CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
unajaribu kumaanisha kwamba Betty Mkwasa....????
We wasema! natoa mfano. Coincidence kama kuna Betty Mkwasa ana-fall katika category hiyo.
unajaribu kumaanisha kwamba Betty Mkwasa....????
Nilimpiga stop mke wangu kuingia kwenye siasa. Haya majamaa hayana haya kwa wake za watu. Linaona kabisa pete ya ndoa halafu linashika maeneo kama hayo.
Ccm oyeeeeee!!!
unajaribu kumaanisha kwamba Betty Mkwasa....????
alikuaga chakula ya muhisimiwa !!
Kwani muhisimiwa alishaacha kutafuna?
Hao huwa hawaachwi, ni kama kunywa maji ukijisikia siku unachukua unakunywa tu, ole wako wewe ujichanganye uoe hapo, utaona rangi zote!!Kwani muhisimiwa alishaacha kutafuna?
Mzee kusoma tabu, hata picha? Hivi kweli mkeo from nowhere unaona anapewa cheo halafu eti mnatakiwa make mbali mbali wewe umekaa tu, kuna mijitu mingese kweli!!
Huyo mwanamke kwenye picha hana pete ya ndoa, ni mipete yao ya kichawi ile...
Kwani muhisimiwa alishaacha kutafuna?
Pesa za walipakodi hizo....lakini mwisho wao unakaribia! if not 2015 basi 2020ha ha ha nimefurahi sana kukuona mshikachuma umewaona magamba wakifanya yao..?? jamaa kanenepa tumbo kama gunia la mbolea..
Pesa za walipakodi hizo....lakini mwisho wao unakaribia! if not 2015 basi 2020
VT VINAVUMILIA UZITO C MCHEZO. SIJUI YULE BINTI NYUMA YA NONDO SEGErIA ALIKUWA ANAVUMILIAJE
VT VINAVUMILIA UZITO C MCHEZO. SIJUI YULE BINTI NYUMA YA NONDO SEGErIA ALIKUWA ANAVUMILIAJE
lakini huyu komba ana bahati mbaya na camera .. mara ina mdaka anauchapa usingizi bungeni.. mara anacheza kiduku.. leo anamshika mapaja mke wa mtu