilisema kuwa wakazi wa Dar ndio wanufaika wakubwa wa ufisadi; nilichomaanisha ni kama hicho ulichosema; kwamba watu wa mjini wameweza na wanaweza kuishi katika mazingira ya kifisadi kwa sababu wao wenyewe vile vile wananufaika na ufisadi huo. Hii inafafanua ni kwanini upinzani hauwezi kushinda katika miji ya Tanzania kiurahisi, isipokuwa pale ambapo watu hawanufaiki sana na ufisadi huo.
 
I see a chicken egg problem here,
As the cost increases beyond the capacity to pay for living, the more people tend to be corrupt.
I mean many Tanzanians including me and may be you, have to live by alternative means like corruption, ufisadi or whatever name you gave it. I am not fisadi but have to work 2 places to make ends meet. Lucky I can do this.

We can solve this by changing our culture (through education system) and be diligent. But this is another chicken egg problem. Our educators who supposedly should change our culture in the schools belong to the same class as us... we are all corrupt in some way... or in our mind.

Can we change by Miracle and be diligent people with no ufisadi or corruption??
 
Mkuu, kuna watu Tanzania wanaoona hiyo kuwa ni bei poa tu. Kuna apartments zinajengwa Dar ambazo zinauzwa mara nne ya hiyo (ila sio one bedroom apartment, ni three bedroom apartments) na zinanunuliwa kwa kasi ya ajabu. Nyingine huwa zimeshauzwa kabla hata jengo halijakamilika.

There are people who are living while we are surviving.

Mkuu

Obviously kutakua na wanunuzi amasivyo bei hizo zisingekuwepo. Swali je tuseme if the whole neighbourhood lets say about 20 km radius is being regenarated to the same standard bado watakua na same demand.

Ni hadithi this is only possible kwa sababu ya irresponsible lending na utakuta ni benki ambazo zina government shares. Kwa hivyo hasara itakapo tokea ni tax payers watakao lipa the cost of bank loss.

Lakini mtu mwenye akili timamu hawezi ku-invest kwenye asset ambayo soon will produce a negative equity. kwa sababu that is unrealistic hizo bei ni za american suburbs in some cases na housing market huko bado weak after the crush hiwe hapo bongo.

We subiri hiyo EAC ianze wakenya waje ku-develop in other areas ambazo bado sisi atuzi exploit wajenge majengo hayo hayo kwa na kuuza kwa bei za chini. Kwa sababu the cost of building bado inaweza still produce a high yield at half the price or even a quater na kufanya watu wengi wawe na ajira at a country where even if you set a minimum wage of 2dollars an hour bado unafaida na ume improve life ya mtu.

Hiyo ni bubble ambayo inakua kutokana na poor lending au kama watu wanananua cash then kunaufisadi wa hali ya juu tanzania more than im thinking.
 
Yes, we know, we are living in a corrupt society. What we need to articulate is the total failure of the government instrument which is responsible for fighting against corruption (PCCB), What this instrument is doing?? watching without doing nothing?? Indeed is watching that is why we are lamenting about the hardship Tanzanians are facing for the moment. Shame to PCCB
 
Cost of living iko juu sana na sababu kubwa ni institutionalized corruption ndani ya mfumo wa serikali. Hakuna pa kutokea. Hizi gharama za viwanja na nyumba ni balaa tupu. Fedha inayopandisha hizi gharama ni fedha ya corruption. Kaangalie ni nani wanaonunua viwanja hivi na appartment hizi kwa bei hizi? Ni viongozi wa serikali na wengi hawatumii hiki mnachoita motgage. They simply pay cash spot on. Wanatoa wapi hawa wakati tunasema serikalini mishahara midgo? MOTHER CORRUPTION IS PAYING THEM MILLIONS IF NOT BILLIONS.

Ukitaka kujua kuwa fedha serikalini ni rahisi sana kwa wale walioko kwenye positions of decisions, silikiliza wanavyodharau hela; One billion ni vijisenti. Nyumba ya 1.2Billion kwa ofisa mmoja ni kitu cha kawaida n.k.

Gharama ya maisha iko juu mno. Huyo mtu aliyetoa mfano wa mtu anayelipwa laki mbili kwa mwezi ($150) lakini anaendesha RAV4 (of course ya second hand) ya $15,000 hadi $20,000 ni mfano tosha wa corruption iliyotopea. Kwa mshahara wa $150 kwa mwezi utalipaje motgage hadi urudishe $15,000? Haiwezekani asilani! Hii RAV4 unakuta tena ilinunuliwa kwa CASH. Ndo maana lending rates ziko juu sana kwenye mabenki kwani wanaokopa wachache. Wengi wao hasa hao walioko serikalini wanalipa casha kutokana na BONANZA OF ALLLOWANCES zinazopatikana kutokana na institutionalized corruption. Kuna watu wanapata zaidi ya mara kumi ya mishahara yao kila mwezi through allowances!

True costs ni kwamba fedha za serikali haziendi kule zinakotakiwa kwenda matokeo yake service hazifiki zinakotakiwa. Kwa mfano kutokana na ubovu wa mfumo wa usafirishaji kuna sehemu mtu anasafiri umbali wa KM30 kwa gharama ya Shilingi 6,000 kama nauli ambayo ni gharama ya juu sana. Kwa huko maeneo ya vijijini hilo ni suala la kawaida kabisa na kwa gharama kama hizi tena unakuta magari mabovu na huduma zisizotabirka.

Kwa hivyo corruption ndo mama wa gharama zote tunazokumbana nazo kila siku. Na hilo liko wazi kabisa. Nenda katafute kiwanja cha kununua hata kule kibaha. Gharama ni kubwa mno kwa sababu kuna fedha nyingi zinatembea huko. Na hizo si fedha za Motgage, ni fedha za kuchota serikalini kwani mashamba hayo yananunuliwa na kuhodhiwa tu. Hayatumiwi kwa lolote! Land grabbing imefikia kubaya sana na hawa wengi ni maofisa wa serikalini wanaochota tu fedha.
 
Yes, we know, we are living in a corrupt society. What we need to articulate is the total failure of the government instrument which is responsible for fighting against corruption (PCCB), What this instrument is doing?? watching without doing nothing?? Indeed is watching that is why we are lamenting about the hardship Tanzanians are facing for the moment. Shame to PCCB

Fugwe

Historia inaonesha kuwa hakuna nchi duniani iliyofanikiwa kwa style ya PCCB tafuta hata moja uitaje, Viongozi wetu wanajua hilo. Kwa hiyo tukitegemea sana PCCB labda tu sisi tuwe watu wa kwanza kuweke history kwa hiyo.

Rushwa inaisha kwa kuchukiwa tu na jamii, ndiyo maana Japan ukiona umepata kashfa ya rushwa basi unawahi kitanzi chako kwani unakuwa umeshamaliza nafasi yako duniani, kwa sababu jamii inachukia rushwa tena sana na ni aibu kubwa kuonekana una mali za rushwa. Tatizo letu sisi hapa TZ ni kwamba tuliliacha hili mpaka limekuwa ni jambo la kawaida tena sana.
 
Shalom, mwishoni mwa mwaka jana niliandika makala moja ambayo nilisema kuwa wakazi wa Dar ndio wanufaika wakubwa wa ufisadi; nilichomaanisha ni kama hicho ulichosema; kwamba watu wa mjini wameweza na wanaweza kuishi katika mazingira ya kifisadi kwa sababu wao wenyewe vile vile wananufaika na ufisadi huo. Hii inafafanua ni kwanini upinzani hauwezi kushinda katika miji ya Tanzania kiurahisi, isipokuwa pale ambapo watu hawanufaiki sana na ufisadi huo.

Yes, sisi hasa wakazi wa Dar kama alivyosema mchangiaji mmoja ghafla ufisadi ukizimwa tutahangaika sana na wengi tutakufa njaa. Na pia kumbuka hawa mafisadi uchwara ndiyo wapambe wakubwa wa ccm

Kwa mfano jana nilimsindikiza mshikaji kununua LCD tv kariakoo bei inayouzwa ni Tshs 2, 200,000 kariakoo baada ya kubembeleza ikafika 1.9 chaa ajabu tukaambiwa bila kupewa risiti Tv inauzwa 1.5 na warrant ya miaka miwili unapewa, tukatizamana, tukatabasamu hapo hapo ufisadi ukafanyika. Ukipiga hesabu hapo VAT yetu ni 18% basi utagundua tu kuwa ile bei ya 1.9 ni ya kutisha watu ili wafanye ufisadi.

Ona hii kali kabisa ni ya haya mashirika yetu njisi yalivyo na wafanyakazi ambao ndiyo hatari kabisa. Maafisa wa TRA ndiyo hao wanatoka kazini na kwenda kwa wateja wao kuwafundisha jinsi ya kukwepa kodi. Ukitaka kutumia umeme kidogo kabisa kwa mwezi bila kupata bughza yoyote basi tumia wafanyakazi wa Tanesco kifix LUKU yako, watakuja na official seal na kukufanyia mambo ghafla ulikuwa unatumia umeme wa tshs 200,000 unashuka mpaka Tshs 5000 kwa mwezi. Inakuwaje jamani hawa watu wanakata mti walio kalia?

Sasa njoo hapa JF sema jamani tunataka tutokomeze rushwa weee! utaona njisi unavyotoka na matusi ya kila aina. Ni lazima kwa pamoja tuamue kujiosha na kubadili tabia na tutafanikiwa kwa kuanza na chama kipya raisi mpya na mambo mapya!
 
Yes, sisi hasa wakazi wa Dar kama alivyosema mchangiaji mmoja ghafla ufisadi ukizimwa tutahangaika sana na wengi tutakufa njaa. Na pia kumbuka hawa mafisadi uchwara ndiyo wapambe wakubwa wa ccm

Kwa mfano jana nilimsindikiza mshikaji kununua LCD tv kariakoo bei inayouzwa ni Tshs 2, 200,000 kariakoo baada ya kubembeleza ikafika 1.9 chaa ajabu tukaambiwa bila kupewa risiti Tv inauzwa 1.5 na warrant ya miaka miwili unapewa, tukatizamana, tukatabasamu hapo hapo ufisadi ukafanyika. Ukipiga hesabu hapo VAT yetu ni 18% basi utagundua tu kuwa ile bei ya 1.9 ni ya kutisha watu ili wafanye ufisadi.

Ona hii kali kabisa ni ya haya mashirika yetu njisi yalivyo na wafanyakazi ambao ndiyo hatari kabisa. Maafisa wa TRA ndiyo hao wanatoka kazini na kwenda kwa wateja wao kuwafundisha jinsi ya kukwepa kodi. Ukitaka kutumia umeme kidogo kabisa kwa mwezi bila kupata bughza yoyote basi tumia wafanyakazi wa Tanesco kifix LUKU yako, watakuja na official seal na kukufanyia mambo ghafla ulikuwa unatumia umeme wa tshs 200,000 unashuka mpaka Tshs 5000 kwa mwezi. Inakuwaje jamani hawa watu wanakata mti walio kalia?

Sasa njoo hapa JF sema jamani tunataka tutokomeze rushwa weee! utaona njisi unavyotoka na matusi ya kila aina. Ni lazima kwa pamoja tuamue kujiosha na kubadili tabia na tutafanikiwa kwa kuanza na chama kipya raisi mpya na mambo mapya!
Post imenigusa saana. Tuseme kwa ujumla wake wafanyakazi wanawaibia waajiri halafu wantegemea waendelee kuwa na kazi. Mh jamani sijui tunaelekea wapi. Mie nadhani suala la rushwa lianzie kwenye familia zetu. Wapo watu wanamalengo na wanahakikisha hawagusi rushwa na wanafanikiwa. Jamani hebu tuseme inatosha.
 
point well taken

this is part of corruption - corruption is not just bribery; it includes all these and more.



Sehemu chache zenye huduma zinazoridhisha (kama mijini) si zingekuwa na ushindani wa kibiashara na hivyo kupunguza bei? Kwanini sehemu hizo ndizo zina gharama kubwa zaidi?
Mwanakijiji matumizi mabaya ya serikali watu hawaiti rushwa bali ni haki zao. Km unakumbukumbu nzuri utakumbuka jinsi akina Mwakyembe jasho lilivyokuwa linawatoka kujustify double allowance ni kitu cha kawaida kwa sababu ni utaratibu walioukuta. Wanasahau kwamba hata uchafu wa Richmond ni utaratibu walioukuta. In general rushwa hii watu wanaita haki yao.
 
Yes, sisi hasa wakazi wa Dar kama alivyosema mchangiaji mmoja ghafla ufisadi ukizimwa tutahangaika sana na wengi tutakufa njaa. Na pia kumbuka hawa mafisadi uchwara ndiyo wapambe wakubwa wa ccm

Kwa mfano jana nilimsindikiza mshikaji kununua LCD tv kariakoo bei inayouzwa ni Tshs 2, 200,000 kariakoo baada ya kubembeleza ikafika 1.9 chaa ajabu tukaambiwa bila kupewa risiti Tv inauzwa 1.5 na warrant ya miaka miwili unapewa, tukatizamana, tukatabasamu hapo hapo ufisadi ukafanyika. Ukipiga hesabu hapo VAT yetu ni 18% basi utagundua tu kuwa ile bei ya 1.9 ni ya kutisha watu ili wafanye ufisadi.

Naomba niulize make ya hiyo LCD na size yake, if you don't mind.

Ona hii kali kabisa ni ya haya mashirika yetu njisi yalivyo na wafanyakazi ambao ndiyo hatari kabisa. Maafisa wa TRA ndiyo hao wanatoka kazini na kwenda kwa wateja wao kuwafundisha njisi ya kukwepa kodi. Ukitaka kutumia umeme kidogo kabisa kwa mwezi bila kupata bughza yoyote basi tumia wafanyakazi wa Tanesco kifix LUKU yako, watakuja na official seal na kukufanyia mambo ghafla ulikuwa unatumia umeme wa tshs 200,000 unashuka mpaka Tshs 5000 kwa mwezi. Inakuwaje jamani hawa watu wanakata mti walio kalia?

mfano mzuri sana huo
 
Ni kitu gani kinafanya LCD hiyo kuuzwa karibu mara mbili ya gharama kwenye nchi hizi za kigeni? au watu wanataka kutengeneza faida asilimia 100 ya gharama ya uingizaji?
 
Ni kitu gani kinafanya LCD hiyo kuuzwa karibu mara mbili ya gharama kwenye nchi hizi za kigeni? au watu wanataka kutengeneza faida asilimia 100 ya gharama ya uingizaji?

Tatizo ni moja tu nalo ni kwamba hii nchi hakuna biashara kabisa. Ukienda hapo tu nchi jirani kenya utaona kuwa gharama ya LCD inapishana kidogo sana na za ulaya ambayo inaeleweka. Na utaona tofauti yetu na sisi ni kwamba wenzetu wako serious na biashara. Yaani haiwezekani vitu vikawa cheap uganda amabo hawana bandari kuliko sisi.

Xmass period nilienda game ambayo ni moja ya super Market kubwa hapa bongo nikashangaa eti wanauza PS3 ile old model (siyo slim) 80 GB kwa TSHS 908,000 na games za PS2 mpaka Tshs 170,000 unajua hauwezi amin na sidhani hata watengenezaji wakisikia hizo bei wataamini ila haya ndiyo yanayotokea hapa nchini kwetu.

Ukiagiza gari second hand japan let say rav4 ya mwaka 2000 mpaka ifike hapa kwetu gharama yake ni kati ya tshs 16M-mpaka 18m(inategemeana na madoido) lakini ukienda show room zetu hizo gari utaona zinauzwa kuanzia tshs 23M faida ya mpaka 7m na watu wananunua.

Ukiangalia utaona yote hayo yanasababishwa na nchi kutotilia maanani biashara, fahamu wa wananchi na hera ya kifisadi haiumi sana kama ambayo umeifanyia kazi. Na wewe ukizila kama ambavyo nimezila mimi kununua PS3 utasikia jirani anacheza need for speed na amefungulia sauti mapaka mwisho na watoto wamehama nyumbani basi ukitoka kumfundisha muhindi njisi ya kukwepa ushuru wa 1billion anakupa millioni 50 unapitia game unanunua bila hata ya kuomba discount
 
Tanzania Ni nchi ya ajabu sana,na inaongozwa na watu wa ajabu sana.

hawa TRA wanaweka viwango Unrealistic vya kodi in such a way hakuna anayependa kuvilipa.as a result pool ya walipa kodi inakuwa finyu.hence justification ya wao kuendelea kupandisha rate za kodi.

Kitu kibaya zaidi,Tanzania wanaolipa kodi halali ni wale walalahoi au wasio na Chanel.mhindi anayeleta makontena kumi kodi yake ni milioni tano-milioni tano nyingine anampa afisa wa TRA.mchezo umekwisha.Mlalahoi anayeleta kontena moja anaambiwa atoe milioni kumi!!wapi na wapi??!!

Serikali yetu haiko proactive,ni reactive tu.wanajenga barabara baada ya mji kukua badala ya kupanua BARABARA ili watu wafate miundo mbinu(waulizeni wanasubiri nini kujenga Daraja kigamboni au kupanua barabara za kigamboni etc)

wanasubiri wananchi wavamie maeneo yaliyopo baadae waje wafyeke vinyumba vyao.aaagh

serikali inatumia mamilioni kupeleka wagonjwa nje badili ya kutumia mamilioni kuagiza vifaa na na kusomesha wataalamu(kuvutia wataalam waje TZ).

Serikali inaagiza magari yenye 4WD badala ya kujenga barabara ALL weather.Tatizo la usafiri Dar wanaleta magari makubwa wakati barabara ni ndogo/nyembamba. kazi kweli kweli!
 
Kumbe Muungwana analijua hili angalia hapa kuanzia dk. 4:10, sasa ni nini kinamzuia kuchukua hatua thabiti.....pengine ni kutokujali..!

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=hCxY2otR6w8&NR=1[/ame]
 
As much as i Hate CHINESE in AFRICA.but they are the only people who will bring back balance and check in our daily life.

siku wachina watakapokuwa wengi kama wahindi hapo ndipo wananchi wa kawaida watakapoacha kuumia na bei za mwezini.

kwa sasa sifa kubwa ya wachina ni cheap quality.GO ask americans know better.

Tatizo sasa hivi hata wachina walioko TZ ni middle men.people think Chinese products are cheap but they have NO IDEA how cheap they can get.

imagine those LCD's for as low as $700.but to achieve this Indians middle men have to go.and with the power and influence of china+ Chinese their days are numbered.

Soon we will start to see Chinese built houses for as less as $30,000.we will start to see influx of Chinese market products sold in TZ.that's when the cost of living is going to drop dramatically.

kwa wale mnaosema tuna chinese products in AFRICA.I beg to differ.we don't have them yet.we have products made in china(Guangzhou),especially for AFRICA+poor countries.

i am talking about Chinese domestic market products.products that Hu Jin Tao is selling to his fellow Chinese.

these CHINESE DOMESTIC PRODUCTS are of very good quality and when they start to enter Tanzania they will be brought here by Chinese Companies.not by INDIANS or FAKE business people who travel to china.

That is when we will be able to see reasonable life in Africa.Until then we are living in an illusion.an illusion that just because that furniture has a "made in Belgium" label then we are living first class/first world life.

this is inevitable because we have killed our industries.Nyerere tried to go around the world asking for help to establish factories.kikwete is going around the world to invite people to come and kill our industries.

A day with Made in Tanzania is as far as a Day with Made in USA.long gone..,just a myth..,for now.
 
I like economic analysis, hapa nitarudi kesho jioni ngoja nijipange!


Annina
 
Back
Top Bottom