The Radar Scandal: Investigation & Progress

Birds of a feather flock together! Chenge na Hosea ni wale wale

Kuna kitu kimoja ambacho magazeti hasa Thisday na Kulikoni wanakipotosha kuhusu uchunguzi wa Rada na kuwapa wananchi matumaini hewa. Mtakumbuka katika tume ya NEC inayoongozwa na Rais mstaafu Mwinyi wakati wa majibishano Waziri wa Utawala Bora Mama Sophia Simba alinukuliwa akisema kwamba SFO walishaandikia serikali kwamba vile vijisenti vya Chenge kule New Jersey, Uingereza havikutokana na ufisadi wa Rada labda na vyamzo vingine. Kwa maana hiyo Chenge sio "interest" tena kwa wachunguzi wa SFO.

Mtu amabaye alipewa rushwa ni Gaileshi na ndio maana alitoroka hapa nchini. Bila Gaileshi kupatikana na kusema alimpgawia nani ni kazi bure. Sijui kwa nini vyombo vya habari vinapotosha habari hii. Bila Gaileshi kupatikana kina Chenge na wenzake watatesa na vijisenti vyao mpaka liamba. Vyombo vya habari visitupe matumaini hewa kama kwenye kesi ya Zombe
 
ByaseL,
Huyu Sailesh Vithlan a.k.a 'Mr Fat' alikamatwa na serikali ya Uingereza July, 2009. Wakati huo, uongozi wa Rais Kikwete ulionyesha nia ya kutaka Bwana Vithlan arejeshwe nchini, Tanzania, ajibu tuhuma zinazo mkabili (http://www.unpan.org/PublicAdminist...ew/ModuleID/1460/articleId/19560/default.aspx).

Lakini, wachunguzi wa mambo wanahisi Vithlan hatarejeshwa nchini, kutokana na ushahidi alionao dhihi ya watu ambao serikali inapenda kuwahami dhidi ya kashfa hiyo na nyinginezo.
 
I found this article in: ' http://www.newsafrica.com/article65.html' ....
Sammy Makila, editor of Majira, the Tanzania circulation leader, was arrested in 1995 for breaking the news of a $130 million radar deal between the Tanzanian government and Siemans 12 hours before the cabinet concluded it. According to Majira, a front man for the foreign company selling the radar had promised an unspecified sum as commission to be transferred to the account of Chama Cha Mapinduzi, the ruling party.

Makila was later charged under the National Security Act for refusing to disclose the source of his information. The case has been dragging on. He faces 10 years imprisonment if found guilty.

Makilla's was a joint case together with the late Richard Nyaulawa and Mr. Rashidi Mbuguni of the Business Times Limited as publishers.

Are there samaritan lawyers out there who can write a DEMAND NOTICE on behalf of the former Majira editor to get recompense for his suffering and being called a tratior instead of a hero?
 
Waa!!! this is killing me!



Nadhani hao watatupatia angalau punje tu ya jinsi viongozi wa serikali yetu walivyopewa rushwa ili kusukuma hili dili.

Baada ya hapo tutawazawadia ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi kwa kuwa wajanja, wenye akili sana au kwa lugha isiyo rasmi "MASHARP".
 
Kutokana na taarifa zilizoingia kwenye wires this evening hapa London ni kuwa ile skendo ya Mtambo wa rada imeibuka umpya na kuna INVESTIGATION on the way na hawa jamaa wa SFO au serious fraud office wanaweza kuwatia mbaroni walio pewa pesa na BAE systems

Nadhani mnakumbuka kuwa CLAIRE SHORT alipiga kelele weee lakini ile TENDA iliendelea sasa hii ya Tanzania inaunganishwa na ile ya Saudi Arabia ambako for strategic reasons inaweza ikamalizwa kiaina lakini kwa Tanzania things are not rossy na balozi naye hayu8po sasa nadhani ubalozi hapa London wajiweke katika position yakujibu hizi shutuma nzito maana kuna na MP ambao washajiposition kutoliachia hili ili kuendana na hizo recomendation za TONI BLAIR's COMMISSION FOR AFRICA na mojawapo ilikuwa ni good governance

By the way hii mess sio ya JK bali ilikuwa na Ben Mkapa lakini still JK inabidi a clear hii mess


All attachments over this scandal are here: Attachments - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Unaweza kutoa ushahidi kwa hili kwamba ni mkapa?
 
Mkuu umekosea(check hapo kwenye red). Kumbuka JK alikuwa waziri wa mambo ya nje zama zile... hapo kumtoa kwenye scandal ni ndoto....perhaps ndio maana anajitahidi kulifunika mpaka leo.
Kutokana na taarifa zilizoingia kwenye wires this evening hapa London ni kuwa ile skendo ya Mtambo wa rada imeibuka umpya na kuna INVESTIGATION on the way na hawa jamaa wa SFO au serious fraud office wanaweza kuwatia mbaroni walio pewa pesa na BAE systems

Nadhani mnakumbuka kuwa CLAIRE SHORT alipiga kelele weee lakini ile TENDA iliendelea sasa hii ya Tanzania inaunganishwa na ile ya Saudi Arabia ambako for strategic reasons inaweza ikamalizwa kiaina lakini kwa Tanzania things are not rossy na balozi naye hayu8po sasa nadhani ubalozi hapa London wajiweke katika position yakujibu hizi shutuma nzito maana kuna na MP ambao washajiposition kutoliachia hili ili kuendana na hizo recomendation za TONI BLAIR's COMMISSION FOR AFRICA na mojawapo ilikuwa ni good governance

By the way hii mess sio ya JK bali ilikuwa na Ben Mkapa lakini still JK inabidi a clear hii mess


All attachments over this scandal are here: Attachments - JamiiForums |The Home of Great Thinkers
 
...katika kuweka records sawa ni vema tukarejea nyuma kuwakumbusha ccm kwamba wamekuwa wanawalea wezi hawa huku wakijua madhambi yao....alafu leo wanajifanya vipofu.....ni vema pia rais JPM akarejea haya kama kweli yuko serious na vita anayosema anapigana.....
 
Back
Top Bottom