STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 807
- 622
LIFE IS A GAME; Hilo halina ubishi. Jinsi fikra zetu na vitendo vyetu vilivyo kila siku is how you play your game. Lakini jamani game zote tuzijuazo zina PURPOSE, eg football; toa pasi,dribble - funga, basket ball pia ina purpose yake kama ilivyo kwa boxing na hat computer games. Sasa kama life is a game na kila game ina purpose, jiulize je wewe purpose yako ktk life life yako ni nn?(wengi wetu hatuna purpose ktk maisha yetu na wala hatujui umuim wake) HOW CAN YOU WIN A GAME AMBAYO HATA PURPOSE YAKE HUJUI? Ndo mana weng wetu hufa bila ya kufurahia maisha,maskini na bila ya kupata mafanikio yoyote ya maana in life time. Pili life kama game zote nilizotaja hapo juu ina rules zake, football ina rules zake 17,basketball etc zina rules zake; JE UNAJUA KUWA GAME OF LIFE INA RULES ZAKE: - MBONA UNAJARIBU KUWIN GAME AMBAYO HATA RULES ZAKE HUJUI? Si ajabu wengi wetu hushindwa hii game of life, na matokeo ya kushindwa kila mmoja wetu anayajua. ILI USHINDE HII GAME LAZIMA UWE NA MAJOR DEFINITE PURPOSE + UZIJUE NA KUZITUMIA RULES ZAKE. Gongeni thanks 30, niwape iyo purpose na rules zake, ndani ya miaka mitatu ya kuzitumia utaona mabadiliko makubwa ktk area hizi: afya njema,furaha ya maisha,utajiri na mahusiano mazuri na wote wakuzungukao.