Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
kilichobakia ni kuchapana tu kama sungura pesa za wizi si zipo tayari.
Jamaa kanenepa hadi kichwa, angalia kofia imavyopata tabu kuenea kichwani...
Komba mda wote amekalia viti vi3, jamaa ni mnene sana
Nilimpiga stop mke wangu kuingia kwenye siasa. Haya majamaa hayana haya kwa wake za watu. Linaona kabisa pete ya ndoa halafu linashika maeneo kama hayo.
Hivi kama mimi ni mume wa huyo mwanamama nikaamua kumBARLAW huyo mzee, nitakua na makosa kweli????
Kwa vipi!!!!!!!!!! mke wa mtu umshike hivyo eti mko kwenye kikao cha magamba! Wa kwake akikuta ameshikwa hivyo ataafiki kuwa ni mkutano! Ndio hayo ya kumpa mke wako cheo-ukuu wa wilaya wakati hana qualifications. Unafikiria nini kama mwanamume! Chakula cha wakubwa! eg-kutoka utangazaji wa ITV kuwa DC na particularly ukiwa MREMBO
Mmmh......Huyo mwanamama ni nani??