The President is A National Pride!

.....tatizo la nchi hii ni kwamba hatuna mfumo madhubuti wa kutupatia rais inteligent kama nchi za magharibi zinavyofanya, sisi imekuwa tu huyu ni mwenzetu, mpole, kijana, chaguo la Mungu ama unaweza vipi fitina ndani na nje ya chama chako,, huu ndio msingi wa tatizo, tunatoa marais wenye uwezo mdogo (sio wote) kufikiri na kupambanua mambo, wanatoa majibu mepesi kwa maswali magumu, hapa sikuachi bila mfano.....Mkuu wa kaya anaulizwa kuhusu matatizo ya umeme na maji Mtera anajibu "Ningekuwa mvua ningenyesha nijaze mabwawa"......watu wakichambua huwezi kusema amedhalilishwa hapa ila ni kinyume chake. Halafu sio lazima kupost unaweza ukabaki kusoma post za wenzio hoja za namna hii zisizokuwa na mashiko msituletee.

Ongezea na hii alipotudhalilisha watanzania kwa kusema hajui kwanini watanzania ni masikini! Kama Rais ni kiongozi wa nchi hajui umasikini wetu anafanya nini Ikulu?
 
Did you mean the presidency or the president? there is a big difference between the institution of the presidency and the president himself. Well, when the person turns to be a dictator, a non-performer or a corrupt leader should we honor him/her just because he/she is the president? This personality cult is what has ruined the African states!
 
Rais wa Jamhuri yetu ni mwakilishi wetu na kioo chetu nje ya nchi. popote anapokuwa nje ya nchi maana yake kuna watanzania milioni 40 nyuma yake. Si vizuri hata kidogo kunyamaza kimya pale Rais wetu anapofedheheshwa nje ya mipaka yetu. Ni lazima tusimame pamoja kumlinda bila kujali tofauti zetu za kisiasa, kijamii na kielimu. Hata kama ni mbovu bado haitoi haki kwa mtu yeyote nje ya mipaka kumdhalilisha ilhali tukiangalia bila kuchukua hatua.
NAWASILISHA Kwa maandalizi ya mpango mkakati wa kumlinda JK!!
Nani huwa anamtuma huko? Mwache aendelee kudhalilishwa labda kiherehere kitamwisha.
 
de jure huyu ni rais wa tz lakini de fact watanzania hawakumchagua...alitangazwa na tume ya uchaguzi...so kwa vile ni mchakachuaji ambaye watz hawakumtaka, watz hawana haja ya kumtetea kama rais wao...kwa sababu kwa wao huyu c rais wao...
 
by the way hivi nchi inamteteaje rais wake ambaye kila siku chache katoka nje ya nchi hiyo akiyakimbia matatizo yaliyomo nchini mwake....hana moral right yoyote ya kudai kutetewa...wacha huko anakokuona ni kuzuri pa kumfaa wamdhalilishe aone kuwa he is better off nyumbani na ayashughulikie matatizo ya nyumbani kwake kuliko kuwa kiruka njia...
 
Back
Top Bottom