The New tiGO internet modem

Bora Unlimited packages za Vodacom, Unlimited internet for 7days-10,000/=, na Unlimited internet for 30 days-30,000/= inawafaa wanaotaka kudownload movie na data kila siku...
 
oya wazee ni wambieni kitu bado unaweza pata unlimited internet ya TIgo kwa shilingi 450 kwa siku mbili.
chukua line ya tigo iweke vocha tuma neno light day kwenda 15166 uta pata unlimited ya simu lakini instead ya kuweka line kwenye simu weka kwenye moderm .kula unlimited for two days.nimemaliza mwezi nkifanya hivyo mimi binafsi[:dance:/COLOR]
 
oya wazee ni wambieni kitu bado unaweza pata unlimited internet ya TIgo kwa shilingi 450 kwa siku mbili.
chukua line ya tigo iweke vocha tuma neno light day kwenda 15166 uta pata unlimited ya simu lakini instead ya kuweka line kwenye simu weka kwenye moderm .kula unlimited for two days.nimemaliza mwezi nkifanya hivyo mimi binafsi[:dance:/COLOR]


Tigo wana light wiki and standard wiki with low speed and high speed for 2500 and 4500 respectvely na ya mwezi kwa utaratibu huo kwa sh 9000 na 15000. Nimejaribu ya 2500 ipo slow sana na hupungua zaidi kadri unavyo download. Sasa nimeweka ya sh 15000 nione ndo naanza kutumia naona speed yao kama bado ni ndogo ukilinganisha na airtel ambayo nimekwisha itumia. Sasa sijui kama nini maana hata airtel siku za karibuni walikuwa slow, labda ni watumiaji wengi huko wanakochukulia, sijui wataalamu zaidi waweza tusaidia.
 
TTCL Modem ndo mpango mzima..hawa wangine wanarukaruka mb 400 itasaidia nini! labda kama unatumia simu kusurf.
 
Mb 400 kwa light surfing.. i.e email, facebook and twitter zinatosha for a week kama umeweka automatic updates off...
 
jee inawezekana kutumia modem ya zantel kutumia internet ya airtel. ? ikiwa inawezekana njia ni ipi? please somebody help

Bosi hiyo haiwezekani coz Zantel wanatumia sayansi ya CDMA na Airtel wantumia HSDPA. Ukiadvance na Zantel unaweza kushare na TTCL na Sasatel.Likewise ukichakachua Airtel unweza kutumia na Tigo,Voda na Airtel yenyewe!
 
Back
Top Bottom