The Phd,naomba ufafanuzi kidogo hapa mkuu.

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Nikiwa kama mmoja wa mashabik wako hapa bongo,naomba kujua cv yako mkuu,na nin kirefu cha hlo neno phd?unatisha kwenye game mkuu.
 
Nikiwa kama mmoja wa mashabik wako hapa bongo,naomba kujua cv yako mkuu,na nin kirefu cha hlo neno phd?unatisha kwenye game mkuu.

we jamaa vipi?mbona unashoboka sana..kila siku phd phd,we wa wapi?maana huwezi kuwa wa town wewe...unashobokeeea wajinga wajinga hadi noma.
 
wakuu anachokifanya Senetor nye hamjagundua,ila mi nimemsoma
 
Last edited by a moderator:
yo whats your gender? If male, are u straight? Men never give a shit about other mans..

Mkuu naomba nitofautiane nawe, kuwa mwanaume hakumzui mtu asiwe anamshabikia msanii wa kiume. Mbona wana kibao mitaani wanawashangilia na kukubali wacheza mpira wa kiume, wasanii wa kiume wa ulaya na marekani, pia watu wanawashabikia wanasiasa wa kiume na wanafuatilia maisha yao na CV zao, utasema nao wana matatizo ya kijinsia? Pia hakuna ambaye huwa anawahoji 'whether they are straight?' Au kwa kuwa PHD ni mtanzania basi watu wasimshabikie sana? Tujifunze kukubali kuwa binadamu tupo tofauti na kila mtu ana haki ya kushabikia na kupenda msanii/mchezaji/mtu yeyote. Kufanya hivo hakumfanyi mtu awe tofauti na mienendo ya jinsia yake.
 
Mkuu naomba nitofautiane nawe, kuwa mwanaume hakumzui mtu asiwe anamshabikia msanii wa kiume. Mbona wana kibao mitaani wanawashangilia na kukubali wacheza mpira wa kiume, wasanii wa kiume wa ulaya na marekani, pia watu wanawashabikia wanasiasa wa kiume na wanafuatilia maisha yao na CV zao, utasema nao wana matatizo ya kijinsia? Pia hakuna ambaye huwa anawahoji 'whether they are straight?' Au kwa kuwa PHD ni mtanzania basi watu wasimshabikie sana? Tujifunze kukubali kuwa binadamu tupo tofauti na kila mtu ana haki ya kushabikia na kupenda msanii/mchezaji/mtu yeyote. Kufanya hivo hakumfanyi mtu awe tofauti na mienendo ya jinsia yake.

Utakuwa umetoka familia ya kishua ambayo elimu inaipa kipaumbele au ushatoka sana nje ya nchi kama siyo hivyo basi ujanja uko damuni!
 
Back
Top Bottom