The Illuminati is real, and it's everywhere

Inaonekana wewe hujui kitu hapa!!!

kwahiyo wewe unayejua kitu umenufaika na nini ? porojo tupu , eti unasema fulani ni illuminant kisa aliwahi kufiwa na ndugu yake ?!!
nami nauliza nani hajawahi kufiwa ?
 
Mkuu,
Hebu rudi kwenye hoja

Nadhani wewe na timu yako mngeeleweka sana kama mngetolea maelezo hivyo vifo hapo juu,uzuri Nic ameweka na video hapo na ukiangalia hizo video utaona kuna mambo ya kustua

Kama umeamua kuchagua kubisha bila kusema ni kwanini unabisha na kwa ushahidi gani nitakuelewa!
Mkuu Eiyer, sidhani kama ni sahihi kwamba kinapotokea kifo cha kutisha au kushtua tunatakiwa kuhusianisha na mambo yasiyokuwa ya kawaida kama hayo ya freemason na illuminati.

Kwenye maelezo yako yale mengi nimeyapenda, yanavitu ambavyo vinafikirisha kwa kweli, binafsi ninaamini ni coincidence tu,

Hii dunia mkuu ina watu wengi wengi akili nyingi mno, wanaweza wakakuunganishia matukio hadi ukaona ni ukweli,

Lakini mwanafalsafa wa kale Aristotle, anaueleza ukweli kwa namuna tofauti, Yeye anasema ukweli ukichanganya na uongo, unapata uongo, na pia uongo ukichanganya na ukweli, unapata uongo vilevile, hii haijalishi hata kama uongo ni kidogo na ukweli ni mwingi, ukichanganya tu, unapata uwongo. ni sawa na sumu uchanganye na chakula, unapata sumu.

Inawezekana ni kweli kuna hivi vitu vinavyoitwa freemason au illuminati, lakini vimetiwa chumvi na kupambiwa uongo mwingi kiasi kwamba habari nzima ishakuwa uwongo.

Aristotle anaendelea kuelezea ukweli, kwa kimombo anasema Truth is agreement with facts and reality.

Ndio maana Kiranga ameshangaa baada ya Nicholas kudai kuwa familia ya Jackson walimtoa kafara Michael Jackson eti ili kupata utajiri, unaweza kuona hakuna agreement ya facts and reality hapo.

Ule mfano wako wa ile miaka mia moja mia moja, kwamba Licoln alinanii sijui miaka mia moja akaja tena Kennedy nae miaka mia moja, nayo inaweza kuwa coincidence,

Chukulia mfano, Yesu alifunga siku 40, Mvua ilinyesha kipindi kile cha safina ya Nuhu siku 40,wana wa Israel walikaa sijui jangwani miaka 40, Wanasema hata za mwizi nazo ni 40. Mtu mjanjamjanja anaweza akashawishi watu kwamba kuna ufreemason hapo na watu wakamuamini.

Labda nikuchekeshe kidogo mkuu, Mimi nimezaliwa July 6, Hii ni siku ambayo amezaliwa Rais George W. Bush pamoja na mwanamziki 50 cent, mbele ya safari, kwa sababu tu ya coincidence ya tarehe ya kuzaliwa naweza kuambiwa mimi ni freemason.

Kuna mwingine nilimkuta amejaza watu akiwahubiria habari ya freemason, nilimsikia akisema kuwa hata shirika la fedha la kimataifa IMF eti nalo ni freemason, Uthibitisho anaoutoa ni kwamba ukigeza herufi IMF unapata FMI, eti FreeMason International.

Kwa hiyo mkuu kwangu mimi story hizi ni abraakabra.
 
..hawana hofu ya Mwenyezi Mungu hawa!!!inasikitisha sana aisee!!!
The Illuminati is real, and it's everywhere.


SOURCE: The Illuminati is real, and it's everywhere., Illuminati blood sacrifices & solstice sacrifices:
Illuminati blood sacrifices & solstice sacrifices:

To become the wealthiest ($20 million+ club) for a higher position and royalty from the elite, you need to make a human (blood sacrifice). Watch this video. The Illuminati have also sacrificed many celebrities as a human (solstice sacrifice). Watch this video.
BLOOD SACRIFICES FOR $ & FAME: PART 1, PART 2.

  1. Kanye West - his mom.
  2. Nas - his mom.
  3. Andre 3000 - his mom.
  4. Bruno Mars - his mom.
  5. Jay-Z - his nephew.
  6. Damon Dash - Aahliyah
  7. James Prince - Pimp C.
  8. T.I - his cousin, Dolla, friend.
  9. Suge Knight - Tupac
  10. Diddy - Biggie Smalls
  11. Ludacris - Camouflage
  12. Lady Gaga - Lina Morgana
  13. Nicki Minaj - her cousin.
  14. Bruce Springsteen - his cousin.
  15. The Game - Billboard
  16. Eminem - Proof.
  17. 50 Cent - Jam Master Jay
  18. Dr. Dre - Nate Dogg, his son.
  19. Drake - his uncle.
  20. Krayzie Bone - Tombstone
  21. KRS-One - Scott La'Rock
  22. Dizzee Rascal - his ex girlfriend.
  23. Keanu Reeves - his ex girlfriend.
  24. Ashton Kutcher - his ex girlfriend.
  25. Megan Fox - her ex boyfriend.
  26. Meryl Streep - her ex boyfriend.
  27. Alicia Keys - her friend.
  28. Akon - his friend.
  29. Lebron James - his friend.
  30. Heidi Montag - Dr. Ryan
  31. Bill Cosby - his son.
  32. Lamar Odom - his son, cousin.
  33. Matt Bryant - his son.
  34. John Travolta - his son.
  35. Eddie Levert - his son.
  36. John Travolta- his son.
  37. Marie Osmond - her son.
  38. Eric Clapton - his son.
  39. Robert Plant - his son.
  40. Prince - his son, his father.
  41. Tracy Martin - his son.
  42. Anna Nicole Smith - her son.
  43. Taraji Henson - her son's father.
  44. Obama - his grandmother.
  45. Jamie Foxx - his grandmother.
  46. The Rolling Stones - Brian Jones
  47. Mary-Kate Olsen - Health Ledger.
  48. Brandy Norwood - Whitney Houston.
  49. Jennifer Hudson - whole family.
  50. Lil Wayne - his father and Static Major.
  51. Tiger Woods - his father.
  52. Cristiano Ronaldo - his father.
  53. Charice - her father.
  54. Pitbull - his father.
  55. Usher - his father, his stepson.
  56. Wyclef Jean - his father.
  57. Michael Jordon - his father.
  58. N-Dubz - Father/Uncle/Manager.
  59. Mike Tyson - his daughter.
  60. Duane Chapman - his daughter.
  61. Mark Jackson - Gilani Taylor/her daughter
  62. Liam Neeson - wife.
  63. Cam'ron - Big L
  64. Jim Jones - Stack Bundles
  65. Queen Latifah - her brother.
  66. Joseph Gordon-Levitt - his brother.
  67. Soulja Boy - his brother.
  68. Mark Ruffalo - his brother.
  69. Jermain Defoe - his brother.
  70. Chief Keef - his stepbrother.
  71. Venus/Serena Williams - their sister.
  72. Aaron/Nick Carter - their sister.
  73. Macaulay Culkin - his sister.
  74. Jackson Family - Michael Jackson
  75. Kardashian Family - Robert Kardashian
  76. Jesse Jackson - Martin Luther King Jr.
  77. Louis Farrakhan - Malcolm X
  78. Michael Brea - his mother.
SOLSTICE SACRFICIES: PART 1, PART 2

  • Ryan Dunn died age 34 (7), June 21st, 2011, 3 A.M. (6+2+1=9; 9+2+0+1+1=13)
  • Johnny Cash & John Ritter (September 11, 12, 2011)
  • {Alexander McQueen died 2/11/10, 9 days after his mother died.
  • Whitney Elizabeth Houston died 2/11/12. (2+1+1+2+0+1+2=9) 3 days before Valentine's day.}
  • Bob Marley died age 36 (9), May 11th, 1981.
  • Abraham Lincoln died age 56 (11).
  • Adolf Hitler died age 56 (11).
  • Steve Jobs died age 56 (11).
  • Walt Disney died age 65 (11), 12/15/1966. (1+2+1+5=9)
  • Thomas Jefferson died age 83 (11), July 4, 1826. (7+4=11)
  • Roald Dahl died age 74 (11), 11/23/1990. (1+1+2+3=7)
  • Mark Twain died age 74 (11), 4/21/1910. (4+2+1=7)
  • Judy Garland died age 47 (11), 6/22/1969, the day after Summer Solstice.
  • April Kauffman died age 47 (11), 5/10/2012. (5+1+0+2+0+1+2=11)
  • Adam Yauch died age 47 (11), May 4th, 2012 (5+4=9)
  • Rodney King died age 47 (11), 3:30 P.M.
  • Corey Haim died age 38 (11), 3/10/10 (3+1+2+0+1+0=7)
  • John Kennedy Jr. died age 38 (11), 7/16(7)/1999.
  • Robert F. Kennedy died age 42 (6), 6/6/1968. (666)
  • Mary Kennedy died age 52 (7), May 16(7)th, 2012.
  • Kara Kennedy died 9/16(7)/2011.
  • Christopher Jordan (river) Dorner died age 33, 2/12/13. (2+1+3+2+1+3=11; 1 day before Ash Wednesday)
  • Reeva (water) Steenkamp (river stone) died on Valentines day, 2013.
  • Malachi Throne died 3/13/13, the same day the 112th pope was elected. (Peter the Roman according to St. Malachy's prophecy of the popes; 3+1+3+2+1+3=13)
  • Jack Greene died age 83 (11), 3/15/13 (3+1+5=9)
  • Jonathan Winters died 4/11/13.
  • Deanna Durbin died age 91, 4/30/13 (4+3=7; 7+2+1+3=13)
  • Michael Hastings died age 33, 6/18(9)/13 (6/9/6-666), 4:30 A.M (4+3=7), in a 'fiery car crash'. Mercedes-Benz C250
  • James Gandolfini died age 51, 6/19/13 (6+1+9=16=7; 7+2+1+3=13)
  • Sarah Guyard-Guillot died on 6/29(11)/13.
  • Esther Williams died age 91, 6/6/13 (2+1+3=6; 666)
  • Cory Monteith died age 31 (13 mirrored), 7/13/13/ (7+1+3=11)
  • Gia Allemand died age 29 (11), 8/14/13 (8+1+4=13)
  • Robin Kelly died age 43 (7), 8/14/13 (8+1+4=13)
  • Lee Thompson died age 29 (11), 8/19/13 (8+1+9=9)
  • Elmer Pratt died age 63 (9), 6/2/11.
  • Christopher Shale died age 69, June 26th, 2011. (4 days after Summer Solstice)
  • John M. Couric died age 90 (9) June 22nd, 2011.
  • Maurice Sendak died age 83 (11), 5/8/12 (5+8=13; 13+2+0+1+2=9)
  • George Lindsey died age 83 (11), 5/6/12 (5+6=11)
  • Michael Hossack died age 65 (11), 3/12/2012 (3+1+2+2+0+1+2=11)
  • James Ellis died age 74 (11), 3/7/2012.
  • Fred Rogers died age 74 (11), 2/27(9)/2003 (2+7+2=11)
  • Marie Colvin died age 56 (11), February 22nd, 2012. (2+2+2+2+0+1+2=11)
  • Major Harris died age 65 (11), 11/9/12
  • Jonathan Frid died Friday the 13th, April, 2012. (4+1+3+2+0+1+2=13)
  • Junior Seau died age 43 (7), May 2nd, 2012. (5+2=7)
  • Andrew Breitbart died age 43 (7), March 1st, 2012. (3+1+2+0+1+2=9)
  • Mike Wallace died 4/7/2012. (4+7=11; 11+2+0+1+2=7)
  • Robin Gibbs died 5/20/2012. (5+2+0=7; Solar Eclipse)
  • Vesta Williams died 9/22/11. (9+2+2=13; 13=4; 2+0+1+1=4; 4+4=8; age 53=8)
  • Steve Bridges and Ronnie Montrose died 3/3/2012 (3+3+2+0+1+2=11)
  • Dick Beals, age 85 (13) and Doc Watson died, May 29(11)th, 2012. (5+2+9=16; 16=7)
  • Albert Einstein died age 76 (13), April 18 (9), 1955. (4+1+8=13)
  • Leonardo da Vinci died age 67 (13), May 2, 1519. (5+2=7)
  • George Washington died age 67 (13).
  • Woodrow Wilson died age 67 (13).
  • Hugo Chávez died age 58 (13).
  • Anton LaVey died age 67 (13), October 29(11)th, 1997.
  • Charles Sellier died age 67 (13), January 31, 2011 (Last day, 1+3+1+2+0+1+1=9)
  • Ralph MacDonald died age 67 (13), December 18th, 2011. (1+8=9)
  • Boris Berezovsky died age 67 (13).
  • Richard D. Zanuck died age 77, July 13th, 2012. (7+1+3=11)
  • Sage Stallone died age 36 (9), July 13th, 2012.
  • Alex Okrent died age 29 (11), July 13th, 2012.
  • Dick Clark died 4/18(9)/12 (4+1+8=13; 13+2+0+1+2=18; 18=9)
  • Davy Jones died age 66, 2/29(11)/2012. (2+2+9+2+0+1+2=18; 18=9)
  • Bob Welch died age 66, 6/7/2012. (6+7=13)
  • Wild Man Fische died age 66, 6/15(6)/11 (6+6+2+0+1+1=16; 16=7)
  • Joey Kovar died age 29 (11), 8/17/2012. (8+8=7)
  • John Adams died age 90, July 4th, 1826. (7+4=11)
  • Franklin D. Roosevelt died age 63 (9), April 12th, 1945. (4+1+2=7)
  • Kathryn Joosten died age 72 (9), 6/1/2012. (6+1=7)
  • Donna Summer died age 63 (9), 5/17/2012. (5+1+7=13)
  • Joe Bodolai died age 63 (9), 12/28/11 (1+2+2+8=13)
  • Peter Jones died age 45 (9), 5/18(9)/2012.
  • Elaine Stewart died age 81 (9), 6/27/11 (2+7=9)
  • Howard Zieff died age 81. (9)
  • Carl Gardner died age 83 (11) and Laura Ziskin died age 61 (7), 6/12/11 (6+1+2=9; 9+2+0+1+1=13)
  • Peter Falk died age 83 (11), 6/23/11 (6+2+3=11; 11/11)
  • Robert Quarry died age 83. (11)
  • Chris Lighty died 8/30/12. (8+3=11; 8+3+2+1+2=7)
  • Leonard Stern died age 88 (7), 6/7/11 (6+7=13)
  • James Arness died age 88 (7) and Jack Kevorkian died age 83 (11), 6/3/11. (6+3=9; 9+2+0+1+1=13)
  • Earl Scruggs died age 88 (7), March 28, 2012 (2+8+3=13; 13+2+0+1+2=18; 18=9)
  • Maria Montez died September 7th, 1951.
  • Johnny Otis died age 90 (9) January 17th, 2012 (1+1+7=9)
  • Wilma Cooper died age 90 (9), September 13[SUP]th[/SUP] , 2011.
  • Claiborne Pell died age 90 (9), January 1st, 2009. (1+1+2+0+0+9=13)
  • Jack Klugman died age 90 (9), 12/24/12. (1+2+2+4=9)
  • Jeff Conaway died age 60, May 27(9)th, 2011 (5+9+2+0+1+1=18; 18=9)
  • Natina Reed died age 32, October 27(9)th, 2012.
  • Mario Poffo died 58 (13), May 20th, 2011 (5+2=7; 7+2+0+1+1=11)
  • Mia Davis died age 36 (9), May 10th, 2011.
  • Cornell Dupree died age 69, May 8th, 2011 (5+8=13)
  • Sada Thompson died age 83 (11), 5/4/11 (5+4=9; 9+2+0+1+1=13)
  • Douglas Adams died age 49 (13), 5/11/2001.
  • Steve Ballesteros died age 54 (9) and John Walker died age 67 (13), May 7th, 2011 (5+7=12; 12+2+0+1+1=16; 16=7)
  • David Peaston died age 54 (9).
  • M-Bone died age 22, 5/15/11 (5+1+5=11; 11/11=22; 11 P.M; 11/11/11)
  • Clarence Clemons died 6/18(9)(6/9=69)/11, 69 years old. (3 days before Summer Solstice)
  • Farley Granger died age 85 (13), March 27(9)[SUP]th[/SUP] , 2011 (3+9+2+0+1+1=16; 16=7)
  • Ferlin Husky died age 85 (13) and Michael Gough died age 94 (13) March 17th, 2011. (3+1+7=11)
  • Alan Sues died age 85 (13), 12/1/2011. (12+1=13)
  • Nathaniel Dwayne died March 15th, 2011 (3+1+5=9; 9+2+0+1+1=13)
  • Hugh Martin died age 96, March 11th, 11 (3+1+1=5; 5+2+0+1+1=9)
  • Mike Starr died age 44 (8), March 8th, 2011. (3+8=11; 8+8=16; 16=7)
  • Mike DeStefano died age 44, March 6th, 2011. (3+6=9; 9+2+0+1+1=13)
  • Charles Jarrott died age 83 (11), March 4th, 2011. (3+4=7; 7+2+0+1+1=11)
  • Clare Fischer died age 83 (11), January 26th, 2012. (1+2+6=9)
  • John Getty III died age 54 (9), February 5nd, 2011. (2+5=7; 7+2+0+1+1=11)
  • Tura Satana died age 72 (9), February 4th, 2011.
  • Snooks Eaglin died age 72 (9), February 18th, 2011. (1+8=9; 2+9=11)
  • Johnny Palermo died age 27. (9)
  • Robert Dickey died age 72 (9), December 29th, 2011, (2+9=11)
  • Marie Schneider died age 58 (13), February 3rd, 2011. (2+3+2+0+1+1=9)
  • David Nelson died age 74 (11), January 11th, 2011. (1+11=13; 1+1+1+2+0+1+1=7)
  • John Dye died age 47 (11), January 10th, 2011 (1/10=11)
  • Alex Kirst died age 47 (11), January 13th, 2011. (1+1+3+2+0+1+1=9)
  • Peter Yates died age 81 (9), January 9th, 2011.
  • Gerry Rafferty died age 63 (9), January 4th, 2011. (1+4+2+0+1+1=9)
  • Charlie Callas died age 83 (11), January 27(9)th, 2011.
  • Gladys Horton died age 66 and Charlie Louvin age 83 (11), January 26th, 2011. (1+2+6=9; 9+2+0+1+1=13)
  • G.D Spradlin died age 90 (9), Dan Peek age 60 (6), Chip Mayer age 57 (3); July 24th, 2011 (7+2+4=13)
  • Aaron Swartz died January 11th, 2013. (1+1+1+2+1+3=9)
  • Tom Aldredge died age 83 (11) July 22nd, 2011 (7+2+2=11)
  • Gene McDaniels died (7/29(11)/11), age 76 (13)
  • Rob Grill age 67 (13) died July 11th, 2011 (7+1+1=9; 9+2+0+0+1=13)
  • Michael Burston died age 61 (7) July (7) 9th, 2011.
  • Sarah Burke died age 29 (11) years old, 9 days after an accident on 1/19/2012 (1+1+9=11).
  • Bobby Farrell died age 61 (7), December 30th, 2010 (12+3+0+2+0+1+0=18; 18=9)
  • James McLamore died age 70 , August 9th, 1996.
  • Teena Marie died age 54 (9), December 26th, 2010 (12=3; 26=8; 3+8=11)
  • Steve Landesberg died age 74 (11), December 20th, 2010.
  • Stephen Gately died 10/10/09 (101=11; 2+0+0+9=11; 1+0+1+0=2; 2+11;13)
  • Selena died March 31st(Last day), 1995. (7 days after Vernal Equinox)
  • Princess Diana August 31st(Last day), 1997, age 36 (9).
  • Marilyn Monroe died August 5th, 1962 age 36 (9). (8+5=13)
  • Audrey Hepburn died age 63 (9).
  • Leslie Carter died age 25.
  • Tupac Shakur died at 25 years old, September 13th, 1996. (9+4=13; 1+9+9+6=25)
  • Biggie died at 25 years old, March 9th, 1997. (3+9+1+9+9+7=38; 38=11)
  • Big L died at 25 years old, February 15(6)th, 1999. (2+1+5+1+9+9+9+9=36; 36=9)
  • Alori Joh died age 25, 2/7/2012. (2+7=9)
  • London bombings - 7/7/2005(2+5=7; 777; 7 explosions, 52 people killed=7) London Underground Bombing ‘Drill' Took Place at Same Time as Real Attack
  • Ted Kennedy died age 77, August 25(7)th, 2009. (777)
  • Poly Styrene died April 25[SUP]th[/SUP] , 2011. (4+2+5=11)
  • Jeret Peterson died age 29 (11), July 25[SUP]th[/SUP] , 2011 (2+5=7; 7/7; 2+0+1+1=4; 7+7+4=18; 18=9)
  • Neil Armstrong died on August 25th, 2012.
  • Paul Wellstone died on October 25th, 2002.
  • Richard Harris died age 72 (9), October 25th, 2002.
  • Bud Greenspan died on December 25th, 2010.
  • Farrah Fawcett died on June 25[SUP]th[/SUP], 2009.
  • Sky Saxon died on June 25[SUP]th[/SUP], 2009, age 63 (9).
  • Michael Jackson died on June 25[SUP]th[/SUP], 2009. (3 days after Summer Solstice)
  • James Brown died on December 25[SUP]th[/SUP], 2006. (3 days after Winter Solstice)
  • Dean Martin died on December 25[SUP]th[/SUP], 1995.
  • Ann Savage died on December 25th , 2008.
  • Eartha Mae Kitt died on December 25[SUP]th[/SUP], 2008.
  • Lark Previn died on December 25th, 2008.
  • Muslim Magomaev died on December 25th, 2008.
  • JonBenét Ramsey died on December 25th, 1996.
  • Bradley Nowell died on May 25th, 1996.
  • Estelle Reiner died on October 25th, 2008.
  • Johnny Griffin died on July 25th, 2008.
  • Exodus Tyson died on May 25[SUP]th[/SUP], 2009.
  • Lisa (Left Eye) Lopes died on April 25[SUP]th[/SUP], 2002.
  • Roger Troutman died on April 25[SUP]th[/SUP] , 1999.
  • Stephen Knight died on July 25th,1985.
  • Flip Wilson died on November 25[SUP]th[/SUP] , 1998.
  • Red Holloway died on February 25[SUP]th[/SUP] , 2012.
  • Aaliyah Haughton died on August 25[SUP]th[/SUP], 2001.
  • Static Major died on February 25[SUP]th[/SUP], 2008.
  • Ol' Dirty Bastard died November 13[SUP]th[/SUP] , 2004 (11=2; 13=4; 2+4=6; 2004=6)
  • Big Pun died February 7th, 2000 (2+7=9; 9+2=11)
  • Buffy died December 10th, 1995 (12+1=13)
  • Eazy-E died March 26th, 1995 (3+2+6=11)
  • River Phoenix (Halloween Sacrifice nights 1993)
  • Mitch Lucker (Halloween 2012; 2013 car hits a light pole near the intersection with 13th Street)
  • Hurricane Sandy surfer hero died at sea, age 23.
  • Nurse who cared for Aurora Dark Knight Rises shooting victims, drowned age 46; 8/6/12 (8+6=13; 8+6+2+0+1+2=9)
  • Nurse found hanged after Royal hoax call age 46; 12/7/12
  • Kimani Gray was shot age 16 (7), March 9th, 2013. (11 P.M)
  • Girl who performed at Obama inaugural events slain on 4500 (9) block, January 29(11)th, 2013. (1+2+9+2+1+3=9)
  • New York Nanny (Goat) sacrifices children Lucia (Light;Lucifer) and Leo (Lion;Satan) born from parents Kevin (Birth) and Marina (From the Sea) Krim in a bathtub while the second born child, Nessie (Lochness monster;Beast) was being given swimming lessons on October 25th, 2012, 11 days before the presidential election.
  • Elzbieta (God's oath) kills children Justin (Righteous) and Olivia (Olive;Mount of of Olives) before driving up to a Catholic church on Oct. 30th, 2012.
  • Jeffrey (peace;division) Bush (firewood for Baal-hanan) died age 36 (9), 2/28/2013 on Faithway St. after his bedroom floor gave way in Florida (flowering Easter; palm Sunday), last day in February before Obama (Antichrist) mocks Jesus entering Jerusalem in March with his visit called ‘a covenant of peoples', a reference to the 7 year peace treaty dividing the land of Jacob/Israel. (28 days in a Lunar month; last day; 11 P.M. 2+2+8+2+1+3=9; He lived with his girlfriend, Rachel (female sheep; the wife of Jacob/Israel) Wicker (to give way) and their daughter, Hannah (Baal-hanan: Baal is gracious). His brother brought a stuffed sheep. "The whole house could collapse any moment." - ABC; house: a family line of ancestors and descendants (house of Jacob/Israel), "For when they shall say, peace and safety; then sudden destruction cometh upon them, and they shall not escape." - 1 Thessalonians 5:3)
  • Shain (God is gracious) Gandee (lamb of God), David (king of men), and Donald (world ruler) died after being last seen around 3 A.M. (devil's hour) in a 1984 (Big Brother) Bronco (horse).
  • Limo (hell) Fire Killed 5 Women, Including New Bride on the San Mateo (Saint Matthew) bridge in San Francisco (Saint Francis/Pope Francis), 5/4/13 (5+4=9), 10 P.M. May is the Month of the Virgin Mary. The bride and the bridal party were on a toll (penalty) road in Foster (to nurture/cherish) City on the way to the Crowne (crown) Plaza (courtyard; place of worship) hotel to meet the bridegroom to celebrate. The driver and four members of the bachelorette party (5) escaped. "The kingdom of heaven will be like 10 virgins who took their lamps and went out to meet the bridegroom. 5 of the virgins were foolish, & 5 were wise. The foolish ones said to the wise, ‘Give us some of your oil, because our lamps are going out. No,' they replied. The bridegroom (Jesus) arrived, and those who were ready went inside with him to the wedding banquet. Then the door was shut." - Matthew 25:1-13; Most if not all the passengers were nurses originally from the Philippines (Philos one of the bridegroom's friends); "I was sick and you did not look after me. Then they will go away to eternal punishment." - Matthew 25:43-46; Beltane: a Pagan/Pre-Christian Fire Festival
  • Natalie Wood died 11/29(11)/1981.
  • David Carradine died age 72 (9), 6/3/2009 (6+3=9)
  • Brittany Murphy died December 20[SUP]th[/SUP], 2009. (1 day after Winter Solstice)
  • John Lennon died 12/8/1980. (1+2+8=11)
  • George Harrison died age 58 (13), 11/29/2001. (2+9=11)
  • Billy Grammer died age 85 (13) August 10th, 2011 (8+1=9; 2+0+1+1=4; 9+4=13)
  • Jenni Rivera died age 43 (7), among 7 people on the Learjet 25 (7), December 9th, 2012.
  • Hollywood Stunt Pilot Crashes Aircraft, 11 dead and 58 injured (11/13) (9/26/11)
  • Stage collapses at Indiana State Fair before Sugarland concert, 7 dead and 40 injured (7+4=11) 7th person died August, Sunday (7) 21st. 2011 (2+1=3; 8+3=11)
  • The Costa Concordia (CC=33) in ‘chaos' after crashing on January 13th, 2012.
  • Asiana Airlines (AA=11) OZ Flight 214 (2+1+4=7), a Boeing 777 crashed, while landing on runway 28L at San Francisco International Airport killing 2 people age 16 (7), on 7/6/13 (7+6=13) with 16 (7) crew members, 61 (7) Americans, 77 South Koreans, and 141 Chinese/1 Japenese (1+4+1+1=7) on board.
  • Jimmy Leeward and James Kent "Jimmy" Leeward died September 16 (7) th, 2011 (9/16/11; 1+6=7; 9+7=16; 16=7; 2+0+1+1=4; 7+4=11)
  • David Carradine found dead hanging with hands tied above his head in Thailand, age 72 (9), 6/3/2009. (6+3=9)
  • Paul Milford Muller found dead with a rope tied around his neck and crotch in Thailand, age 76 (13), 5/25/2013.
  • Bruce Lee died age 32, 7/20/1973. (7+2=9)
  • Brandon Lee died age 28, 3/31/1993. (3+3+1=7)
  • Willie Smith died September 16, 2011 ^
  • Frances Bay died age 92 (11), September 15th, 2011.
  • David Edwards died August 29(11)th, 2011, 3 A.M.
  • Russell Armstrong died age 47 (11) August 15th, 2011 (8+1+5=14; 14=5; 2+0+1+1=4; 5+4=9)
  • Jani Lane died age 47 (11) August 11th, 2011.
  • Alex Kirst died age 47 (11), January 13th, 2011. (1+1+3+2+0+1+1=9)
  • Jay Bennett died age 45 (9), 5/6/2009. (5+6=11; 2+9=11)
  • John F. Kennedy died 11/22/1963 (Sacrificed 11+22=33 Masonic #)
  • Heath Ledger died age 28, 1/22/2008 3:30 (33) P.M (1+22+2+8=33 Masonic #) (28 days in a Lunar month)
  • Rik Clay died age 26 (8), 8/28/2008. (8+2+8=18; 18=9) (28 days in a Lunar month)
  • DJ AM died age 36 (9), 8/28/2009. (28 days in a Lunar month; 8+2+8=18; 18=9 ; 2+0+0+9=11)
  • Jeff Buckley drowned in Wolf river 5/29(11)/1997.
  • Paul Newman died age 83 (11), September 26(8), 2008.
  • Charlton Heston died age 83 (11), April 5th, 2008. (4+5=9)
  • Robert Mulligan died age 83 (11), 12/20/2008.
  • Ellie Nesler died age 56 (11), 12/26/2008. (1+2+2+6=11)
  • Dennis Yost died age 65 (11), 12/7/2008.
  • Merl Saunders died age 47 (11), 10/24/2008. (1+2+4=7)
  • Van Johnson died age 92 (11), 12/12/2008.
  • Harvey Korman died age 81 (9), May 29(11)th, 2008.
  • Jo Stafford died age 90, 7/16(7)/2008.
  • Fredric J. Baur died age 90, 5/4/2008. (5+4=9)
  • Alexander Courage died 5/15/2008. (5+5+1=11)
  • Dick Martin died 5/24/2008. (5+2+4=11)
  • Stanley Kubrick died age 70, March 7th, 1999.
  • Freddie Hubbard died age 70, December 29(11), 2008.
  • Robert Graham died age 70, December 27(9)th, 2008.
  • John Phillip Law died age 70, 5/13/2008. (5+1+3=9)
  • Pervis Jackson died age 70, 8/18(9)/2008.
  • Alton Ellis died age 70, 10/10/2008.
  • Paul Benedict died age 70, December 1st, 2008. (12+1=13)
  • Suzanne Pleshette age 70 and Bobby Fischer died 1/17/2008. (1+1+7=9)
  • Georgia Frontiere died 1/18(9)/2008.
  • Eddy Arnold died 5/8/2008. (5+8=13)
  • Majel Roddenberry age 76 (13) and Mark Felt died 12/18(9)/2008.
  • Dee Dee Warwick died age 63 (9), 10/18(9)/2008.
  • Edie Adams died age 81 (9), 10/15/2008. (1+1+5=7)
  • Charlie Walker died age 81 (9), 11/12/2008.
  • Jo Stafford died age 90, 7/16(7)/2008.
  • Charles Joffe died 7/9/2008.
  • Frank Rosenthal died October 13th, 2008.
  • Bettie Page died age 85 (13), December 11th, 2008.
  • Ray Ellis died age 85 (13). October 27(11)th, 2008.
  • Dalai Lama and Bill Melendez died 11/2/2008. (11+2=13)
  • Dakota Culkin died age 29 (11), 12/10/2008. (12+1+0=13)
  • Tim Russert died age 85 (13), June 13th, 2008.
  • Robert Prosky died age 77, 12/8/2008. (1+2+8=11)
  • Charlie Jones died age 77, 6/12/2008. (6+1+2=9)
  • Sir Edmund Percival Hillary and Carl Karcher died 1/11/2008.
  • Johnny Grant died 1/9/2008.
  • Paula Goodspeed died 11/11/2008.
  • Gordon Hinckley died 1/27(9)/2008.
  • Charlton Heston died age 83 (11), 4/5/2008. (4+5=9)
  • Gary Gygax died 5/4/2008. (5+4=9)
  • Jese Helms and Evelyn Keyes died 7/4/2008. (7+4=11)
  • Richard William Wright died age 65 (11), 11/15/2008.
  • House Peters Jr. died age 92 (11), and Nick Reynolds died 10/1/2008.
  • Larry Harmon died age 83 (11), July 3, 2008.
  • Annette Charles died age 63 (9) and Bubba Smith died age 66; August 3rd, 2011 (8+3=11)
  • Erik Darling died age 74 (11), 8/3/2008. (8+3=11)
  • Youssef Chahine died 7/27(9)/2008.
  • Christie Allen died 8/12/2008. (8+1+2=11)
  • Sandy Allen died 8/13/2008.
  • Terence Rigby died 8/11/2008.
  • Isaac Hayes age 65 (11) and Howard G Minsky age 94 (13) died 8/10/2008. (8+1+0=9)
  • Bernie Mac died age 49 (13), 8/9/2008.
  • Eileen Herlie died age 90 (9), 10/8/2008. (1+0+8=9)
  • Gil Scott-Heron died May 27(9)th, 2011.
  • Waco fertilizer plant explosion: 4/17/13; 1 day after another Fertilizer explosion in Texas, 1947; 15 dead; Emergency Prepardness ‘Drill' Planned On Same Date As The Explosion Fertilizer Plant Texas Took Place
  • The Reichstag Fire: February 27(9)th, 1933 (2+2+7=11;9/11)
  • September 11th, 2001: (9/11; 9+1+1=11); NORAD Terror ‘Drill' On Same Time/Day As Sept.11
  • Boston Marathon Bombing: 4/15/13; Patriot's day; Dzhokhar pronounced like Joker who became a U.S. citizen on 9/11 and Tamerlan (iron from Persian; ‘Timur the lame' who was a Muslim called the sword of Islam) Tsarnaev (Ceasar, a person with powers) supposedly killed 3 people near the finish line on 666 Boylston St. at the 117(1+1+7=9)th Boston marathon (Pheidippides, a Greek messenger from the Battle of Marathon to announce victory over the Persians/Iran) The suspects were at the 7-Eleven. (7/11;Sept.11); License plate: "116…The Spirit of America" 116/911 mirrored; "The Jokers are Spirit, they can take any form they need to and they can do what they want to do." Boston Marathon Bombers Predawn Manhunt; 3 bombs, the very first Nuclear bomb was called Trinity. Dzhokhar/Joker the Chechen from the Dark Knight; Boston Bomb Squad ‘Drill' On Same Time/Place/Day As Marathon Blasts
  • Navy Yard Shooting: 9/16(7)/13 (9+1+6=16;16=7) Aaron Alexis (11) who was 34 (7) years old, killed 12 people.
  • Sandy Hook Shooting: 12/14/12 (3+5+5=13); Adam (red man) Lanza (light spear) killed 27 people (9) including the principle named Dawn at Sandy (sand of the sea) Hook (a fish hook) elementary school in Newtown (logo is a rooster=dawn); "And I stood upon the sand of the sea, and saw a beast rise up out of the sea." - Revelation 13:1 (14); Sandy Hook reference in The Dark Knight Rises; Active Shooter ‘Drill' Same Time/Day as Sandy Hook Shootings
  • 'Dark Knight Rises' Shooting: 7/20/2012 (7+2+0=9; 12 people killed; 3 people age 27 died, 27=9; James Holmes born on 12/13/1987. "People of Aurora known as the sunrise of Colorado, that's what they call this place." - ABC; "The night is darkest just before the dawn. And I promise you, the dawn is coming." - The Dark Knight; Aurora=dawn; The Dark Knight Rises midnight premiere); Century 16: 116/911 mirrored; James Holmes as the Joker; Colorado University Had Identical ‘Drill' On Same Day As ‘Batman' Massacre
  • Clackamas Town Center Shooting: 12/11/12; "Families were trapped near familiar places, names like Macy's and Olive Garden"; 3:30 p.m; 2 people with symbolic names killed ages 45 (9) and 54 (9); 10 days before winter solstice
  • Wisconsin Sikh temple shooting: 8/5/2012 (8+5=13; 7 people killed; Wade Page born on 11/11/197, in Colorado; part of the Golden Dawn)
  • Columbine Shooting: 4/20/1999 (4+2+0=6; 110 days after Hitler's birthday; Eric Harris born on 4/9/1981 and Dylan Klebold born on 9/11/1981.12 people killed; Colorado)
  • Tuscan Shooting: 1/8/2011 (1+8=9; 6 people killed; 9 year old born on 9-11 died)
  • George Reeves died age 45 (9), 6/16(7)/1959. (6+7=13)
  • Christopher Reeve died age 52 (7), 10/10/2004.
  • Dana Reeve died 3/6/2006. (3+6=9)
  • Lloyd Phillips died age 63 (9), 1/28/2013. (1+2+8=11)
  • Richard Pryor died age 65 (11), 12/10/2005. (12+1+0=13)
  • Ray A. Kroc died age 81 (9).
  • Colonel Sander died age 90.
  • Anthony Quinn died age 6/3/2001. (6+3=9)
  • Fontella Bass died age 72 (9), 12/26/12. (1+2+2+6=11)
  • Rick Huxley died age 72 (9), 2/11/13.
  • Aleister Crowley died age 72 (9), 12/1/1947. (12+1=13)
  • Kurt Cobain died age 27 (9), 4/5/1994. (4+5=9)
  • Jimi Hendrix died age 27 (9), 9/18(9)/1970.
  • Dash Snow died age 27 (9), 7/13/2009.
  • 27 Club (9): Amy Winehouse, Kurt Cobain, Jim Morrison, Janis Joplin, etc.
  • Age 33: Masonic degree
  • The Illuminati's signature & occult number
 
..hawana hofu ya Mwenyezi Mungu hawa!!!inasikitisha sana aisee!!!

Sidhani km hata wanaihtaji hofu yake..si unajua kwao wanamwona km tunavyomuona mungu kuwa ni Shetani....ni km kusema kuwa akina Ritz wamhofie Mungu waache kebehi kwa Yesu, na Wakristu.
 
Huyo #9 Suge Knight sasa hivi hata Ali Kiba kampita kwa hela maana yupo BankRupt mbaya,,,si angetajirika lakini?
 
kwahiyo wewe unayejua kitu umenufaika na nini ? porojo tupu , eti unasema fulani ni illuminant kisa aliwahi kufiwa na ndugu yake ?!!
nami nauliza nani hajawahi kufiwa ?

Unaendelea kuthibitisha namna usivyojua lolote!!!
 
Mkuu Eiyer, sidhani kama ni sahihi kwamba kinapotokea kifo cha kutisha au kushtua tunatakiwa kuhusianisha na mambo yasiyokuwa ya kawaida kama hayo ya freemason na illuminati.
Mkuu inaonekana labda hujamuelewa Nic,hajasema kuwa kila kifo cha kutisha kimehusishwa na hawa jamaa ila ni baadhi ya vifo tu!

Kwenye maelezo yako yale mengi nimeyapenda, yanavitu ambavyo vinafikirisha kwa kweli, binafsi ninaamini ni coincidence tu,
Duh!mkuu hebu fikiria upya,yaani hiyo ni bahati mbaya???????????????????????????????????????

Hii dunia mkuu ina watu wengi wengi akili nyingi mno, wanaweza wakakuunganishia matukio hadi ukaona ni ukweli,

Hilo linawezekana
Lakini sio kwenye ishu hii ya Lincoln na Kennedy
Wachaguliwe tarehe zinazofanana,wazae watoto wenye idadi sawa,madaktari wao wawe na majina sawa,marafiki zao hivyo hivyo,mahali walipouwawa hivyo hivyo,n.k???????????
Hapana hii sio bahati mbaya!!!!

Lakini mwanafalsafa wa kale Aristotle, anaueleza ukweli kwa namuna tofauti, Yeye anasema ukweli ukichanganya na uongo, unapata uongo, na pia uongo ukichanganya na ukweli, unapata uongo vilevile, hii haijalishi hata kama uongo ni kidogo na ukweli ni mwingi, ukichanganya tu, unapata uwongo. ni sawa na sumu uchanganye na chakula, unapata sumu.

Mh! hapa nakiri kutokukubaliana na Aristotle,labda nipewe maelezo ya kutosha!!!

Inawezekana ni kweli kuna hivi vitu vinavyoitwa freemason au illuminati, lakini vimetiwa chumvi na kupambiwa uongo mwingi kiasi kwamba habari nzima ishakuwa uwongo.

Hapa inaonekana sasa unaanza kupata mwanga
Endelea kutafiti tu mkuu utaujua ukweli!

Hilo la kutiwa chumvi linawezekana kuwa kweli!

Aristotle anaendelea kuelezea ukweli, kwa kimombo anasema Truth is agreement with facts and reality.

Ndio maana Kiranga ameshangaa baada ya Nicholas kudai kuwa familia ya Jackson walimtoa kafara Michael Jackson eti ili kupata utajiri, unaweza kuona hakuna agreement ya facts and reality hapo.

Hapa labda unifafanulie ni kivipi na kwanini
Maana naona inawezekana tu na hakuna tatizo hapo!

Ule mfano wako wa ile miaka mia moja mia moja, kwamba Licoln alinanii sijui miaka mia moja akaja tena Kennedy nae miaka mia moja, nayo inaweza kuwa coincidence,
Mkuu hapa nakuomba upasome upya halafu ufikiri tena
Naona kama umelirahisisha sana jambo hili!


Chukulia mfano, Yesu alifunga siku 40, Mvua ilinyesha kipindi kile cha safina ya Nuhu siku 40,wana wa Israel walikaa sijui jangwani miaka 40, Wanasema hata za mwizi nazo ni 40. Mtu mjanjamjanja anaweza akashawishi watu kwamba kuna ufreemason hapo na watu wakamuamini.

Inawezekana hii lakini atakaemuamini huyu ni yule asietafiti kuhusu hawa jamaa
Hawa watu wana namba zao,pia wana kanuni yao ya kufanya jambo au mambo,hivyo unatakiwa kwanza ukague kama jambo husika limefanywa kwa kanuni au laa
Kama hakuna kanuni basi hilo tukio chanzo chake kitakuwa kingine!
Halafu hayo matukio uliyotaja hapo sio bahati mbaya kumbuka yalipangwa na Mungu!

Labda nikuchekeshe kidogo mkuu, Mimi nimezaliwa July 6, Hii ni siku ambayo amezaliwa Rais George W. Bush pamoja na mwanamziki 50 cent, mbele ya safari, kwa sababu tu ya coincidence ya tarehe ya kuzaliwa naweza kuambiwa mimi ni freemason.

Hapana

Mkuu kuna kanuni ya haya mambo!

Kuna mwingine nilimkuta amejaza watu akiwahubiria habari ya freemason, nilimsikia akisema kuwa hata shirika la fedha la kimataifa IMF eti nalo ni freemason, Uthibitisho anaoutoa ni kwamba ukigeza herufi IMF unapata FMI, eti FreeMason International.

Kuna watu wana uelewa mdogo kwenye mambo haya,hivyo hawa huwadanganya watu au husema mambo ambayo hawana ushahidi wa kutosha mwisho wake huonekana vituko japokuwa huenda maelezo yao yanaweza kuwa na ukweli fulani

Kwa hiyo mkuu kwangu mimi story hizi ni abraakabra.

Kuna jamaa yangu mmoja niliwahi kumueleza uwezekano wa kuwepo hawa watu mwaka 2010
Huyu jamaa aliniangalia sana halafu hakusema kitu

Siku zilivyoenda siku moja alikuja kuniuliza kuhusu kile nilichomuambia,kabla sijamjibu nilitaka kujua kilichosababisha aje kuniuliza tena wakati siku ya kwanza namuambia hakujibu kitu na alionekana kudharau maelezo yangu

Aliniambia kuwa amekutana na utafiti kuhusiana na tetemeko la ardhi la Haiti na kuna mambo yalimshangaza kidogo na yanaonekana kufanana na kile nilichokuwa namuambia

Sasa inawezekana mkuu kwa muda huu ukawa unaona hivyo lakini ngoja muda uzungumze,sio wewe tu wapo wengi sana waliokuwa wanasema kama wewe na baadae walikuja kukutana na ukweli!
 
Upuuzi tena unarudi wa hizi habari za kufikirika. How comes wengine watoe mama zao wengine watoe marafiki?

Kila mtu amewahi kufiwa, tukianza kusema kila aliyefiwa alimtoa nduguye/rafiki marehemu kafara basi wote sisi ni illuminati

Na ku-relate tarehe za misiba au umri na illuminat ni highest level ya upuuzi
 
BTW tuko era ya magaidi sasa.. tulianza na era ya mafisadi, ikaja era ya free masons, ikaja era ya unga, sasa ni era ya magaidi. Acha kurudisha wakati nyuma
 
wakaulizwa huko mbinguni wanawake km wao wameahaidiwa nini?mimacho ikawatoka wapo,eti mungu wao anajua, wakiulizwa mbona kwa wanaume alijua na kuwaambia mabiikra 72, huku wao wakiwa hawapo ktk list....jamaa wanavisha hadi punda mabomu ...

Mkuu hii umeua kabisa!!!!!!!!!!!!
 
BTW tuko era ya magaidi sasa.. tulianza na era ya mafisadi, ikaja era ya free masons, ikaja era ya unga, sasa ni era ya magaidi. Acha kurudisha wakati nyuma

Mkuu Bufa umefanikiwa kunifanya nicheke leo .....lol!!
 
Last edited by a moderator:
Eiyer, mimi siamini katika vinavyoelezwa kuhusu uwepo wa Freemason(huwa napenda kutamka filiimasoni)lakini napenda kujifunza.
Kama kuna mtu anaushahidi mwingine tofauti na ule wa vifo na utajiri atupatie. Wengine wanasema kusali jumapili ni mpango wa freemason ili kuelekea New World Order na kwamba itafika kipindi watu wote ulimwenguni watalazimishwa kusali jumapili, hawa ndio wanaodai eti Marekani, Papa na United Nations ni filiimasoni.
Wapo wanaosema wanasiasa na watu wengi sana maarufu, hasa wa Marekani na Israel ndio ukoo wa filiimasoni, Nicholas​, upi ni ukweli na ni upi upi ni uwongo hapo?
 
hizo tarehe za vifo zinanitatiza kidogo,inaonekana wanataka ziwe na jibu kama wanavyotaka ili kupata masonic namba.hebu chunguzeni vizuri jinsi zinavyojumlishwa.
 
Mimi ninavyojua kuchanganya kwa habari ni kutokujua na kutokuamini kuna msemo unasema " nyoka yupo morogoro!!! na Ajeeeeee,,,,nyoka yupo kibaha jamaniiiiiii!!!! ,,, na ajeeee,,, nyoka yupo ubungooooo,,,, na ajeeeee,,, @ na nikweli yule nyoka ika na kuwameza watu wote ambao hawakuhami ambao hawakuchukua tahadhali ya ujio wa nyoka, hapa ninataka kusema nini? ni kwamba haya mambo ya freemason na ushetani yapo na yanafanya kazi muhimu ni kuwa mwangalifu sikushauri kujiunga au kushabikia ukifanya hivyo ni kujiunga na upande wa pili wa setani na mabalaa yatakupata.

ebu pitia kwenye link hii Jicheki | Jicheki na uwe tayari kuja kwa mkombozi uone jinsi Jay-z alivyowaambukiza watoto na vijana wetu ufreemason na ushetani katika miziki yake.


Asante.

Kila aliye na sikio, asikie..................
 
Tatizo lingine ni hapari ppotofu zilziopo kwa watu mitaani na hata wasomi wetu walivyo hovyo ktk kutoa maelezo ya vitu.Hapa nchini mtanzania ana hakika ya asilimia zaidi ya 98 ,ya kupat amajibu ya hovyo toka msomi anayefuatia,huku mosmi huyo akiwa na ujasiri w ahali ya juu.
 
Illuminati ipo ila sio ikufanye uone kila msanii na mwenye hela ni illuminast, wewe hizo data hapo juu ulizocopy na kupaste hazina ukweli wowote, kila mkubwa akifa wewe unaona imetolewa sadaka, kijana naona conspiracy theories zinakukaba sana kichwa, sio kila unachosoma kwenye internet ni real, vipo ambavyo ni kweli na vipo ambavyo watu wamehisi tu, kwani mimi nikisikia sehemu unadhani ntashindwa kwenda kuandika article kwenye site yoyote? watu watacopy mwisho wa siku itasambaa kila kona.. Hiyo list wapo Illuminast na wapo ambao mmewaweka tu kwa kuhisi kwa kua walifiwa na fulani hapo mwanzo. Hahaha afu mlivo wa ajabu kila kitu mnatafuta relationship ya namba 9, kazi ndogo sana hiyo kukamata akili za watu kama nyie
 
Eiyer, mimi siamini katika vinavyoelezwa kuhusu uwepo wa Freemason(huwa napenda kutamka filiimasoni)lakini napenda kujifunza.
Kama kuna mtu anaushahidi mwingine tofauti na ule wa vifo na utajiri atupatie. Wengine wanasema kusali jumapili ni mpango wa freemason ili kuelekea New World Order na kwamba itafika kipindi watu wote ulimwenguni watalazimishwa kusali jumapili, hawa ndio wanaodai eti Marekani, Papa na United Nations ni filiimasoni.
Wapo wanaosema wanasiasa na watu wengi sana maarufu, hasa wa Marekani na Israel ndio ukoo wa filiimasoni, Nicholas​, upi ni ukweli na ni upi upi ni uwongo hapo?

Nitafutie majibu ya yale matukio niliyokuwekea kwanza

Isije kuwa hutaki tu kuamini kwasababu ya hofu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom