The Looming Showdown in Dodoma

Mushi ana ugumu wa kuelewa maandishi kweli duh! siyo kila kitu kinachoandikwa ndivyo kinamaanishwa hivyo. Kuna vitu vinaitwa irony, sarcasm n.k jifunze kidogo utaelewa mtu anaweza akasema kitu kumbe anachoseme ni zaidi unachosoma. Duh!
 
Eti kwani wewe jmushi uliwahi ama na au kuugua maradhi ya kichwa? Nami nimeuliza swali tuu.

Na mimi SIO CHIFUPA!

Yeye ndiye alipata matatizo kama hayo alipokuwa amewashika PABAYA!

TATIZO NI KUWA BADO ALIKUWA AMEJICHANGANYA NAO!

Mimi sisemi kwamba siwezi kufikiwa hapa niilipo...Ila kuna kazi.
 
Humu kuna watu wanahitaji huduma ya maombezi kutoka kwa mama Lwakatare na Kakobe kwani ........kila sentensi moja kutoka kwake inakuja na vitu vingine mia
 
Jamani mwee msisumbuke na Jmushi kwa sababu ana uelewaji wake pekee kama ule wa 2+3=23...
Sababu zake?...
Ubishi wa kwamba haiwezekani kabisa kuwa 5, kwa sababu hakuna namba yoyote ktk 5 inayofanana na 2 wala 3..Kwa hiyo kila unachoandika hakikisha kuna uhusiano kimaandishi...
Mkuu Mushi utanisamehe kwa hilo lakini ndio conclusion niliyofikia..
 
Mushi ana ugumu wa kuelewa maandishi kweli duh! siyo kila kitu kinachoandikwa ndivyo kinamaanishwa hivyo. Kuna vitu vinaitwa irony, sarcasm n.k jifunze kidogo utaelewa mtu anaweza akasema kitu kumbe anachoseme ni zaidi unachosoma. Duh!

Maandishi ya SHOWDOWN YA DODOMA KUHUSIANA NA UNGA ULIOGEUKA NA KUWA VUMBI LISILOKUWA NA MADHARA!

Vumbi ambalo lilisemekana lina MOTIVE NA SASA HALINA MOTIVE TENA KWANI LILISHASAFISHWA SIKU YA IJUMAA BADALA YA JUMA NNE!

Na huku watu wakikanusha kauli zilizotolewa na SPIKA WA BUNGE...PAMOJA NA MAMLAKA NYINGINEZO!

Kusoma ama kusema ni vitu vinavyotegemeana...Hivyo basi...Nilishasoma before kuwa huo ulikuwa unga unga na halafu sasa ni vumbi vumbi...Pia nilishasoma yale yote ambayo sasa unasema hayakusemwa.
 
Jamani mwee msisumbuke na Jmushi kwa sababu ana uelewaji wake pekee kama ule wa 2+3=23...
Sababu zake?...
Ubishi wa kwamba haiwezekani kabisa kuwa 5, kwa sababu hakuna namba yoyote ktk 5 inayofanana na 2 wala 3..Kwa hiyo kila unachoandika hakikisha kuna uhusiano kimaandishi...
Mkuu Mushi utanisamehe kwa hilo lakini ndio conclusion niliyofikia..

Conclusion zenu zinajulikana...TUNASUBIRI HIYO SHOWDOWN HALAFU TUONE NI MASWALI GANI AMA KAULI GANI WATAZITOA HAPO KWENYE PRESS CONFERENCE!

Pia kumbuka kuwa licha ya kwamba mbili zidisha kwa mbili ni nne na mbili jumlisha mbili ni nne haina maana kuwa jumlisha na zidisha zina maana sawa licha ya kwamba zina majibu sawa ambayo ni NNE.

Make sense?
 
Jmushi1,
Pia kumbuka kuwa licha ya kwamba mbili mara mbili ni nne na mbili jumlisha mbili ni nne haina maana kuwa jumlisha na zidisha zina maana sawa.
Kumbe unaelewa hivyo?... sasa inakuwaje katika maandishi yako kila siku unajumlisha na kuzidisha kwa majibu sawa!..
Mkuu kama unavyosema, hapa JF ni kukata issue kwa mbele, tunapotoka hatua fulani tunajenga hoja mpya zinazoendeleza mjadala lakini mwenzetu kila siku unataka kurudi nyuma kama vile FBI sisi wengine uwezo huo hatuna.
Ukimfumania mkeo mkuu jishughulishe na kesi ya fumanizi usitake kujua jamaa alikuwa akifanya nini? mkeo alikuwa vipi (position) na kadhalika...mkuu utazidi kuchanganyikiwa wewe sio mfumaniwa...
Mambo kwa mbele mkuu...
 
Humu kuna watu wanahitaji huduma ya maombezi kutoka kwa mama Lwakatare na Kakobe kwani ........kila sentensi moja kutoka kwake inakuja na vitu vingine mia

Eti kwani wewe jmushi uliwahi ama na au kuugua maradhi ya kichwa? Nami nimeuliza swali tuu.

Je ulitowa USHAURI KUWA CHIFUPA AKAMOMBEWE KWA KAKOBE AMA LWEKATARE KAMA UNAVYOTAKA WAFANYE KWANGU?

AMA AT LEAST KWANINI HUKUTAKA ZITTO AKAOMBEWE NA MKA MPELEKA MUHIMBILI?
Naomba majibu na tuache UNAFIKI!
 
Bunge limefunga rasmi mjadala husika kwa mujibu wa kanuni za bunge hii ni njia ya kumfanya Chenge asiseme?

Kwani kanuni sasa zitakuwa zinambana , pia wamelaumu vyombo vya habari kuwa vilipotosha ukweli juu ya jambo hilo.

Kazi ndio kwanza imeanza kama Mkjj alivyoweza kudokeza kuwa hawa wengine nao wanajipanga kuitisha press conference.

Kwa maoni yangu, kwa uharaka wake wa kuliongea hili jambo, tena kwa minajili ya kutuhuma watu fulani, ndugu yetu Spika Six alijetega mtego akategega na wala hana mtu wa kumlaumu isipokuwa yeye mwenyewe. Sasa wale waliotuhumiwa bila shaka wana haki ya kujitutumua kwa minajili ya kujisafisha mbele ya macho ya wananchi na wapiga kura, hasa tukizingatiwa kuwa hawa ni wanasiasa wanaohitaji support na upendo wa wapiga kura wao, na kwa hili bunge au mtu mwingine yeyote hana ubavu wa kuwaziba midomo.

Kwa maoni yangu pia ni kwamba, kwa wiki hii mafisadi wametupiga bao. Wa kwanza kutupigisha bao ni KKKT kwa kitendo chao cha kumwalika Rostam na kisha kwa unafiki wao wa kumkana. Hawa ni wazandiki na wanatuchezea kama vile sisi ni watoto wadogo. Wa pili ni hawa polisi na report yao.

Verdict: mafisadi 2 sisi 0!
 
Jmushi1,

Kumbe unaelewa hivyo?... sasa inakuwaje katika maandishi yako kila siku unajumlisha na kuzidisha kwa majibu sawa!..
Mkuu kama unavyosema, hapa JF ni kukata issue kwa mbele, tunapotoka hatua fulani tunajenga hoja mpya zinazoendeleza mjadala lakini mwenzetu kila siku unataka kurudi nyuma kama vile FBI sisi wengine uwezo huo hatuna.
Ukimfumania mkeo mkuu jishughulishe na kesi ya fumanizi usitake kujua jamaa alikuwa akifanya nini? mkeo alikuwa vipi (position) na kadhalika...mkuu utazidi kuchanganyikiwa wewe sio mfumaniwa...
Mambo kwa mbele mkuu...

Nilshasema kuwa MCHAWI NA MIMI MBALI MBALI NA SASA NIKO HAPA USA HOPEFULLY HAUVUKI BAHARI.

Mkandara Kila mahali DUNIANI KOTE HATA FBI WENYEWE...MTU ANAHUKUMIWA KWA MOTIVE!

Ndio maana hata kuna kesi za mauwaji ya kukusudia ama kutokukusudia!

Je aliyeweka vumbi/unga bungeni kusudi lake nini?

Wakisema alikuwa anacheza tu ama anatania then waje na sababu za kutu convince hivyo!

Na si kutoa kauli ambazo zinawafanya waonekane ni wasanii na kutufanya kuwa ni WOTE TUMEROGEKA!
 
Hili bunge letu mambo yakiwafika shingoni wanafunga mjadala, basi waongee vitu vya maana kama kuwakamata mafisadi
 
Ndio maana nimeamua kubadili mkakati... adui yako akiwa hatua moja mbele hakikicha unachupa hatua mbili zaidi yake. Mkakati wa kutumia magazeti kujenga hoja kwa wananchi unakabiliwa na hili tatizo na njia pekee naamini ni kwenda nje ya mfumo wa kawaida wa magazeti.

Hata mimi nimetafakari hili jambo sijaona effect yake, lakini mpaka sasa sijajua njia mbadala. Vyombo vyetu vya habari, na hasa magazeti, yameshajifikisha mahala havichukuliwa serious na wananchi, kwa hiyo unaweza ukakuta wakati mwingine unampigia mbuzi kengele! Kuna haja ya kuwafuata hukohuko; hukohuko ni wapi ndio swali la kujibiwa hilo sasa!!
 
JmUshi1,
Haya maneno, ndio maana watu wanasubiri Bunge...
Hata hivyo, signature yako baabu kubwa...Nakukubali
 
Ndio maana nimeamua kubadili mkakati... adui yako akiwa hatua moja mbele hakikicha unachupa hatua mbili zaidi yake. Mkakati wa kutumia magazeti kujenga hoja kwa wananchi unakabiliwa na hili tatizo na njia pekee naamini ni kwenda nje ya mfumo wa kawaida wa magazeti.


Internet surely haiwafikii waTZ wengi ingawa ipo fast kwenye reporting. TV inaweza ikawa vigumu kutokana na gharama na mahali ulipo. Hapa inatuachia nafasi ya chombo kimoja tu unachoweza kutumia ili jumbe zako zikafikia wengi na kwa haraka, i.e. Radio. Is that the direction you are heading to?? Congra if that is the case.
 
Internet surely haiwafikii waTZ wengi ingawa ipo fast kwenye reporting. TV inaweza ikawa vigumu kutokana na gharama na mahali ulipo. Hapa inatuachia nafasi ya chombo kimoja tu unachoweza kutumia ili jumbe zako zikafikia wengi na kwa haraka, i.e. Radio. Is that the direction you are heading to?? Congra if that is the case.

I like your deductions.. but thinking "inatuachia nafasi ya chombo kimoja tu"... you might be wrong.. right track, wrong conclusion.
 
Hata mimi nimetafakari hili jambo sijaona effect yake, lakini mpaka sasa sijajua njia mbadala. Vyombo vyetu vya habari, na hasa magazeti, yameshajifikisha mahala havichukuliwa serious na wananchi, kwa hiyo unaweza ukakuta wakati mwingine unampigia mbuzi kengele! Kuna haja ya kuwafuata hukohuko; hukohuko ni wapi ndio swali la kujibiwa hilo sasa!!

Kitila,

Could it be possible kwamba hata JF sasa inaelekea huko huko. Maanake baada ya kupitia post zingine humu ndani nabaki tu kinywa wazi. Ni kweli kuna mawazo yanatolewa yenye nguvu ya hoja, lakini ukurupukaji unaanza kutawala mijadala na hii inaanza kunitia hofu. Kuna watu ama hawasomi na kuelewa kinachoendelea au kwa makusudi mazima wanaleta upotoshwaji wa mada. Mimi sikushiriki kabisa kwenye mjadala wa sakata la unga bungeni kwa sababu mantiki yake haikuweza kuniingia akilini, la hasha. Lakini wako wengi wasiotambua kuwa kunyamazia jambo usilolielewa kimsingi ni bora kuliko kurukia bila mpangilio halafu unabaki unaonekana ama juha au mwehu.

Kuna hoja zimejificha na inabidi uzisome mara mbili kama wewe ni mzito kiakili kama mimi, kabla hujakurupuka. Ninao rafiki zangu wengi wanaosoma JF na hivi sasa wanasononeka na kiwango cha majadiliano humu ndani. Mambo mazito hayashupaliwi kama ilivyo kwa mambo yasiyo na umuhimu wowote. Ukipitia humu ndani utakuta tulivyo wepesi katika kuchangia mada za ovyo. Hali hii inatisha.
 
Back
Top Bottom