Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 49
Zanzibar hakuna sera za kulindana wala za urafiki kama wa KJ huko bara. Wizara zimegawanywa karibu sawa sawa kati ya wapinzani na CCM. Hapo ndio mwisho wa upinzani visiwani.Ukiangalia kwa makini, zile wizara zilizokuwa zikisumbuliwa sana na wapinzani CUF sasa wamepewa
wao kazi kwao waonyeshe njia siyo kuwa wapiga debe tu. safi sana TZ bara wanatakiwa kuiga mfano huu.
wao kazi kwao waonyeshe njia siyo kuwa wapiga debe tu. safi sana TZ bara wanatakiwa kuiga mfano huu.