The Hottest Couple....front and back view!!!

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Jan 30, 2008
14,631
4,225
If you love your woman show it!!!!


slide_2887_40854_large.jpg



slide_3003_42516_large.jpg
 
Mbona mi bwana angu ananipenda na ubapa wangu!
 
Nimekubali - Obama anajua ma-lavidavi kwa saaaaaaaaaaana!

Sio Obama tu, baadhi ya wanaume awe black american au mzungu wanajua malavi davi sana na wao action za mapenzi wanafanya nje nje tu. Sio kama bongo watu wanaogopana hata kushikana mikono.
 
Sio Obama tu, baadhi ya wanaume awe black american au mzungu wanajua malavi davi sana na wao action za mapenzi wanafanya nje nje tu. Sio kama bongo watu wanaogopana hata kushikana mikono.
be very afraid,men who dont hold hands make up for it in bed-before you know it,you is in cloud nine.Those who hold hands,that is as far as it goes just end halfway leaving you dejected and unsatisfied.If me was you.i would look nly for those who dont hold hands
 
Sio Obama tu, baadhi ya wanaume awe black american au mzungu wanajua malavi davi sana na wao action za mapenzi wanafanya nje nje tu. Sio kama bongo watu wanaogopana hata kushikana mikono.

Hebu waambie hao Pretty...waambie nilivyo....
 
Sio Obama tu, baadhi ya wanaume awe black american au mzungu wanajua malavi davi sana na wao action za mapenzi wanafanya nje nje tu. Sio kama bongo watu wanaogopana hata kushikana mikono.

tofauti ndio hio hapo wao wanaweza mapenzi ya nje sisi tunaweza mapenzi ya ndani.sasa yapi bora? lol mademu zao wanalalamika sana jamaa shughuli chumbani hawaiwezi wakitupata sisi waafrika wenyewe wanakubali shughuli ya chumbani.
 
tofauti ndio hio hapo wao wanaweza mapenzi ya nje sisi tunaweza mapenzi ya ndani.sasa yapi bora? lol mademu zao wanalalamika sana jamaa shughuli chumbani hawaiwezi wakitupata sisi waafrika wenyewe wanakubali shughuli ya chumbani.

you are very funy!:smile-big:
 
tofauti ndio hio hapo wao wanaweza mapenzi ya nje sisi tunaweza mapenzi ya ndani.sasa yapi bora? lol mademu zao wanalalamika sana jamaa shughuli chumbani hawaiwezi wakitupata sisi waafrika wenyewe wanakubali shughuli ya chumbani.

Wao wenyewe huwa wanasema ONCE YOU TASTE BLACK YOU'LL NEVER GO BACK
 
Back
Top Bottom