nachindundu
Member
- Aug 6, 2012
- 17
- 17
najua wote tunazipenda LIKE za JF ili kukuza reputation,na kupendezesha profile,sasa naomba kuweka hili wazo mbele ya wanachit-chat kama linafaa,tunafanya kama network marketing,unanigongea LIKE,na mimi ninakugongea,yani kila mtu anampa like mwenzake,at the end of the day unakuwa na likes kibaaao......ni kawazo changu tu cha leo nimeamka nacho,,,,let the show GO ON.......