Chadema itachukua nchi kwa mtaji huu...
Haiwezi kutokea..
Moja:
Ndugu Edward Lowasa alienda nchini Marekani last week akifuatana na mke wake. Hii ni moja ya hatua za kiufundi za kujiandaa na kinyanganyiro cha Urais. Anaanza kutembea na mke wake in order to look presidential. Pamoja na hayo bwana huyu atakuwa anaanza procedure za kumfundisha kazi za kisiasa na kiutawala mke wake - inawezekana hili linafanyika ili kumuandaa mke wake kugombea ubunge wa Monduli wakati yeye atakapo gombea urais kama mgombea binafsi. Kuna uwezekano mkubwa sana CCM ilipitisha muswada wa kuruhusu wagombea binafsi ili kumruhusu mtu mmoja tu (Edward Lowasa) kugombea Urais. Ama kwahakika huyu bwana ndio anatawala Tanzania.
Mbili: Pia, ijapokuwa mama Asha Migiro anasema kuwa anarudi chuo kikuu kufundisha. Mimi natabiri kuwa moja kati ya haya mawili yatatokea.Either, Mr Mukandara atapewa kazi ya ubalozi na mama Migiro kufanywa mkuu wachuo kikuu cha Dar es salamu (muendelezo wa teuzi zisizoelewaka za kikwete. Teuzi zenye lengo la kuleta usawa fulani anaoutaka Kikwete siutaji huo usawa ila kila atakaesoma hapa ataelewa naongelea nini). Kama si hivyo basi mama huyu atapewa ubunge na uwaziri fulani nyeti utakao msogeza karibu na kiti cha urais na kumsogeza mtu fulani mbali na urais. Atakaesogezwa mbali atakuwa anatishia malengo fulani ya Kikwete ya kumuachia mtu fulani urais kwa malengo ya kuleta usawa fulani anaoutaka Kikwete siutaji huo usawa ila kila atakaesoma hapa ataelewa naongelea nini).
Tatu: Kuna mawaziri na viongozi kadhaa wanaotamani urais amabao watafanya mipango ili wapewe udaktari wa heshima (phd) kabla ya mwaka2015 ili kujiongezea CV na sifa za kugombea urais. Hawa ni wale mawaziri na viongozi wanaopenda kupanda chati na ngazi kiujanja ujanja kama Ndugu Nyalandu nk.
Nne: Kwa jinsi binadamu walivyo na tama na wasivyorizika,ndugu Gharib Bilali atachukua fomu za kugombea urais wa muungano na most likely atamuomba Migiro au Tibaijuka wawe wagombea wenza wake. Eti Nchimbi Na January naopia wanaufikiria Urais- binadamu bwana!
Huu ni utabiri tu: Nawakilisha
UPDATE - FEBRUARY 18, 2013
Hatimae utabiri umetimia. Asha Migiro Amepewa uenyekiti wa bodi ya chuo kikuu huria na uenyekiti wa organization ya CCM (anasogezwa ikulu) na Mwanaidi Maajar amepewa uenyekiti wa bodi ya chuo cha diplomasia
UPDATED - DECEMBER 3, 2013
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Asha-Rose Migiro kuwa Mbunge.
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es Salaam leo, Jumanne, Desemba 3, 2013, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dr. Florens Turuka inasema kuwa uteuzi huo umeanza jana, Desemba 2, 2013.
Dr. Asha-Rose Migiro ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa katika Chama cha Mapinduzi.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
3 Desemba, 2013
JKilaza ana IQ below 20, kwa hiyo watz mnatawaliwa na id.io.t!
haaaa nchi kuendelea hii ni kazi sana kwa uongozi wa vilaza kama hao!dr asha raisi, dr lowassa mambo ya nje, lazaro nyalandu aka myahudi wa kweli utalii
Inaweza kutokea sana tu! Kwani wanaoongoza nchi hii ni malaika? Si wamatumbi tu wa kawaida?! Sasa kwann isitokee... Maccm hayana akili haya majitu!
Top 3 ya wagombea Urais kwa Ccm 2015 Dr Asha Rose Migiro, January Makamba, Edward Lowassa....
Kuna ukweli kwenye hizi propaganda nilizozikuta kwenye moja ya mitandao ya facebook?
''CONSPIRING COMMUNITY OF MUSLIMS (CCM)???''
''Nimeshachukua fungu kutoka nchi za kiarabu tuzitumie kuutokomeza kabisa huu ''mfumo kristo'' na hii ni kimya kimya, Si uliona nilianza na kuwachomoa kwenye Chama, tukachuka nafasi na hata serikali tumeishakamata nafasi muhimu. Kwa hiyo andaeni vijana waanze kazi ya kuwatia hofu, chomeni makanisa yao ila kwa awamu ili wapate muda wa kujisahau, Na hawa viongozi wao mwagia tindikali wafie huko, au watilieni polonium wapate kansa za damu na ngozi sawa? Halafu tunazuga kuwapeleka India ili ku'cover'... au siyo? kuhusu mahakamani msihofu tuna majaji wa kutosha, kesi zote zitaisha salama. Halafu nimekumbuka, fanyeni biashara kuongeza pato hata kama madawa ya kulevya kisha tuwakemee viongozi wao waache kuuza madawa, ili kuzugazuga, Si unajua ilee?, enhee halafu make sure hizo pesa zinajenga nyumba za ibada kila kona ya jiji sio kufanyia propaganda tu. Muangalie pia uwezekano wa kupata mafunzo al-shabaab ili hawa wanaojifanya wapinga ufisadi watiwe adabu, kwanza ndiyo maadui wakubwa wa uislam. Majasusi wa nje wameshastukia ila tumewapoza na mikataba minono na hata marais wao wameahidi kushirikiana na sisi na watakuja kuisainia hapa hapa. Si unajua wao wanataka mali tu, Na kale kachama kanajifnya kakiharakati na kizalendo kaacheni tu hakafiki 2015, kuna kijana pale na kundi kubwa tu la kukiharibu, tumeshamshika. Na hili jamaa linalopiga kampeni misikitini na makanisani tunalitafutia dawa yake, Kwanza nadhani ASHA anatosha, kama tulivyofanya kwa spika, si unakumbuka eeh?, Ila limejitahidi sana kujisafisha me nilidhani nimemaliza kazi ile January 2008. Anajifanya ana pumzi sana na mamvi yake. Lakini naomba tena na tena huu mpango uwe wa siri kubwa na waumini wenyewe wasijue wao ni kuwaelekeza tu sawa? Inshallah mwenyezi mungu akijalia mwaka 2030 hii inakuwa dola mpya ya kiislam. Inshallah...
MSALABA AT WORKS:crazy: