Rapture Man
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 439
- 145
Upo sahihi..na sasa utaona jinsi Biblia inavyojidhihirisha......dunia sasa hivi imekuwa so neutralized ina such away watu hwataki tofauti ya black and white, ila grey, watu wanataka democrasia yao km ya Zenj, Kenya ,Na Zimbabwe, sasa hivi ugaidi nao unataka heshima, ...
Ila kuna Wakristu watakaohitaji jikomboa kwa upanga..km Kenya.....kigezo ch akupona na kuishi ni kuwa muislam....
Thanks Nic.