The President is A National Pride!

Papa D

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
753
182
Rais wa Jamhuri yetu ni mwakilishi wetu na kioo chetu nje ya nchi. popote anapokuwa nje ya nchi maana yake kuna watanzania milioni 40 nyuma yake. Si vizuri hata kidogo kunyamaza kimya pale Rais wetu anapofedheheshwa nje ya mipaka yetu. Ni lazima tusimame pamoja kumlinda bila kujali tofauti zetu za kisiasa, kijamii na kielimu. Hata kama ni mbovu bado haitoi haki kwa mtu yeyote nje ya mipaka kumdhalilisha ilhali tukiangalia bila kuchukua hatua.
NAWASILISHA Kwa maandalizi ya mpango mkakati wa kumlinda JK!!
 
Jilindde mwenyewe kwanza ,your Kids if you have one then Baba na Mama na kisha waliende viumbe vyote wa Mwenyezi Mungu alivyoviumba bila kubagua.
Rais wa Jamhuri yetu ni mwakilishi wetu na kioo chetu nje ya nchi. popote anapokuwa nje ya nchi maana yake kuna watanzania milioni 40 nyuma yake. Si vizuri hata kidogo kunyamaza kimya pale Rais wetu anapofedheheshwa nje ya mipaka yetu. Ni lazima tusimame pamoja kumlinda bila kujali tofauti zetu za kisiasa, kijamii na kielimu. Hata kama ni mbovu bado haitoi haki kwa mtu yeyote nje ya mipaka kumdhalilisha ilhali tukiangalia bila kuchukua hatua.
NAWASILISHA Kwa maandalizi ya mpango mkakati wa kumlinda JK!!
 
Rais wa Jamhuri yetu ni mwakilishi wetu na kioo chetu nje ya nchi. popote anapokuwa nje ya nchi maana yake kuna watanzania milioni 40 nyuma yake. Si vizuri hata kidogo kunyamaza kimya pale Rais wetu anapofedheheshwa nje ya mipaka yetu. Ni lazima tusimame pamoja kumlinda bila kujali tofauti zetu za kisiasa, kijamii na kielimu. Hata kama ni mbovu bado haitoi haki kwa mtu yeyote nje ya mipaka kumdhalilisha ilhali tukiangalia bila kuchukua hatua.
NAWASILISHA Kwa maandalizi ya mpango mkakati wa kumlinda JK!!

Who cares about him? kwani yeye anatujali au anaijali nchi yetu? I don't care whatever they do to him, as longer my country is safe. Who is Kikwete here in Tanzania? Mimi namuona kama ni Mwizi wa rasilimali zetu na mkukwapuaji wa Kodi zetu. Mwaache azalilishe kwani tayari ameshalidhalilisha Taifa letu na Watanzania wote kwa maneno yake ya kipuuzi. Kwa sisi mvua mpaka tumtetee?
 
You are such a fool!!
Who cares about him? kwani yeye anatujali au anaijali nchi yetu? I don't care whatever they do to him, as longer my country is safe. Who is Kikwete here in Tanzania? Mimi namuona kama ni Mwizi wa rasilimali zetu na mkukwapuaji wa Kodi zetu. Mwaache azalilishe kwani tayari ameshalidhalilisha Taifa letu na Watanzania wote kwa maneno yake ya kipuuzi. Kwa sisi mvua mpaka tumtetee?
 
Kuna tofauti ya kudhalilishwa na kujidhalilisha. Kama raisi amedhalilishwa tunaweza kumtetea ila kwa sasa mimi naona raisi wetu ana jidhalilisha siyo kudhalilishwa na mtu. Siwezi mtetea mtu anae jidhalilisha.
 
Rais wa Jamhuri yetu ni mwakilishi wetu na kioo chetu nje ya nchi. popote anapokuwa nje ya nchi maana yake kuna watanzania milioni 40 nyuma yake. Si vizuri hata kidogo kunyamaza kimya pale Rais wetu anapofedheheshwa nje ya mipaka yetu. Ni lazima tusimame pamoja kumlinda bila kujali tofauti zetu za kisiasa, kijamii na kielimu. Hata kama ni mbovu bado haitoi haki kwa mtu yeyote nje ya mipaka kumdhalilisha ilhali tukiangalia bila kuchukua hatua.
NAWASILISHA Kwa maandalizi ya mpango mkakati wa kumlinda JK!!

Papa D, Much appreciation SiR!!

What did you real wanted us to know out of what you posted?
Is there any problem somewhere with our Prez? And what is?
 
who cares about him? Kwani yeye anatujali au anaijali nchi yetu? I don't care whatever they do to him, as longer my country is safe. Who is kikwete here in tanzania? Mimi namuona kama ni mwizi wa rasilimali zetu na mkukwapuaji wa kodi zetu. Mwaache azalilishe kwani tayari ameshalidhalilisha taifa letu na watanzania wote kwa maneno yake ya kipuuzi. Kwa sisi mvua mpaka tumtetee?
wewe ni wakwanza kuropoka na zani niwakwanza pia kusukuma magari ya wale unaowakashifu.....
 
What exactly do you want to protect? An individual or the presidency? This is about what people feel about the person. Si kitu cha kupigia kampeni kama unavyofanya wewe.
 
Rais wa Jamhuri yetu ni mwakilishi wetu na kioo chetu nje ya nchi. popote anapokuwa nje ya nchi maana yake kuna watanzania milioni 40 nyuma yake. Si vizuri hata kidogo kunyamaza kimya pale Rais wetu anapofedheheshwa nje ya mipaka yetu. Ni lazima tusimame pamoja kumlinda bila kujali tofauti zetu za kisiasa, kijamii na kielimu. Hata kama ni mbovu bado haitoi haki kwa mtu yeyote nje ya mipaka kumdhalilisha ilhali tukiangalia bila kuchukua hatua.
NAWASILISHA Kwa maandalizi ya mpango mkakati wa kumlinda JK!!
.....tatizo la nchi hii ni kwamba hatuna mfumo madhubuti wa kutupatia rais inteligent kama nchi za magharibi zinavyofanya, sisi imekuwa tu huyu ni mwenzetu, mpole, kijana, chaguo la Mungu ama unaweza vipi fitina ndani na nje ya chama chako,, huu ndio msingi wa tatizo, tunatoa marais wenye uwezo mdogo (sio wote) kufikiri na kupambanua mambo, wanatoa majibu mepesi kwa maswali magumu, hapa sikuachi bila mfano.....Mkuu wa kaya anaulizwa kuhusu matatizo ya umeme na maji Mtera anajibu "Ningekuwa mvua ningenyesha nijaze mabwawa"......watu wakichambua huwezi kusema amedhalilishwa hapa ila ni kinyume chake. Halafu sio lazima kupost unaweza ukabaki kusoma post za wenzio hoja za namna hii zisizokuwa na mashiko msituletee.
 
Sio lazima upost humu, unaweza hata kusoma post za wenzako, anyway labda raha yako ni kuona watu wanachangia post yako, haya tumeshachangia furahi sasa.
 
sijui hii ni bhangi,utoto ama ulimbukeni wa kishamba.

With Deeply appreciation ... and what did you say was the problem with the president which motivated this thread? ...the answer will lead to double appreciation Sir! Cause honestly I didn't get that!!
 
What exactly do you want to protect? An individual or the presidency? This is about what people feel about the person. Si kitu cha kupigia kampeni kama unavyofanya wewe.

The answer to the first two questions ... are very important for they will enlighten the whole thread!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom