Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
muache taratibu co umeona dalili tuunakurupuka na msg za kibuti itakucost mana anaweza kukwambia mi mwenyewe nilikua natafuta hiyo nafasi nipumue afadhar umenirahishia....hahahaaaaaa dah. cha kufanya punguza mawasiliano nae taratibu hadi badae moyo unakua ushamtoa huyo mtu. ndo mana hata walevi na wavuta unga akiacha ghafla anaweza kupoteza maisha so mapenz nayoni km kilevi.