The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Man City ni club iliyoamua kubadilika ili kuchukua nafasi katika BIG 4 na kadri michezo ya ligi hii maarufu inavyozidi kuendelea kuchezwa ndivyo mamilionea vijana wanapozidi kuchanganya na kuwa timu kali.

Mashabiki wa Arsenal kaeni katika mkao wa kukung'utwa na timu hii kwani hata Man City ya mwaka jana iliwabandika goli 3 bila majibu.Sioni mtaepuka vipi kipigo wakati huu ambapo Adebarour,Tevez,Robinho,SWP wanataka kuonesha value yao ilivyo juu!Huko nyuma ndiyo usiseme tena England Center back Jolean Lescot,Back mzoefu Silvyinho,England international Gareth Barry na Goal Keeper makini Given....usiseme....ni timu balaa kabisa.Nawahurumia Arsenal tayari!
 
the sun have done their sums of how much the Big four + 1 (that's man city,of course) have spent in the last four years,and while man city have splashed out a net spend of pound 232.4m,man united have spent just pound 6.25m,while arsenal have made a net profit of pound 27.9m.Rafa 'no money' Benitez has spent pound 88.4m,while chelsea have dished out pound 97.5m.

kumbuka hizo hela ni baada ya kuuza na kununua wachezaji balance ndio hizo for the last four years.
__________________
 
Man City ni club iliyoamua kubadilika ili kuchukua nafasi katika BIG 4 na kadri michezo ya ligi hii maarufu inavyozidi kuendelea kuchezwa ndivyo mamilionea vijana wanapozidi kuchanganya na kuwa timu kali.

Mashabiki wa Arsenal kaeni katika mkao wa kukung'utwa na timu hii kwani hata Man City ya mwaka jana iliwabandika goli 3 bila majibu.Sioni mtaepuka vipi kipigo wakati huu ambapo Adebarour,Tevez,Robinho,SWP wanataka kuonesha value yao ilivyo juu!Huko nyuma ndiyo usiseme tena England Center back Jolean Lescot,Back mzoefu Silvyinho,England international Gareth Barry na Goal Keeper makini Given....usiseme....ni timu balaa kabisa.Nawahurumia Arsenal tayari!
ha ha ha keep on dreaming.
 
ha ha ha keep on dreaming.

Kama ni kuwafunga Arsenal hii si kazi ngumu.Nimekupa mfano wa msimu wa ligi uliopita.Angalia record ya Arsenal na Man City.Sasa kama ile Man City ya awali iliweza kuwamimimia goli 3 nambie hiyo Jumamosi ijayo utabebeshwa mangapi?
 
Kama ni kuwafunga Arsenal hii si kazi ngumu.Nimekupa mfano wa msimu wa ligi uliopita.Angalia record ya Arsenal na Man City.Sasa kama ile Man City ya awali iliweza kuwamimimia goli 3 nambie hiyo Jumamosi ijayo utabebeshwa mangapi?
mfano wako wa ajabu sana na siwezi kubishana kwa kutumia hoja yako.wewe kama unaweza kuona kwenye record kwamba novermber ulimfunga arsenal goli 3 bila lakini unashindwa kuona kwamba april msimu huo huo arsenal alikufunga 2 bila? ndio maana na kwambia huna hoja na vizuri ukasubiri dakika 90 ziishe hapo sept 12 hili ujenge hoja upya.sasa hivi mie naona kama unajaribu kusukuma mda wa "international break" sio mbaya na wewe ukichukua mapumziko wakati huu si unaona threads za mpira zilivyokuwa slow.
timu zote mbili zime improve na itakuwa mechi nzuri sana.
 
Ahh..Kiongozi tusiandikie mate..tuombeane uzima tu tushuhudie kati ya Arab money na falsafa za kibahili, ipi itazaa matunda?

Fingers crossed..
ha ha ha mkuu bila wasi wasi siku itafika na ni siku ya bday yangu kwahio nategemea vijana watanipa zawadi ya point 3 bila wasi wasi.
 
ROBINHO has dismissed talk of a January move to Barcelona by revealing he is targeting a title charge with Manchester City.
The Champions League winners are reported to be weighing up a move for the £32.5million former Real Madrid favourite.

But Brazil ace Robinho, 25, admits he has been impressed by the business done by City boss Mark Hughes this summer.

He said: "The club have set their sights high this year and backed that up in the transfer market.

"We've built a stronger squad than last year and can handle any team.

"There have been great additions - now we need to understand we must be stronger mentally.

"We can be like that this season and have what it takes to go for the title.

"The more I think about it, the more I think this year must be our year."


Haya,Eastlands blues kuna matumaini makubwa ya kuchukua ubingwa kwani hata Robinho
kaamua kubaki badala ya kwenda Barca.Anajua anachokifanya maana ingekuwa mambo ya hivihivi tu angerukia offer ya Barca.
 
mshabiki wa arsenal ambaye ameama na adebayor anaweza kuwa mgonjwa wa akili na kuitaji daktari haraka sana.

Mtu hufuata mapenzi yake yanapoelekea.Kama wameona ni bora wahamie Manchester City,wewe ni nani kuwahukumu hata kuwaambia hawana akili.Mimi naona wewe ndiye wa kupimwa akili.

Mimi ni shabiki wa Man City tangu zamani na sasa imeboreshwa ndiyo kabisaaa.na Na kwa taarifa yako nimeshaona goli 2 zinatinga Arsenal siku ya Jumamosi na kama unabisha subiri mwiho wa mechi.
 
Mtu hufuata mapenzi yake yanapoelekea.Kama wameona ni bora wahamie Manchester City,wewe ni nani kuwahukumu hata kuwaambia hawana akili.Mimi naona wewe ndiye wa kupimwa akili.

Mimi ni shabiki wa Man City tangu zamani na sasa imeboreshwa ndiyo kabisaaa.na Na kwa taarifa yako nimeshaona goli 2 zinatinga Arsenal siku ya Jumamosi na kama unabisha subiri mwiho wa mechi.
klabu kubwa kushinda mchezaji na kunatofauti kubwa kati ya washabiki na "bandwagons".
 
Kuna mtu aliwahi kuniambia mshabiki wa kweli anaweza kubadirisha dini lakini sio timu anayoshabikia.
 
kweli kabisa mkuu.yani sawa sawa uhame na ronaldo real madrid wakati ronaldo kakukuta wewe man united inawezekana kweli hio?

Hawa jamaa wanaleta utani yani kienyeji enyeji namfuata mchezaji kutoka timu moja kwenda nyingine?
 
ROBINHO has dismissed talk of a January move to Barcelona by revealing he is targeting a title charge with Manchester City.
The Champions League winners are reported to be weighing up a move for the £32.5million former Real Madrid favourite.

But Brazil ace Robinho, 25, admits he has been impressed by the business done by City boss Mark Hughes this summer.

He said: "The club have set their sights high this year and backed that up in the transfer market.

"We've built a stronger squad than last year and can handle any team.

"There have been great additions - now we need to understand we must be stronger mentally.

"We can be like that this season and have what it takes to go for the title.

"The more I think about it, the more I think this year must be our year."


Haya,Eastlands blues kuna matumaini makubwa ya kuchukua ubingwa kwani hata Robinho
kaamua kubaki badala ya kwenda Barca.Anajua anachokifanya maana ingekuwa mambo ya hivihivi tu angerukia offer ya Barca.

Manchester City star Robinho has admitted he is flattered to be linked with a move to Barcelona.
Barca coach Pep Guardiola
spacer.gif
has confirmed he is an admirer of the Brazilian international fuelling rumours of a possible bid for his services when the transfer window reopens in January.
Robinho, who played for Barcelona's
spacer.gif
bitter rivals Real Madrid before moving to City, concedes it would be hard to turn down a move to Camp Nou if Barcelona came calling for his services.
"It's not easy to say no to a team like Barcelona," Robinho told Marca.
"They are the European champions. It is a beautiful city and I like Spain a lot.
"I have always wanted to play at clubs like Barcelona. It's a great club, any player would be happy for them to show an interest.
"I am happy that a club like them have noticed me. Who would not want to play for a club alongside Xavi, [Andres] Iniesta, [Lionel] Messi, [Zlatan] Ibrahimovic and all the others.
"I like Barcelona, they're a great club."
 
Rennes have confirmed they have reported Manchester City to Fifa over the alleged poaching of French youngster Jeremy Helan.
City boss Mark Hughes
spacer.gif
snapped up the teenage defender earlier this year after he reportedly opted against seeing out his first professional contract with Rennes.
The Clairefontaine academy player had been wanted by Manchester United
spacer.gif
in 2008, but the Ligue 1 outfit dug in their heels over his departure.
With The Red Devils out of the picture City moved in, much to the anger of Rennes who insist that his pre-contract agreement tied both him and the club to a contract if he represented France at youth level.
 
Back
Top Bottom