The Malawi-Tanzania Boundary Dispute Journal Article published in 1973

tusiwe wezi! wakati Nyerere anakabidhiwa nchi mipaka ilikuwa ni lake shore, yaani lake nyasa lilikuwa mali ya malawi. hakuna haja ya vita, tukubali ukweli. pia mkumbuke hili jeshi la akina shimbo na suma jkt, tukianzisha ugomvi na malawi zikanza kupigwa utawaona malawi nusu saa wako njombe.
 
Hii kitu ni kama imekula kwetu. Kumbe hata kwenye Hansard kitu kimetulia! Basi tena lake nyasa!

Tuwe makini sana na mgogoro huu ushabiki hautakiwa bali kuutafuta ukweli na kuusaka ukweli ili kuishauri vema nchi yetu...... vita sio jambo jema.
 
tusiwe wezi! wakati Nyerere anakabidhiwa nchi mipaka ilikuwa ni lake shore, yaani lake nyasa lilikuwa mali ya malawi. hakuna haja ya vita, tukubali ukweli. pia mkumbuke hili jeshi la akina shimbo na suma jkt, tukianzisha ugomvi na malawi zikanza kupigwa utawaona malawi nusu saa wako njombe.


Wazungu (Uingereza/Ujerumani) wanataka kuchimba mafuta ziwa Nyasa ndio waliweka mipaka hiyo mwaka 1890 kwa mkataba wa Ecoland na wanajua fika ukweli wake...... ukimya wao unaashiria kwamba wako upande wa Malawi ambaye tunamwita mchokozi wanasubilia tu tuanzishe vita na kisha wauze silaha zao Malawi.

Ni busara tu kupitia niia ya kidiplomasia ndio itatufikisha kwenye amani.... itatuepusha na mengi.
 
hii wala haijakula kwetu hii article haina mbele wala nyuma kikubwa miaka bnendarudi walikuwa wapi hawa wa malawi? pia huyu aliyeendaa article hii haja sema mpaka uliopo ilitokeaje ukawepo?
 
published by The Journal of Modern African Studies

samahani wadau nimeshindwa kusoma na kuwapa summary ya kilichoandikwa. Ila naamini wapo wadau hii article wangependa kuisoma

Tunahitaji watu kama wewe uliyepoteza muda wako kusaka chimbuko la mgogoro wa ziwa nyasa kwa ajili ya taifa lako........... thx a lot.

Umechagua njia sahihi ya kuleta amani..... ni wengi wameingia kwenye mgogoro bila kuchimba kiini chake na ndio hao wanatamka kwa wepesi tunataka vita??
 
Twendeni sote tukaitembelee historia tujue kwa nini mgogoro huu haujaisha tangu ulipoanza miaka 50 iliyopita..... tutafute majibu sahihi. Mgogoro huu ni waki-historia hivyo utatuzi wako ni wa kihi-historia........ ni makosa kutumia sayansi, uchumi.

Historia + Geografia + sheria (mkataba wa mpaka = majibu sahihi.
 
Nimejaribu sana kupitia documents mbalimbali .... mshipa wangu mmoja wa fahamu ukanieleza kwamba suala hili linaweza kula kwetu..... wakoloni wana mkono wao kwenye mgogoro huu???
 
tusiwe wezi! wakati Nyerere anakabidhiwa nchi mipaka ilikuwa ni lake shore, yaani lake nyasa lilikuwa mali ya malawi. hakuna haja ya vita, tukubali ukweli. pia mkumbuke hili jeshi la akina shimbo na suma jkt, tukianzisha ugomvi na malawi zikanza kupigwa utawaona malawi nusu saa wako njombe.

Hii nini tena mkuu,hapa tunazungumzia hatma ya TAIFA letu sio mambo ya siasa tena - mimi nakumbuka nilipo kuwa nasoma shule ya msingi tulikuwa tunachora ramani ya Tanzania tukionyesha mpaka wa Tanzania na Malawi ulikuwa unapitia katikati. ya ZIWA na ramani zilizo kuwa zinatoka Uingereza zilikuwa zinaonyesha hivyo. Tangu wakati huo nilikuwa sina sababu ya kuangalia tena ramani, sasa ni kitu gani kijiri mipaka ikabadilishwa - mbona maziwa yote yanayo pakana na nchi jirani kila nchi inachukuwa sehemu ya ziwa bila mikwala - sasa ziwa NYASA lina tofauti gani? Mbona limepakana na Tanzania, Msumbiji na Malawi sasa Malawi inawezaje ku-claim a lion's share katika umiliki wa ziwa NYASA!
 
Wasiwasi wangu ni jeshi la watoto wa wakubwa, katika hali za utata kama hizi, nafikiri kuna watu wanajutia kupata hiyo ajira.
 
Tuwe makini sana na mgogoro huu ushabiki hautakiwa bali kuutafuta ukweli na kuusaka ukweli ili kuishauri vema nchi yetu...... vita sio jambo jema.

Acha woga wa vita, huend hivi vitambi vya polisi n wajeshi wetu wengine vitapungua n pengine huko watajifunza nini maana ya mapambano si wamezoea kutupiga mabomu sisi raia. Acha waende wakapate mauzoefu ya namna ya kupmban vitani na adui wa kweli sio raia wa kwenye mikutano ya CHADEMA.
 
Waingereza walibadilisha mpaka lini? Mbona naona ramani za Wajerumani za kabla ya WW1 mpaka uko pwani ya ziwa upande wa German East Afrika then?

Kuna ramani official za Wajerumani as early as the late 1890s and 1906.

OAU ilisemaje kuhusu mipaka ya kikoloni kuheshimiwa?

Kati ya tamko la OAU mipaka ya kikoloni kuheshimiwa, na ile "rule" ya kutaka mpaka usipitie pwani ya ziwa, kipi kinazidi kingine kukiwa na conflict?
 
Jamani najua wengi wenu hampo Mbeya, kifupi ni kwamba juzi na jana nilishuhudia vifaa na magari ya kijeshi yalipita ya kutosha kutoka kambi ya Mbalizi kuelekea Kyela tena mchana kweupe.
 
Malawi haijawahi tawaliwa na Mreno
Inategemea unamaanisha nini, prior to Berlin Conference, kulikuwa na Portuguese Nyasaland ambayo ilitokana na Yaoland. Portuguese Nyasaland ikaja kuwa Mocambique na ilijumlisha karibu 1/3 ya Malawi kabla mzungu mwingine hajafika Malawi.

Na kabla ya agreement iliyofanyika 1891 (june11, ratified in Aug same year) kutokea masharik mpaka magharibi chini ya mto ruvuma ni ardhi iliyodaiwa(as in claimin') na Wareno. Ndiyo maana Mwingereza ambaye alikuwa na BSAC pamoja na LAC, walitumia missionaries posts zilizopo kwenye ziwa Nyasa na makubaliano kati ya Cecil Rhodes na Mwanemutapa kama ushahidi wa their sphere of influence.
Hii ikawapa waingereza Rhodesia (siyo kama koloni la waingereza ila wazungu settlers wachache) ambayo ni Zimbabwe na Nyasaland ambayo iliunganishwa pamoja na Zambia kuwa Central African Federation chini ya mwingereza.

Kwa kifupi ni vigumu sana (almost naive) ku-argue kuwa mreno hajawahi kutawala nchi yeyote Africa kusini mwa sahara, especialy from Kismayu downwards, hii inajumlisha Tanganyika, Kenya, Zanzibar, South Africa...etc...etc.
 
Waingereza walibadilisha mpaka lini? Mbona naona ramani za Wajerumani za kabla ya WW1 mpaka uko pwani ya ziwa upande wa German East Afrika then?

Kuna ramani official za Wajerumani as early as the late 1890s and 1906.

OAU ilisemaje kuhusu mipaka ya kikoloni kuheshimiwa?

Kati ya tamko la OAU mipaka ya kikoloni kuheshimiwa, na ile "rule" ya kutaka mpaka usipitie pwani ya ziwa, kipi kinazidi kingine kukiwa na conflict?
Walibadilisha 1914.
Mpaka upo upande wa ziwa kama mpaka wa CAF ulivyo pwani ya ziwa.
Hivi, duniani kuna mpaka ambao upo pwani ya ziwa? buondaries na sphere of ifluence ni vitu viwili tofauti. Especially kama hakuna visiwa kwenye shared body of water.
 
Walibadilisha 1914.
Mpaka upo upande wa ziwa kama mpaka wa CAF ulivyo pwani ya ziwa.
Hivi, duniani kuna mpaka ambao upo pwani ya ziwa? buondaries na sphere of ifluence ni vitu viwili tofauti. Especially kama hakuna visiwa kwenye shared body of water.

Naomba source yako kwamba Waingereza walibadilisha mpaka 1914.
 
Ilitawaliwa na ureno kwa kipindi kifupi baada ya Berlin conference kama sikosei. Mwingereza kwa kutumia claim ya missionaries za David Livingstone, na kampuni yake ya BSAC walipigana na mreno ambaye alikuwa akisaidiwa na Mwarabu na kuitwaa Nyasaland as a protectorate. Hii ni baada ya mreno kudai ardhi yote ya kutoka Msumbiji mpaka Angola (katikati kulikuwa na Rhodesia), pwani hadi pwani.



Hapo kwenye red, mbona sioni ushadi wa hoja hii??? Rejea na ramani ya Africa iliyotokana na Mkutano wa Berlin/Scramble for Africa.
Nchi zilizokuwa makoloni ya Mreno ni rangi ya Zambarau, na ya Mwingereza ni rangi ya Brown

Early human inhabitants of what is now Malawi date to 8000–2000 B.C. Bantu-speaking peoples migrated there between the 1st and 4th centuries A.D. A large slave trade took place in the 18th and 19th centuries and brought Islam to the region. At the same time, missionaries introduced Christianity. Several major kingdoms were established in the precolonial period: the Maravi in 1480, the Ngonde in 1600, and the Chikulamayembe in the 18th century.


The first European to make extensive explorations in the area was David Livingstone in the 1850s and 1860s. In 1884, Cecil Rhodes's British South African Company received a charter to develop the country. The company came into conflict with the Arab slavers in 1887–1889. Britain annexed what was then called the Nyasaland territory in 1891 and made it a protectorate in 1892. Sir Harry Johnstone, the first high commissioner, used Royal Navy gunboats to wipe out the slavers. Between 1951 and 1953, Britain combined Nyasaland with the colonies of Northern and Southern Rhodesia to form a federation, a move protested by black Africans who were wary of alignment with the ultra conservative white minority rule in South Rhodesia.


Source: Malawi: Maps, History, Geography, Government, Culture, Facts, Guide & Travel/Holidays/Cities — Infoplease.com


350px-Colonial_Africa_1913_map.svg.png
 
Back
Top Bottom