Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
kwanini baraza la vyuo vya ufundi nchini hawabadili mfumo wao? Yaani muda wa kuanza masomo hadi mwaka wa kumalizia. Mkwani vijana wengi hukaa bure mwaka mmoja nje wakingoja kujiinga na vyuo vikuu, tofauti na f6 ambao mwanafunzi akimaliza tu hupta fursa ya kujiunga na vyuo vikuu, yaani hawakai nje mwka mmoja