katika mazingira ambayo wewe hutaki kujadili watu, unachotakiwa kufanya ni kwenda thread nyingine. Kwani kwa maneno yako mwenyewe unataka kujadili watu. Anayejadiliwa ni kiongozi wa umma hao wengine wakiwa viongozi wa umma una uhuru wa kutaka kujua wamefanya nini kama legacy yao.
Vinginevyo itabidi tuishie kujadili miti!
Kila jambo linamipaka si kwa vile ni kiongozi lazima wasifu binafsi wake wa ndani na nje ujadiliwe unakua unaelekea ktk UMBEYA.
Na mtu ukitaka kujadili wasifu binafsi wa mtu kwa swali hilohilo unalotaka kumuuliza ANZA kujiuliza kwanza wewe mwenyewe swali hilo hilo na ukipata jibu lake kutoka kwako mwenyewe ndipo NENDA hatua nyingine zaidi kuhoji ndg yako.