Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Wataalamu,
I am abit lost on something here. Kwenye Ilani ya CCM ya 2010-2015 kuna takwimu za mambo ya madini ambazo hazileti maana ukizingatia kuwa pato la Serikali kwa madini lilikuwa asilimia 3 (3%) kabla ya sheria mpya ya madini iliyopita mwaka huu (nadhani) na kuongeza pato kufikia asilimia 4 (4%).
Sasa ukiangalia haya madai ya CCM kusema mapato ya Serikali kutoka sekta ya madini yalikuwa kiasi kadhaa na kisha kuonyesha mauzo kutoka sekta ya madini kuwa kiasi kadhaa, it makes you wonder nani muongo.
Ukifanya exchange rate ili kupata mahesabu kwa sarafu moja, inaonyesha kuwa sisi kama Taifa tulipata kama mapato kwa Serikali takriban kati ya 52% hadi 65% ya mauzo ya madini. THen nani anatoa takwimu za kweli na kwa nini CCM itoe takwimu ambazo zinapingana na sera ya madini ya Tanzania kupata asilimia 3 (3%)?
Je hii ni danganya toto ya kuhutubia takwimu kudhani awatu hatutahoji au kubaini kasoro?
Mwenye takwimu za Ashanti Gold na Barrick Gold kwa mwaka 2005 hadi 2008 naomba anipe takwimu na majedwali ya mashirika haya kimapato kutokana na uchimbaji wao wa madini Tanzania.
Nanukuu vipengele vya Ilani ya CCM.
I am abit lost on something here. Kwenye Ilani ya CCM ya 2010-2015 kuna takwimu za mambo ya madini ambazo hazileti maana ukizingatia kuwa pato la Serikali kwa madini lilikuwa asilimia 3 (3%) kabla ya sheria mpya ya madini iliyopita mwaka huu (nadhani) na kuongeza pato kufikia asilimia 4 (4%).
Sasa ukiangalia haya madai ya CCM kusema mapato ya Serikali kutoka sekta ya madini yalikuwa kiasi kadhaa na kisha kuonyesha mauzo kutoka sekta ya madini kuwa kiasi kadhaa, it makes you wonder nani muongo.
Ukifanya exchange rate ili kupata mahesabu kwa sarafu moja, inaonyesha kuwa sisi kama Taifa tulipata kama mapato kwa Serikali takriban kati ya 52% hadi 65% ya mauzo ya madini. THen nani anatoa takwimu za kweli na kwa nini CCM itoe takwimu ambazo zinapingana na sera ya madini ya Tanzania kupata asilimia 3 (3%)?
Je hii ni danganya toto ya kuhutubia takwimu kudhani awatu hatutahoji au kubaini kasoro?
Mwenye takwimu za Ashanti Gold na Barrick Gold kwa mwaka 2005 hadi 2008 naomba anipe takwimu na majedwali ya mashirika haya kimapato kutokana na uchimbaji wao wa madini Tanzania.
Nanukuu vipengele vya Ilani ya CCM.
(v) Mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la Taifa umeongezekamwaka 2008.
kutoka asilimia 2.4 mwaka 2005 hadi asilimia 2.6 mwaka 2008.
(vi) Mapato ya Serikali kutokana na uchimbaji mkubwa yameongezeka
kutoka Sh. 457.4 bilioni mwaka 2005 hadi Sh. 840.0 bilioni mwaka
2008.
(vii) Thamani ya madini yanayouzwa nje imeongezeka kutoka dola za
Marekani 727.45 milioni mwaka 2005 hadi dola 1,075.9 milioni