Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Mimi nakukaribisha mheshimiwa Mbowe kujichanganya nasi ili upate na uchangie mawazo mbalimbali kutoka katika majadiliano haya.
Lakini mimi sioni tatizo kama sisi tunaochangia mada hatuoneshi majina yetu.
Tayari katika nchi kama Uchina na Zimbabwe kwenye serious oppressive regimes, raia huwa wanakuwa monitored wanapokuwa online kwa kutumia special software zinazoweza kutoa report kuhusu source ya material na intended destination ambayo mara nyingi ni IP address na namba ya simu.
As a result watu kibao wamesumbuliwa na mamlaka mbali mbali iwe za intelligence au wanamtandao.
Pia katika kudhihirisha hilo wote tumesikia jasusi wa zamani wa KGB alivyouawa kinyama akiwa ndani ya nchi nyingine.
Kwa sababu hio mawazo au makala ambazo mimi huziandaa huwa nakuwa nimezifanyia utafiti wa kina. Huwa pia nafanya tafiti kupitia source mbalimbali ambazo nyingine huwa ni za kulipia.
Kuna masuala mengi ambayo wewe mheshimiwa Mbowe inabidi utueleze kuhusu nia yako ya kutaka kuwa uraisi nchini Tanzania.
Kwanza je,ni nani anakufadhili au amekuwa anakufadhili katika kampeni zako za kutaka uraisi.Kwa kuuliza swali hilo ninamaanisha kwamba serikali iliopo madarakani hivi sasa imefadhiliwa na wafanyabiashara wakubwa na watu wengine wa nje ya Tanzania kwa minajili ya kutaka kufanikisha malengo yao binafsi na kuhujumu uchumi wa Tanzania.
Pili,je unafikiri ni kwa nini upinzani Tanzania na Afrika kwa ujumla huwa unashindwa kufanikiwa,kwa sababu hata hayati Mwalimu wakati wakupigania uhuru wetu wa bendera chama chake cha TANU kilikuwa kikifadhiliwa na chama cha labour cha Uingereza hivo kuwa na nguvu kifwedha hata kuweza kwenda New York na hiyo watanzania wengi wa leo hawajui,kwani tunaambiwa kulichangwa fwedha za harambee.
Tatu je,una mawazo gani kuhusu suala la uzalishaji umeme katika nchi yetu na una masuluhisho gani ya muda mfupi na muda mrefu?
Nne je,nini strategy yako kwa uchaguzi ujao na nani ni strategist wako.Nakuuliza swali hili kwa sababu ma-strategists wa chama cha Democrats pale Marekani waliingia na strategy ya kukata na shoka kuchukua viti kwenye bunge la Congress.
Mwisho nakukaribisha mheshimiwa Mbowe na nnataka niwe mwanachama wa behind the scenes ili tubadilishe nchi yetu.
Lakini mimi sioni tatizo kama sisi tunaochangia mada hatuoneshi majina yetu.
Tayari katika nchi kama Uchina na Zimbabwe kwenye serious oppressive regimes, raia huwa wanakuwa monitored wanapokuwa online kwa kutumia special software zinazoweza kutoa report kuhusu source ya material na intended destination ambayo mara nyingi ni IP address na namba ya simu.
As a result watu kibao wamesumbuliwa na mamlaka mbali mbali iwe za intelligence au wanamtandao.
Pia katika kudhihirisha hilo wote tumesikia jasusi wa zamani wa KGB alivyouawa kinyama akiwa ndani ya nchi nyingine.
Kwa sababu hio mawazo au makala ambazo mimi huziandaa huwa nakuwa nimezifanyia utafiti wa kina. Huwa pia nafanya tafiti kupitia source mbalimbali ambazo nyingine huwa ni za kulipia.
Kuna masuala mengi ambayo wewe mheshimiwa Mbowe inabidi utueleze kuhusu nia yako ya kutaka kuwa uraisi nchini Tanzania.
Kwanza je,ni nani anakufadhili au amekuwa anakufadhili katika kampeni zako za kutaka uraisi.Kwa kuuliza swali hilo ninamaanisha kwamba serikali iliopo madarakani hivi sasa imefadhiliwa na wafanyabiashara wakubwa na watu wengine wa nje ya Tanzania kwa minajili ya kutaka kufanikisha malengo yao binafsi na kuhujumu uchumi wa Tanzania.
Pili,je unafikiri ni kwa nini upinzani Tanzania na Afrika kwa ujumla huwa unashindwa kufanikiwa,kwa sababu hata hayati Mwalimu wakati wakupigania uhuru wetu wa bendera chama chake cha TANU kilikuwa kikifadhiliwa na chama cha labour cha Uingereza hivo kuwa na nguvu kifwedha hata kuweza kwenda New York na hiyo watanzania wengi wa leo hawajui,kwani tunaambiwa kulichangwa fwedha za harambee.
Tatu je,una mawazo gani kuhusu suala la uzalishaji umeme katika nchi yetu na una masuluhisho gani ya muda mfupi na muda mrefu?
Nne je,nini strategy yako kwa uchaguzi ujao na nani ni strategist wako.Nakuuliza swali hili kwa sababu ma-strategists wa chama cha Democrats pale Marekani waliingia na strategy ya kukata na shoka kuchukua viti kwenye bunge la Congress.
Mwisho nakukaribisha mheshimiwa Mbowe na nnataka niwe mwanachama wa behind the scenes ili tubadilishe nchi yetu.