The last day we had good governance in Tanzania, A year ago, 5th november, 2015

We kanafiki tu na ka Uzi kako, yaaani kweli Leo jk unamuanika kuwa ni kiongozi bora bila aibu? Ni bora Mungu awaadhibu maana nyie ni sawa na masheitwani hamnaga soni kabisa,

Rushwa, ubabe wa kifedha, na ukandamizaji wa maskini, na dharau za mafisadi ( rejea vijisenti), sasa umekinga kifua kuchapisha pumba kama hzi, hahaaaa!! Ni mda tena wa kumsafisha jk tena kwa shower jelly!! Kama mzee lowasa mlivyomsafisha!!

Bahati nzuri sinaga muda wa kujibizana na mtu anaekuja kwa lugha isiyo na staha. Lugha ya vijisenti haijaanza leo labda nikukumbushe wakati wa Mkapa tulisikia wananchi ikiwezekana wale nyasi lakini ndege lazima inunuliwe. So hizo ni lugha za kisiasa. Na sisi tuliopo kwenye siasa haitupi shida.
 
Nilikua mmoja wa waliokuwa wanaandika mara kadhaa kuhusu utawala wake lakini aliweka uhuru (democrasia). Ikipatikana hiyo mengine yanaweza kuwa na unafuu. Kama umesoma neno kwa neno unaweza kuelewa zaidi

Tangu Umeandika Haya Nani Amekufunga? Uhuru Bila Utii ni Uwendawazimu. Embu Tufanye Research isiyorasmi tujue wale wanaoikosoa serikali na wakatiwa mbaroni yaani ina maana sisi tuliobaki ndio tunaisifia serikali? Kuna Pahala Tunakuza Mambo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom